BATULI: MUDA WA KUVAA UTUPU UMEPITA
![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX3Qw0TPp4nU3lE5ai18FSAyYrVePxwS71DN7qj1aPXGyw8x**ijPHwpQYrGfJEBFwpBmAn3CQdR0x72w7CtBK0c/batuli.jpg?width=650)
MWIGIZAJI mwenye mvuto Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amewataka wasanii wenzake wabadilike na kuvaa kama yeye kwani muda wa kuvaa nusu utupu umepitwa na wakati. Mwigizaji mwenye mvuto Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ Akizungumza na paparazi wetu baada ya kutupia picha yake aliyovaa gauni refu mtandaoni, Batuli alisema: “Muda wa kuvaa utupu umepita, wasanii tunapaswa tubadilike kwani kila siku...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania28 May
Batuli: Wazazi wanafurahia nguo za utupu
Na Festo Polea
MWIGIZAJI Yobnesh Yusuf maarufu kwa jina la Batuli, ameweka wazi kwamba tabia ya waigizaji wa kike kuvaa nguo za nusu uchi huwa zikifurahiwa na wazazi wa waigizaji hao.
Batuli alieleza hayo baada ya kuulizwa kwanini waigizaji wa kike wanapendelea mavazi ya nusu uchi wachezapo katika filamu zao.
“Hapo tatizo ni wazazi wa waigizaji hao wanaovaa nguo hizo wanaonyesha wanafurahia, kama wangechukizwa na tabia hiyo wasingevaa nusu uchi na kuiahibisha tasnia nzima na wanawake kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6ZXrdZdVjdUx-t79KT9bHStnLW2c9kO4V5AU6QpGHGAqzncxuumbGQXcCWsAifNcPkxMX8hCZLO-hC4VRFL2KFj/batuli.jpg?width=650)
BATULI AKUBALI KUIGIZA NUSU UTUPU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT2KjdOTbHh3KuziUn13Iz0Qedkbv-84BbFAXeTUe2lIpNDXysSPiEO15q*tHLMI6Y0CjcmC9CiGFhHXH4TI-OrY/Top10.jpg)
TOP TEN YA MASTAA KUVAA NUSU UTUPU SIYO ISHU KWAO!
9 years ago
Bongo519 Aug
Ifahamu sababu ya Ne-Yo kuvaa kofia muda wote, tazama picha zake bila kofia
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Upepo wa Zitto umepita, tujadili matatizo ya nchi
KWA wiki nzima tunayoimaliza leo, mjadala mkubwa kila kona ulikuwa ni sakata la Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, kukimbilia mahakamani kunusuru uanachama wake ndani ya Chama cha Demokrasia na...
10 years ago
GPLJIMBO LA KOROGWE; MTO UMEPITA JIMBONI, MAJI NI SHIDA
11 years ago
MichuziMBOWE ASHIKILIWA KWA MUDA NA JESHI LA POLISI IRINGA, AACHIWA KWA KOSA LA KUZIDISHA MUDA KWENYE MKUTANO WAO WA HADHARA.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJPPX0oQx7I0jzHY27HIJh2fWoKlZo*idQpNqjja4xXXMVI7bS1ElsswWofs-G2MGCahYOthvy1OK2sX8k3tV1NZ/batuli.jpg?width=650)
BATULI KUOLEWA SOON
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NQ48wH9Dt2SlBDYdl4nau-Dqizc5LICwQoiRHd64Lcm7nEAyG7jq006jhP4e3T5yWd4TesnYvdLSo-8bjRwpyWSQ8kbHQsDm/batuli.gif?width=650)
BATULI LAIVU NA MWANAUME