Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta aeleza mizengwe ya uchaguzi

>Aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Tisa, Samuel Sitta ameelezea changamoto alizopata katika mchakato wa uchaguzi uliomweka madarakani kuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba baada ya kupata kura 487.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Kuelekea uchaguzi mkuu, Sitta atoa changamoto wanahabari.

Na Lilian Mtono, 

Dar es Salaam.

 

Waziri wa uchukuzi Samwel Sitta amewataka waandishi wa habari kuwa na ujasiri wa kuhoji mambo mazito na magumu wanayoandika hususan ya kisiasa, yanayomgusa mtu binafsi, ili kulinda dhamana yao kwa taifa na watu wake.

 

Amesema, haitakuwa sawa kuendelea kuandika habari zinazoelemea upande mmoja dhidi ya mtu mwingine, kwa kuwa nyingi zimekuwa na athari kubwa kuanzia ngazi ya familia hadi taifa.

 

Amesema inasikitisha kuona waandishi wa habari wakiandika...

 

10 years ago

Mwananchi

Mizengwe ndani ya Ukawa

Ni dhahiri kuwa giza nene  limeanza kutawala ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), baada ya tukio la kumtangaza mgombea wao wa urais kuahirishwa mara kadhaa, huku Watanzania wakiwa na hamu ya kumfahamu mwanasiasa huyo anayetarajiwa kuchuana na mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.

 

11 years ago

Habarileo

Hakuna mizengwe Daftari la Kudumu

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema hakuna mizengwe inayofanywa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kuwanyima haki watu wenye sifa kuandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar mwaka 2015.

 

11 years ago

Mwananchi

Wagombea huru dawa ya mizengwe

Mbunge wa Kahama, James Lembeli amesema kuwapo kwa mgombea huru katika uchaguzi wa Rais na wabunge kutaondoa mizengwe ndani ya vyama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani