Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SOMO LA Cyber Security na Tanzania Yetu KUTOKA KWA MDAU Ben Mabeba, Jr

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Cyber Security na Tanzania Yetu.

Utangilizi na utambulisho wa Ben Mabby, Jr katika kuelezea ni nini anakusudia kufanya kwa kutumia YouTube Platform.Karibu.

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Henry Mdimu aanza harakati za kutoa somo kwa wauaji wa albino

Na Chalila Kibuda 
Balozi wa Imetosha,Henry Mdimu amewataka watu wajitokeze katika  harakati za kupambana na watu wenye imani  potofu za kuwaua watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino).
Mdimu amesema uchunguzi umebaini ukosefu wa elimu kwa watu wenye imani hizo ndiyo hupelekea mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi hivyo silaha ya elimu ni sehemu kubwa ya harakati hapa nchini.
Hayo ameyasema leo wakati alipokutana na waandishi wa habari jijini Dar es salaam na kusema kuwa ana mpango wa kwenda kanda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vipigo kutoka Kenya,ni somo:Tanzania

Kocha wa timu ya taifa ya kriketi Tanzania Hamisi Abdallah amesema kipigo ilichokipata timu yake hivi karibuni kimempa somo .

 

9 years ago

Michuzi

BARUA YA WAZI KWA RAIS DR. JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKA KWA MDAU WA USALAMA BARABARAN


Ndugu Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, 

Nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.

Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na matukio...

 

9 years ago

Dewji Blog

Barua ya wazi kwa Rais Dr. John Pombe Magufuli kutoka kwa mdau wa Usalama Barabarani

unnamed (3)

Ndugu Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.

Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na...

 

11 years ago

TheCitizen

Firm’s cyber security incentive

Dar es Salaam. Universities, Academies and similar institutes in educational institutions have been urged to make use of discount policies offered to promote cyber security.

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Ykileo

THE IMPACT OF HOLLYWOOD ON CYBER SECURITY

A star from the series "NIKITA" named Birkhoff. In terms of global communications, we are living through the most exciting period in human history. There are almost as many mobile subscriptions as there are people on the planet and by the end of 2013, 2.7 billion people will be using the internet; with 2.1 billion active mobile-broadband subscriptions.
 The rise of the Internet as a platform to share information and conduct business online, the world has never been as connected as it is...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani