Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitachukua mashangingi ya wabunge- Maji Marefu

Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), Steven Ngonyani ‘Maji Marefu’ amesema hatachukua magari ya mikopo ya wabunge maarufu kama mashangingi kwa kuwa yana misamaha ya kodi na lengo lake ni kulipa kodi kwa maendeleo ya Tanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Maji Marefu afunguka ukwepaji kodi

1NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

MBUNGE wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani (CCM), amesema hajawahi kukwepa kodi na wala hatarajii kufanya hivyo kwa kuwa anajua umuhimu wake.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Ngonyani ambaye ni maarufu kwa jina la Profesa Maji Marefu, alisema yeyote anayemtuhumu kuwa ni mkwepa kodi, anataka kumchonganisha na Serikali katika kipindi hiki ambacho Rais Dk. John Magufuli anahimiza wananchi kulipa kodi.

Profesa Maji Marefu alitoa...

 

11 years ago

Michuzi

Ubalozi wa Marekani wakabidhi mtambo wa mfumo wa mawasiliano wa masafa marefu kwa jeshi la Polisi kikosi cha maji nchini

Mkuu wa Ushirikiano wa Usalama kwa Ubalozi wa Marekani Tanzania, Lt.Kevin Balisky akisoma risala mbele ya mgeni rasmi Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Pereira Silima wakati wa halfa ya kukabidhi mtambo wa mfumo wa mawasiliano wa masafa marefu kwa jeshi la maji, masaada huo umetolewa na Serikali ya Marekani kupitia mradi wa AFRICO,leo jijini Dar es salaam. Naibu Waziri wa Mambo ya ndani Pereira Silima, ambaye alikuwa mgeni rasmi katika halfa ya kukabidhi mtambo wa mfumo wa mawasiliano wa...

 

10 years ago

Raia Mwema

Serikali yaisaliti ahadi yake ya kutonunua mashangingi

BAJETI ya serikali iliyowasilishwa bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, itakuwa na naki

Nizar Visram

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge ‘wakunwa’ na miradi ya maji Kibiti

Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, imeeleza kuridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya maji ya Kibiti na Ikwiriri iliyoko wilayani Rufiji mkoani Pwani kutokana na kuonyesha mafanikio makubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge CCM, Chadema wagombea mradi wa maji

Uzinduzi wa mradi wa maji kutoka Ziwa Victoria kwenda Kwimba, umesababisha mvutano kati ya mbunge wa Kwimba, Hanif Mansoor (CCM) na mbunge wa viti maalumu, Leticia Nyerere (Chadema).

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio)

Headlines za soka la bongo mtu wangu wa nguvu zimenifikia, safari hii sio kuhusu Simba na Yanga bali ni kuhusu staa wa soka aliyewahi kuvitumikia vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Danny Mrwanda, staa huyo ameingia kwenye headlines baada ya kuingia mkataba wa kuitumikia klabu ya Maji Maji FC ya Songea na kupewa malipo yake […]

The post Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

BODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR ES SALAAM (DAWASA) YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA

Meneja Usimamizi, Uendeshaji na Mazingira toka Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) Bi.Modesta Mushi akiwaonesha wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) ramani ya maeneo yatakayoguswa na Ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Kidunda lenye ujazo wa Mita milioni 190, wakati wa Ziara ya Bodi hiyo katika eneo la Mradi Mkoani Morogoro.… ...

 

10 years ago

Michuzi

Bodi ya ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) yatembelea Eneo la Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda


 Meneja Usimamizi, Uendeshaji na Mazingira toka Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) Bi.Modesta Mushi akiwaonesha wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) ramani ya maeneo yatakayoguswa na Ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Kidunda lenye ujazo wa Mita milioni 190, wakati wa Ziara ya Bodi hiyo katika eneo la Mradi Mkoani Morogoro.Mkuu wa Msafara wa Timu ya Ulipaji fidia kwa Wakazi walio katika Eneo la Mradi Mhandisi John...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyumbu huhama masafa marefu

NYUMBU ni mmoja wa wanyama wakubwa wanaopatikana kwa wingi barani Afrika, hasa katika eneo la Afrika Mashariki. Wanapatikana kwa wingi katika eneo la Afrika Mashariki kiasi kwamba katika mbuga kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani