South African rapper AKA responds to claims of him dating Bonang Matheba
South African rapper AKA has responded to claims in the South African media, that his split with his baby mama DJ Zinhle was as a result of him cheating on her with top South African media personality, Bonang Matheba. Bonang and AKA On Friday, August 28, Times Live, a South African online newspaper published a […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Nov
‘Malkia wa TV’ SA Bonang Matheba ni miongoni mwa mastaa walioikubali ‘Don’t Bother’ ya Joh Makini f/ AKA
![12080549_1675626735985375_1970923371_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12080549_1675626735985375_1970923371_n-300x194.jpg)
Ngoma na video ya Joh Makini, Don’t Bother aliyomshirikisha rapper wa Afrika Kusini, Kiernan Jarryd Forbes maarufu kama AKA imepata mapokezi makubwa.
Si tu Tanzania, bali hata Afrika Kusini pia mashabiki wameikubali, thanks kwa baraka za rapper huyo wa SA. Kupitia Instagram, AKA aliyekuja Tanzania mwezi May mwaka huu, alidai kuwa aliamua kuchomeka mistari ya Kiswahili kwenye wimbo huo kwa heshima ya Tanzania.
“This for all my Tanzanian fam,” aliandika.
“Did a record with @joh_makini...
9 years ago
Bongo527 Aug
South African rapper AKA and DJ Zinhle have ended their relationship!
9 years ago
Bongo502 Oct
Video: Watch angry AKA walk out of Interview when asked about Bonang affair
9 years ago
Bongo519 Nov
Rapper AKA atoa somo kwa wanaodhani collabo ya kimataifa ni mpaka awe msanii wa nje ya Afrika
Wapo baadhi ya wasanii wa Tanzania ambao wameshafanya collabo na wasanii wa nchi za jirani kama Kenya na Uganda, lakini bado huwa wanakutana na maswali ya lini wataanza kufanya collabo za Kimataifa.
Hali hiyo imemkuta pia rapper wa Afrika Kusini, Kiernan Jarryd Forbes, maarufu kama AKA, ambaye licha ya kufanya kazi na wasanii wa Afrika lakini bado amekuwa akiulizwa na mashabiki ni lini atafanya kazi na msanii wa ‘KIMATAIFA’.
Kinachoonekana ni kwamba tafsiri ya mashabiki wengi kuhusu...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77496000/jpg/_77496978_hi023825574.jpg)
Deng responds to 'African' comment
5 years ago
BBC11 Mar
Blasian dating in South Africa: ‘Will my Asian family accept my black boyfriend?’
9 years ago
Bongo504 Nov
Vanessa Mdee, Wizkid, Davido, AKA, Flavour na wengine kutumbuiza South Nov 21
![11379892_931151246960569_1101213556_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11379892_931151246960569_1101213556_n-300x194.jpg)
Vanessa Mdee aka Vee Money anatarajia kutumbuiza wimbo wake mpya ‘Never Ever’ na zingine kwenye jukwaa kubwa zaidi la muziki wa Afrika jijini Johannesburg, Afrika Kusini, Nov 21.
Tamasha hilo lililopewa jina la African Music Concert litawakutanisha karibu wasanii wote wakubwa wa Afrika.
Pamoja na Vanessa Mdee, wasanii wengine watakaotumbuiza ni pamoja na Wizkid, Davido, Uhuru, A.K.A, K.O, RunTown, Victoria Kimani, Dama do bling na Bucie.
Wengine ni Da LES, Darley, Anatii, Emmy Gee, The...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83420000/jpg/_83420566_83419810.jpg)
South Africa to probe bribe claims
10 years ago
Vijimambo14 Nov
Another AFRICAN HERO HAS GONE - 101yrs old MR. ANDREW BABOT ASUWAN AKA — NYUNG-BOY (RIP)
MR. ANDREW BABOT WAS AN EPITOM OF CHANGE IN HIS COMMUNITY; AN ADVOCATE OF EDUCATION THOUGH NOT EDUCATED IN HIS TIME; ADVOCATES OF FEMALE EDUCATION WHICH WAS A CHALLENGE AT THAT TIME AND EMPOWERED HER GIRLS THROUGH EDUCATION; MOST OF WHOM TODAY ARE IMPACTING CHANGE IN THEIR COMMUNITIES WORLDWIDE
KAMERUN AMBASSADOR IN GERMANY –H.E JEAN...