Batuli: Wazazi wanafurahia nguo za utupu
Na Festo Polea
MWIGIZAJI Yobnesh Yusuf maarufu kwa jina la Batuli, ameweka wazi kwamba tabia ya waigizaji wa kike kuvaa nguo za nusu uchi huwa zikifurahiwa na wazazi wa waigizaji hao.
Batuli alieleza hayo baada ya kuulizwa kwanini waigizaji wa kike wanapendelea mavazi ya nusu uchi wachezapo katika filamu zao.
“Hapo tatizo ni wazazi wa waigizaji hao wanaovaa nguo hizo wanaonyesha wanafurahia, kama wangechukizwa na tabia hiyo wasingevaa nusu uchi na kuiahibisha tasnia nzima na wanawake kwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX3Qw0TPp4nU3lE5ai18FSAyYrVePxwS71DN7qj1aPXGyw8x**ijPHwpQYrGfJEBFwpBmAn3CQdR0x72w7CtBK0c/batuli.jpg?width=650)
BATULI: MUDA WA KUVAA UTUPU UMEPITA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6ZXrdZdVjdUx-t79KT9bHStnLW2c9kO4V5AU6QpGHGAqzncxuumbGQXcCWsAifNcPkxMX8hCZLO-hC4VRFL2KFj/batuli.jpg?width=650)
BATULI AKUBALI KUIGIZA NUSU UTUPU
10 years ago
Bongo Movies30 Apr
Snura: Sivai Tena Nguo za Utupu
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Majanga’, amesema hatavaa nguo za nusu uchi tena kwa kuwa ameshagundua makosa hayo.
Snura alisema awali alikuwa akivaa mavazi ya nusu uchi au nguo za kumbana, lakini kwa sasa amejirekebisha na anatambua nguo zinazompendeza ili kutokuleta sintofahamu kwa mashabiki wake.
“Kiukweli nashukuru ushauri wa watu katika suala la mavazi, nimeshajirekebisha kwa sasa sivai kama zamani mavazi yasiyofaa katika jamii,” alieleza Snura.
10 years ago
Mtanzania30 Apr
Snura: Sivai nguo za utupu tena
NA RHOBI CHACHA
MWIGIZAJI wa kike na mwimbaji wa muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Majanga’, amesema hatavaa nguo za nusu uchi tena kwa kuwa ameshagundua makosa hayo.
Snura alisema awali alikuwa akivaa mavazi ya nusu uchi au nguo za kumbana, lakini kwa sasa amejirekebisha na anatambua nguo zinazompendeza ili kutokuleta sintofahamu kwa mashabiki wake.
“Kiukweli nashukuru ushauri wa watu katika suala la mavazi, nimeshajirekebisha kwa sasa sivai kama zamani mavazi yasiyofaa katika jamii,”...
5 years ago
BBCSwahili25 Feb
Wazazi washtakiwa kwa 'kumruhusu' mtoto wao kuvalia nguo za kike
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJPPX0oQx7I0jzHY27HIJh2fWoKlZo*idQpNqjja4xXXMVI7bS1ElsswWofs-G2MGCahYOthvy1OK2sX8k3tV1NZ/batuli.jpg?width=650)
BATULI KUOLEWA SOON
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8T9z0-k3jLwqsoDScbDVgP2JeUT9esWWqSA0ygBg2aIiqkMek09ajKYajfixqFcLtFO-SNEb8G9TZawD6sLtaNt/BATULI.gif?width=650)
BATULI, MTUNISI KIMEELEWEKA
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Maruhani yamtesa Batuli
NYOTA wa filamu Bongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’, amesema kila aingiapo kwenye kazi ya kurekodi filamu, anapatwa na tatizo la kupandisha maruhani (mashetani), jambo ambalo linamkosesha raha. Akizungumza jijini Dar es...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NQ48wH9Dt2SlBDYdl4nau-Dqizc5LICwQoiRHd64Lcm7nEAyG7jq006jhP4e3T5yWd4TesnYvdLSo-8bjRwpyWSQ8kbHQsDm/batuli.gif?width=650)
BATULI LAIVU NA MWANAUME