Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wagombea huru dawa ya mizengwe

Mbunge wa Kahama, James Lembeli amesema kuwapo kwa mgombea huru katika uchaguzi wa Rais na wabunge kutaondoa mizengwe ndani ya vyama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Dawa ya wagombea wanaotumia lugha za matusi, vitisho yaiva

Polisi mkoani Mtwara imewaonya wagombea na wafuasi wao kutumia lugha za matusi, vitisho pamoja na fujo katika mikutano ya kampeni.

 

9 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU : Dawa ya Zanzibar ni Rais Magufuli kukubali kufanya kazi na Maalim Seif

Kwa kawaida katika maisha ya kila siku kiburi na jeuri havimsaidii mwanadamu. Nimesoma kwenye magazeti habari inayogusa maisha ya Watanzania wengi.

 

11 years ago

Mwananchi

HURU: Washtakiwa Kesi ya Tabata Dampo huru

>Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa Ilala, John Lubuva na wenzake wanne waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara, wameibuka kidedea katika kesi hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mizengwe ndani ya Ukawa

Ni dhahiri kuwa giza nene  limeanza kutawala ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), baada ya tukio la kumtangaza mgombea wao wa urais kuahirishwa mara kadhaa, huku Watanzania wakiwa na hamu ya kumfahamu mwanasiasa huyo anayetarajiwa kuchuana na mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.

 

11 years ago

GPL

NDOA YA LUCY KOMBA MIZENGWE

Stori: Gladness Mallya
HUKU akiwa kwenye vikao vya maandalizi ya harusi na Mzungu, staa wa filamu Bongo, Lucy Francis Komba (pichani na mchumba wake), amejikuta katika wakati mgumu baada ya habari kudai kwamba, mchumba wake huyo amemwambia ili ndoa ifungwe lazima aoneshe cheti cha kipimo cha Ukimwi kwanza. Staa wa filamu Bongo, Lucy Francis Komba akiwa na mchumba wake. Chanzo chetu cha habari kikizungumza na Amani juzi,...

 

11 years ago

Habarileo

Hakuna mizengwe Daftari la Kudumu

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema hakuna mizengwe inayofanywa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kuwanyima haki watu wenye sifa kuandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar mwaka 2015.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta aeleza mizengwe ya uchaguzi

>Aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Tisa, Samuel Sitta ameelezea changamoto alizopata katika mchakato wa uchaguzi uliomweka madarakani kuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba baada ya kupata kura 487.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani