Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SOS IN PARTNERSHIP WITH MONTAGE LIMITED LAUNCH THE FUNDRAISING CAMPAIGN INTENDING TO RAISE 1.2 BILLION TANZANIA SHILLINGS FOR ORPHANS

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SOS CHILDREN TANZANIA KWA KUSHIRIKIANA NA KAMPUNI YA MONTAGE LTD YAANDAA KAMPENI YA KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA WATOTO WAISHIO KWENYE MAZINGIRA MAGUMU

 Mkurugenzi Mtendaji wa SOS Children Tanzania, Anatory Rugaikamu (katikati) akiongea na waandishi wa habari leo katika Hoteli ya Serena wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Kuchangisha Pesa kwaajili ya Kuwasaidia Watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, Kampeni hiyo inafanywa na SOS Children kwa kushirikiana na Kampuni ya Montage Ltd.
  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Montage Ltd, Bi Teddy Mapunda akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya...

 

10 years ago

Michuzi

SOS VILLAGES IKISHIRIKIANA NA MONTAGE INAWALETEA CHAKULA CHA HISANI

MONTAGE
SOS VILLAGES IKISHIRIKIANA NA MONTAGE INAWALETEA CHAKULA CHA HISANI KATIKA KAMPENI YAO YA ‘NIJALI, MCHANGO WAKO TUMAINI LA MAISHA YANGU’ KWA AJILI YA WATOTO WA SOS VILLAGES ITAKAYOFANYIKA TAREHE 24/10/2014 PALE HOTEL YA SERENA MJINI ZANZIBAR KUANZIA SAA MOJA USIKU.
MGENI RASMI ATAKAWA MHESHIMIWA MAKAMU WA RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DR MOHAMMED GHARIB BILAL, TICKET ZINAUZWA SHILLING LAKI MBILI ZA KITANZANIA AU SHNG MILION MBILI KWA MEZA YA WATU KUMI, PIGA SIMU NO 0756-860231...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Montage yafutarisha Waoto Yatima wa Kituo cha SOS Village

4a

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Montage ya jijini Dar es salaam Bi. Teddy Mapunda akiwagawia watoto yatima wa kituo cha kulelea watoto cha SOS Village kikilchoko Sinza barabara ya Sam Nujoma alipowakaribisha kwa futari kwenye ofisi za kampuni hiyo zilizoko Kindondoni juzi ikiwa ni moja ya maelengo ya kampuni hiyo kuwakumbuka watoto yatima na kuwakarimu wakati huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhan.

5a

Anitha Pangani mfanyakazi wa kampuni ya Montage akiwagawia watoto chakula wakati wa futari...

 

11 years ago

GPL

KAMPUNI YA MONTAGE YAFUTARISHA WAOTO YATIMA WA KITUO CHA SOS VILLAGE‏

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Montage ya jijini Dar es salaam akiwagawia watoto yatima wa kituo cha kulelea watoto cha SOS Village kikilchoko Sinza barabara ya Sam Nujoma alipowakaribisha kwa futari kwenye ofisi za kampuni hiyo zilizoko Kindondoni juzi ikiwa ni moja ya maelengo ya kampuni hiyo kuwakumbuka watoto yatima na kuwakarimu wakati huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhan.… ...

 

10 years ago

Michuzi

SOS VILLAGES IKISHIRIKIANA NA MONTAGE INAWALETEA CHAKULA CHA HISANI KATIKA KAMPENI YAO YA ‘NIJALI

SOS VILLAGES IKISHIRIKIANA NA MONTAGE INAWALETEA CHAKULA CHA HISANI KATIKA KAMPENI YAO YA ‘NIJALI, MCHANGO WAKO TUMAINI LA MAISHA YANGU’ KWA AJILI YA WATOTO WA SOS VILLAGES ITAKAYOFANYIKA TAREHE 24/10/2014 PALE HOTEL YA SERENA MJINI ZANZIBAR KUANZIA SAA MOJA USIKU

MGENI RASMI ATAKAWA MHESHIMIWA MAKAMU WA RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DR MOHAMMED GHARIB BILAL, TICKET ZINAUZWA SHILLING LAKI MBILI ZA KITANZANIA AU SHNG MILION MBILI KWA MEZA YA WATU KUMI, PIGA SIMU NO ...

 

10 years ago

TheCitizen

From the orphans of SOS children’s village

Saidi Nasib grew up without knowing her father. His mother told him the man he was yearning to meet had disowned him before he was born.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Two Billion Shillings Saved in Bulk Vehicle Purchase


spyghana.com
Two Billion Shillings Saved in Bulk Vehicle Purchase
AllAfrica.com
Dodoma — Bulk procurement has intensified control over public expenditures, with the government reported to have saved 989,514 US dollars (about 2bn/-) in the purchase of 50 motor vehicles that were imported as of April, this year. Finance Minister, Ms ...
Bulk procurement in public sector recorded significant successspyghana.com

all 4

 

10 years ago

Dewji Blog

DHL and SOS Children’s Villages benefit over 3,500 youths from half a decade of partnership in Africa

dhl_logo2

*Youths from 11 countries reached out to through sponsorship and employee engagement activities

*To date, over 2,000 employees have volunteered in various activities to participate in the partnership

*Inaugural regional conference organized to discuss challenges and future plans

Deutsche Post DHL Group (DPDHL Group) (http://www.dpdhl.com), the world’s leading logistics company, together with non-governmental organization SOS Children’s Villages, have celebrated half a decade of a successful...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani