Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


St John, CBE wafundwa akiba na kujiajiri

WASOMI na wahitimu wa vyuo vikuu wametakiwa kuwa na namna bora ya kujiwekea akiba na kujiajiri pindi wanaposubiri ajira za kudumu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wahitimu uhasibu wafundwa kujiajiri

WAHITIMU wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) wameaswa kutumia mafunzo ya ujasiriamali waliyoyapata chuoni hapo katika kukabiliana na changamoto ya soko la ajira na kuelekeza mawazo yao katika kujiajiri badala ya kuajiriwa.

 

9 years ago

Habarileo

Tucta wafundwa

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Afrika (OATUU), Mezholid Arezki amehimiza Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania(Tucta) kushirikiana kuhakikisha wanaboresha maslahi ya wafanyakazi nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waajiri wafundwa

WAAJIRI wametakiwa kushiriki Siku ya Taaluma nchini (Career Day) ambayo hufanyika kila mwaka katika Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara cha Moshi (MUCCoBS) kama sehemu muhimu ya kukutana na watu...

 

11 years ago

GPL

PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUTANGAZWA WATAKATIFU LEO

Waumini wakisubiri kuingia St Peter's Square jijini Vatican tayari kwa tukio la kutangazwa watakatifu Papa John Paul II na John XXIII baadaye hii leo. Papa John Paul II na John XXIII wanatarajiwa kutangazwa watakatifu leo katika tukio litakaloongozwa na mkuu wa sasa wa kanisa Katoliki duniani, Papa Francis huko St Peter's Square  jijini Vatican.  Watu takribani milioni moja wanataraji kuhudhuria tukio hilo la kihistoria. ...

 

10 years ago

Habarileo

Profesa ahimiza wahitimu kujiajiri

WATANZANIA wametakiwa kuondoa dhana potofu ya kupata elimu na kukaa maofisini tu, badala yake watumie elimu kunufaisha jamii inayowazunguka na kutatua tatizo la ajira nchini.

 

9 years ago

Habarileo

Wahitimu JKT kuwezeshwa kujiajiri

VIJANA wanaohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa kujitolea na kurudi makwao bila kupata ajira, wamewekewa mpango maalumu wa kuwafuatilia na kuwawezesha kujiajiri popote watakapokuwa nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Kutana na vijana walioamua kujiajiri

>Watu wengi wanapenda kuwa na maisha bora, wengi wanaishia kuwa na hali duni. Baadhi ya watu wamekuwa wakijiuliza ‘kwa nini ninakuwa na maisha duni’, ingawa jibu lake ni kwamba adui wa kwanza wa maisha yako ni wewe mwenyewe…Kukata tamaa kwako.

 

10 years ago

Michuzi

KUJIAJIRI NI FURSA PEKEE YA MAENDELEO

Beatrice Lyimo -Maelezo
Serikali imewashauri wahitimu kujiajiri wenyewe badala ya kutegemea ajira kutoka serikalini kwani inatambua ukosefu wa ajira nchini.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar ea Salaam na Waziri wa Nchi Ofisi ya  Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Mhe. Willium Lukuvi alipokuwa akifungua kongamano la mafunzo kwa wajasiliamali wadogo wadogo.
Amesema  kuwa vijana wanatakiwa kuweka mkazo katika suala la ujasiriamali na kujihusisha na mafunzo mbalimbali ya ujasiriamali ili kuwa na fursa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Tabora wafundwa

WAHITIMU 175 wa Chuo cha Ualimu Tabora wameaswa kutumia mafunzo ya ualimu waliyopata kwa uadilifu na kamwe wasije kuwa mzigo kwa serikali na jamii. Meneja wa Mfuko wa PSPF Mkoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani