Stand United, Oljoro JKT players incur TFF wrath
Stand United’s striker Haruna Chanongo has been suspended for three matches and fined Sh500,000 by Tanzania Premier League Board (TOLB) for indiscipline.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen21 Mar
Dar giants incur TFF wrath
9 years ago
TheCitizen08 Oct
24 companies incur the wrath of TBS
9 years ago
TheCitizen15 Dec
Haruna may incur Pluijm wrath
9 years ago
StarTV09 Nov
JKT Oljoro yatinga kileleni.
Maafande wa JKT Oljoro wametinga kileleni mwa kundi C baada ya kuwachezesha kwata maafande wenzao wa Polisi Tabora kwa bao 1-0, katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Haikuwa rahisi kwa wafunga buti hao wa Oljoro kupata bao hilo mapema kwani iliwabidi wasubiri hadi kipindi cha kwanza kimalizike.
Kipindi cha pili kilianza kwa kila timu kuanza kwa kasi baada ya makocha wa timu zote mbili kufanya mabadiliko ya wachezaji , mabadiliko hayo yalizaa matunda kwa...
9 years ago
Michuzi17 Sep
PANONE FC KUFUNGUA DIMBA NA JKT OLJORO
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/11/mbeya-city.jpg)
10 years ago
TheCitizen14 Nov
Relief as JKT Oljoro pip Rhino
9 years ago
StarTV04 Nov
JKT Oljoro wazidi kung’ara.
Wafunga buti wa JKT Oljoro kwa mara nyingine wametoka na ushindi baada ya kuwachezesha gwaride wachimba madini wa Geita gold sports mabao 2- 1 mchezo wa ligi daraja la kwanza uliochezwa kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid,Jijini Arusha.
Maafande hao wa JKT Oljoro wameutumia vizuri uwanja wao wa nyumbani mara baada ya kuinyuka timu ya Geita gold sports magoli 2 kwa 1 mchezo ambao ulianza kwa kasi kwa kila timu kuonekana kuupania mchezo huo uliotimua vumbi katika viunga vya Sheikh Amri Abeid...
11 years ago
Tanzania Daima08 May
JKT Oljoro yapania daraja la kwanza
TIMU ya JKT Oljoro imepania kukabili ushindani wa ligi Daraja la Kwanza kwa kuanza maandalizi mapema ikiwemo kuingia kambini na kujifua kwa mazoezi magumu ili waweze kurejea Ligi Kuu ya...
11 years ago
TheCitizen01 Feb
Simba SC target JKT Oljoro scalp