Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Skia hii kitu kutoka kwa Jenerali Ulimwengu na mchakato wa katiba 2011

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MCHAKATO KATIBA MPYA: Hamad: Kwa nini Wazanzibari wanapaswa kupitisha Katiba

>Wakati Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba ukifikia hatua ya Kura ya maoni inayotarajiwa kupigwa Aprili 30 mwaka huu, watu wameendelea kutoa maoni yao.

 

11 years ago

Michuzi

SHEIKH OMARY AMPONGEZA JK KWA MCHAKATO WA KATIBA AONYA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA

Mmoja  kati ya  waumini  wa dini ya Kiislam  wa madhehebu ya Answaar Sunna iliyofanyika katika  uwanja  wa Mwembetogwa akitoka kuswali  Swala ys Idd leo katika  uwanja  wa Mwembetogwa  mjini  Iringa Sheikh Dhulkifilo Omari  kulia akiwa na baadhi ya  waumini mara baada ya  ibada  ya Idd el Fitr   leo katika  uwanja  wa Mwembetogwa  mjini  Iringa..............................................................................Na matukiodaimablog
Sheikh wa  msikiti  wa  Hidaya katika manispaa ya ...

 

10 years ago

Mwananchi

Twachezesha … kiuno … akili … mchakato … kila kitu

We Makengeza, Wewe na wehu na wahuni na wahaini wenzako.

 

11 years ago

Habarileo

EU yampongeza JK kwa mchakato wa Katiba mpya

NCHI wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) zimempongeza Rais Jakaya Kikwete, kwa kuanzisha na kusimamia vizuri mchakato wa kutunga Katiba mpya ambao unaendelea nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

MCHAKATO KATIBA MPYA: Kwa nini muda wa BVR hautoshi kwa Kura ya Maoni

>Kazi ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kwa kutumia Mfumo wa Biometric Voter Registration (BVR) imezunduliwa Februari 24 mwaka huu na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ambaye pamoja na mambo mengine, ameweka wazi kuwa mtu atakayeshindwa kujiandikisha, atakosa fursa ya piga kura ya maoni kwa ajili ya Katiba mpya.

 

9 years ago

Mwananchi

Mtei: Rais Magufuli asiige kila kitu kutoka kwa Nyerere

Tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli aanze kasi ya kushughulikia kero mbalimbali za wananchi, kumekuwa na maoni mbalimbali kuhusu aina ya ufanyaji kazi wake.

 

10 years ago

Vijimambo

KAMA WEWE NI WAPANDE ZILE HII UTAIKUMBUKA KITU UGALI WA UNGA WA MUHOGO KWA KUKU WA KIENYEJI FULL OGANIKI.

Yani hapa ni mwendo wa kuzunguka mkono kwa mkono tonge kwa tonge kwetu raha juu ya mkeka uku goti umelikunja.

 

9 years ago

Vijimambo

HII ILIANDIKWA MWAKA 2011 KUHUSU UHUSIANO WA LOWASSA NA FREEMAN MBOWE NA MAZUNGUMUZO YAO YA SIRI YALIVYONASWA

Na Mwandishi wetu, Gazeti la Sauti Huru

Mmoja kati ya vigogo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kuhusika na vitendo vya ufisadi(jina tunalihifadhi kwa sasa) anadaiwa kuwa kwenye mazungumzo ya siri na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) Freeman Mbowe ili kuingia ubia na chama hicho.

Inaelezwa kuwa ,lengo la kigogo huyo ni kukiziba mdomo chama hicho kisimrushie makombora ya ufisadi kama walivyowahi kumrushia siku za nyuma.

Uchunguzi uliofanywa na timu ya waandishi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani