Stephen Curry kukosa michezo miwili
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa kikapu wa timu ya Golden State Warriors, Stephen Curry, anatarajia kukosa michezo miwili ya Ligi Kuu ya NBA baada ya kusumbuliwa na goti.
Nyota huyo wa tuzo ya MVP msimu uliopita, ni mara ya pili kwa msimu huu kuumia ambapo awali alikuwa anasumbuliwa na goti la kulia ila kwa sasa anasumbuliwa na goti la kushoto.
Kocha wa timu hiyo, Luke Walton, amethibitisha kuumia kwa mchezaji huyo lakini bado anaamini ataendelea kufanya vizuri na kikosi chake.
“Curry atakuwa nje...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Diego Costa kukosa michezo mitatu
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Van Gaal apewa michezo miwili kulinda kibarua chake
MANCHESTER, ENGLAND
KOCHA wa klabu ya Manchester United, Louis van Gaal, amepewa michezo miwili ya kufanya vizuri ili kuweza kulinda ajira yake ndani ya timu hiyo.
Baada ya Manchester United kupokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Norwich kwenye uwanja wa nyumbani katika michuano ya Ligi Kuu, bodi ya klabu hiyo ilikaa na kuchunguza maendeleo ya klabu hiyo ambapo wamepanga kumpa michezo miwili.
Endapo kocha huyo atashindwa kufanya vizuri katika michezo huyo, basi ataungana na Jose Mourinho,...
10 years ago
TheCitizen08 Sep
Curry’s 6 3s send US to basketball worlds quarters
9 years ago
TheCitizen16 Nov
Curry leads Warriors past Nets
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Matokeo michezo ya Jumamosi Novemba 21 na ratiba ya michezo ya leo Jumapili!
Wachezaji wa Liver Pool wakishangilia baada ya ushindi wao wa mchezo wa jana waliochinda bao 4-1, dhidi ya Manchester City.
WINGEREZA – PRIMEAR LEAGUE
Watford 1 – 2 Manchester United
Chelsea 1 – 0 Norwich City
Everton 4 – 0 Aston Villa
Southampton 0 – 1 Stoke City
West Bromwich Albion 2 – 1 Arsenal
Newcastle 0 – 3 Leicester City
Swansea 2 – 2 Afc Bournemouth
Manchester City 1 – 4 Liverpool
HISPANIA – LIGA BBVA
Real Sociedad 2 – 0 Sevilla
Real Madrid 0 – 4 Barcelona
Espanyol 2 – 0...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q12jfn7F59g/U5HZGZO896I/AAAAAAAFoGU/yrzNByJ5Do4/s72-c/unnamed+(19).jpg)
SERIKALI YASHAURI WADAU WA MICHEZO KUJITOKEZA KUSAIDIA MICHEZO NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q12jfn7F59g/U5HZGZO896I/AAAAAAAFoGU/yrzNByJ5Do4/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cIzN8ZSIYLU/U5HZF3f3ypI/AAAAAAAFoGQ/wJ0gOciTpPs/s1600/unnamed+(21).jpg)
10 years ago
MichuziBODI YA MICHEZO YA BAHATI NASIBU YAKABIDHI LESENI KWA KAMPUNI YA MURHANDZIWA KUENDESHA MICHEZO HIYO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2NfAZBuhANk/VCVJbPjmHtI/AAAAAAAGl6o/HdCiV2YZ4ug/s72-c/TF3.jpg)
Timu ya Michezo ya Wizara ya Habari ,Vijana,Utamaduni na Michezo ya haswa kuwa mfano katika mashindano ya SHIMIWI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2NfAZBuhANk/VCVJbPjmHtI/AAAAAAAGl6o/HdCiV2YZ4ug/s1600/TF3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fimSY98DOpk/VCVJfbNVZRI/AAAAAAAGl68/ylNfyX7xV8w/s1600/TF4a.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-aVL1mPhjh-I/VCVJa5m60pI/AAAAAAAGl6s/bzC0ELLd-8k/s1600/TF1.jpg)
TIMU YA MICHEZO YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO YA HASWA KUWA MFANO KATIKA MASHINDANO YA SHIMIWI