UKIMWI ORPHANS yawakaribisha kwenye Fundraising Jumamosi hii
![](http://1.bp.blogspot.com/-zWjNZRMrbws/VH5boP4PC-I/AAAAAAADPRI/GHicz5AngcY/s72-c/2014-12-06%2BINVITATION%2BCARD%2BTO%2BFUNDRAISING%2BBENEFIT%2B-%2BKEC%2BTOILET_0001.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-zWjNZRMrbws/VH5boP4PC-I/AAAAAAADPRI/GHicz5AngcY/s72-c/2014-12-06%2BINVITATION%2BCARD%2BTO%2BFUNDRAISING%2BBENEFIT%2B-%2BKEC%2BTOILET_0001.jpg)
10 years ago
VijimamboNEW YORK CITY YAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE KWENYE PARTY YA NGUVU YA MIAKA 38 TANGU KUZALIWA KWA CCM -JUMAMOSI FEB 21 !
Tuungane Tuiline Tanzania Yetu
![](https://lh5.googleusercontent.com/-Gb4rdsn6HBY/UWMbnZzMGQI/AAAAAAAADi0/RQdKuX85gOY/w2048-h1536/Richi%2BRich%2BPalace.jpg)
...
10 years ago
MichuziNEW YORK CITY YAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE KWENYE PARTY YA NGUVU YA MIAKA 38 TANGU KUZALIWA KWA CCM -JUMAMOSI FEB 21
TICKETS PRICE: ADVANCE $40 | DOOR...
11 years ago
CloudsFM11 Jun
WASANII WAMWALIKA RAIS KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI YA ‘NAIAMINIA TANZANIA’,JUMAMOSI HII KWENYE UWANJA WA JAMHURI, DODOMA
Naiminia Tanzania ndiyo habari ya mjini, weekend hii siku ya Jumamosi ndani ya uwanja wa Jamhuri,Mkoani Dodoma wasanii wa fani mbalimbali hapa nchini wameandaa ufunguzi wa kampeni kubwa inayoitwa ‘Naiaminia Tanzania’.
Ambayo ni muendelezo wa ile ngoma yao ya miaka 50 ya tanzania, ambayo waliirekodi wasanii 50, wakashuti na video.Msanii wa Bongo Fleva,Mwana FA pamoja na Nikki Wa Pili watatoa speech mbele ya mgeni rasmi, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, rais wa...
10 years ago
Michuzi20 Aug
10 years ago
VijimamboDJ SEIF ANAWAALIKA KWENYE BIRTHDAY YAKE JUMAMOSI HII SAFARI CLUB
Kufika kwako ndio kufanikisha Bash hii itakayokufanya kumalizia wiki ya Thanksgiving kwa bash la nguvu ndani ya kiota kinachoongoza Afrika mashariki kilichopo Washington, DC anuani ni 4306 Georgia Av, NW, Washington, DC 20011
KARIBUNI
10 years ago
Bongo503 Apr
Vanessa Mdee atua Lagos, kutumbuiza kwenye Gidi Culture Festival Jumamosi hii
10 years ago
CloudsFM29 Jan
ADAM MCHOMVU KUWAVALISHA WEUSI KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA KUMI YA THT JUMAMOSI HII,ESCAPE ONE
Nyumba ya Vipaji Tanzania(THT)kuadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake siku ya Jumamosi wiki hii pande za Escape One,Mikocheni jijini Dar.Siku hiyo ya maadhimisho kutakuwa na burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii waliopitia THT pamoja na wasanii wengine wakiwemo Linah Sanga,Amin,Recho,Mwasiti,Barnaba,n.k.
Nyumba hiyo ya vipaji imeamua kuachana na kuwatoa wasanii wachanga kwa hiyo hao wanaomaliza ndiyo watakua wa mwisho,badala yake wameanzisha chuo cha ubunifu wa mavazi ambapo wabunifu...