SITTA AMPA TAARIFA YA MWENENDO WA BUNGE MAALUM DKT. SHEIN
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZhn2dbbpDU/U1VF1nGc0MI/AAAAAAAFcMU/aYMU5k_PHGA/s72-c/unnamed+(12).jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akimpatia taarifa juu ya mwenendo wa Bunge Maalum la katiba na ulipofikia, Rais Wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa Dkt. Ali Mohammed Shein, alipomtembelea nyumbani Ikulu ya Migombani Zanzibar. Mhe Sitta alikuwa Visiwani Zanzibar kwa lengo la kuonana na Mhe. Shein kumpatia taarifa kamili ya shughuli za Bunge Maalum la Katiba. Picha na Owen Mwandumbya - Bunge Maalum
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
11 years ago
Dewji Blog26 Jul
Bunge Maalum la Katiba kuendelea — SITTA
Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahaya Khamis akizungumza na waandishi wa habari jana (hawapo pichani) kuhusu kuendelea kwa Bunge Maalum la Katiba kwa niaba ya Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ndogo za Bunge jijini Dares Salaam.
10 years ago
Habarileo16 Aug
Sitta- Kusitisha Bunge Maalum hasara
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amesema iwapo Bunge hilo litasitishwa fedha zote za wananchi zilizotumika tangu kuanza kwa mchakato huo miaka mitatu iliyopita zitakuwa zimeteketea bure.
11 years ago
MichuziMH. SITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE MAALUM LEO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lDRj_LUmqEw/U-jbfvzMbZI/AAAAAAAF-e4/9SpzOp4iv90/s72-c/unnamed+(30).jpg)
SITTA AMJULIA HALI MJUMBE WA BUNGE MAALUM ALIYEJERUHIWA NA WATU WASIOJULIKANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-lDRj_LUmqEw/U-jbfvzMbZI/AAAAAAAF-e4/9SpzOp4iv90/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-p9YQQiZYBns/U-jbfatBO5I/AAAAAAAF-e0/HD3401SJOmE/s1600/unnamed+(31).jpg)