Snura: Sivai Tena Nguo za Utupu
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Majanga’, amesema hatavaa nguo za nusu uchi tena kwa kuwa ameshagundua makosa hayo.
Snura alisema awali alikuwa akivaa mavazi ya nusu uchi au nguo za kumbana, lakini kwa sasa amejirekebisha na anatambua nguo zinazompendeza ili kutokuleta sintofahamu kwa mashabiki wake.
“Kiukweli nashukuru ushauri wa watu katika suala la mavazi, nimeshajirekebisha kwa sasa sivai kama zamani mavazi yasiyofaa katika jamii,” alieleza Snura.
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania30 Apr
Snura: Sivai nguo za utupu tena
NA RHOBI CHACHA
MWIGIZAJI wa kike na mwimbaji wa muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Majanga’, amesema hatavaa nguo za nusu uchi tena kwa kuwa ameshagundua makosa hayo.
Snura alisema awali alikuwa akivaa mavazi ya nusu uchi au nguo za kumbana, lakini kwa sasa amejirekebisha na anatambua nguo zinazompendeza ili kutokuleta sintofahamu kwa mashabiki wake.
“Kiukweli nashukuru ushauri wa watu katika suala la mavazi, nimeshajirekebisha kwa sasa sivai kama zamani mavazi yasiyofaa katika jamii,”...
10 years ago
Mtanzania28 May
Batuli: Wazazi wanafurahia nguo za utupu
Na Festo Polea
MWIGIZAJI Yobnesh Yusuf maarufu kwa jina la Batuli, ameweka wazi kwamba tabia ya waigizaji wa kike kuvaa nguo za nusu uchi huwa zikifurahiwa na wazazi wa waigizaji hao.
Batuli alieleza hayo baada ya kuulizwa kwanini waigizaji wa kike wanapendelea mavazi ya nusu uchi wachezapo katika filamu zao.
“Hapo tatizo ni wazazi wa waigizaji hao wanaovaa nguo hizo wanaonyesha wanafurahia, kama wangechukizwa na tabia hiyo wasingevaa nusu uchi na kuiahibisha tasnia nzima na wanawake kwa...
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Siri za wazi ni utupu?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s72-c/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
WATANZANIA NAOMBA KUANZIA SASA CORONA AWE RAFIKI YETU...KWELI TENA , ASIWE ADUI TENA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DsSJUFIPPtc/Xq7WHqwzv8I/AAAAAAALo84/qnVgaiOfIDI8MHXTwl3Nq28RgETUkwouQCLcBGAsYHQ/s640/acastro_200311_3936_coronavirus_0002.0.7.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
CORONA mambo vipi? Natumai uko salama na unaendelea vema na majukumu yako ya kila siku hapa duniani tangu ulipokuja Desemba mwaka 2019.
Karibu Corona, karibu Duniani, karibu kila unapotaka kuingia. Ndio karibu Corona maana umekuja na malengo yako.
Malengo ya kuua maelfu ya binadamu. Sawa Corona maana ndicho unachoona kwetu sisi.
Dunia inalia tangu ulipokuja na kuanza kuua watu wasio na hatia. Umetutia majonzi makubwa sana, tunalia kwa ajili yako, wengi wamepoteza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/G4QhErsz3t9zeiqD*2FP6NGEUpYYSBAS*xRwe3-LO*2R5ggbGNe6Er6fAisZ0bE5riBJ-Fbq*OKKmad5EmQM-fiJ206pSEOp/student_1980481b.jpg)
MADENTI, PICHA ZA UTUPU ZA NINI?
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
The Sun kutoshapisha picha za utupu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBvCJTcgzvANjGJ**DMkGjVp0JVAwylazmjU*Wk8jbptpQgirAEA20Dd6zA*fKZ9UyJ2AtIA39B1OI0druKWiABh/denti.jpg?width=650)
DENTI APIGA ZA UTUPU GESTI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwneAylBkN0tNAbD22aEX-SuNL2ersUxWwXU1YfQGJ3RTCNRDPQlZymPvgqO3eITruw3vsqdS1nFlzeDWo02LoIN/JOKATE1.jpg?width=650)
JOKATE: SIJAPIGA PICHA ZA UTUPU