STEPHEN MHAPA NA VENY MUYINGA KUCHULIWA FOMU NA WANANCHI KUGOMBEA JIMBO LA KALENGA
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Iringa Stephen Mhapa akiwa anatekeleza majukumu yake akiwa kwenye baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Iringa ( PICHA KUTOKA MAKTABA)
Diwani wa kata ya Maboga Veny Muyinga akiongea waandiahi wa habari kuhusiana na maendeleo y kata hivyo.(PICHA KUTOKA MAKTABA)
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Iringa Stephen Mhapa akifurahia jambo na wananchi wa jimbo la kalenga
Na Fredy Mgunda, IringaWANANCHI wa jimbo la kalenga mkoani Iringa wamewataka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMWALIMU AJITOKEZA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KALENGA KUPITIA CHADEMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PHKC1AOWfhxWrhpbQ0UL7NDYr28waFGyytaI2ECy3jhNHgCHIRfXCF1LmEeifMckKtkQ6zphqtERK3nzJFaZ-HGSnWMC0Y6Y/godfreymgimwa.jpg?width=650)
MTOTO WA MGIMWA ASHINDA KURA ZA MAONI CCM, KUGOMBEA JIMBO LA KALENGA
10 years ago
MichuziMWANASHERIA MAKENE AREJESHA FOMU KUGOMBEA JIMBO LA KINONDONI
11 years ago
Michuzi12 Mar
watano wachukua fomu kugombea ubunge jimbo la chalinze
Jumla ya wagombea watano wamechukua fomu za kuwania Kiti cha Ubunge katika Jimbo la Chalinze, Bagamoyo, Zoezi litafungwa rasmi tarehe 12 Machi 2014 saa kumi kamili alasiri, kwa mujibu wa taarifa ya Afisa Uchaguzi wa Jimbo la Bagamoyo, David Shija.
Wagombea hao ni:-
Mathayo Torongey (CHADEMA) Phabian Skauki wa (CUF) Vuniru Hussein (NRA) Ramadhan Mgaya (ASP) Ridhiwani Kikwete (CCM)
10 years ago
MichuziQS Muhonda arudisha Fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Kinondoni
QS amesema kuwa ameamua kuchukua fomu na kugombea nafasi hiyo ili kuleta maendeleo ya jimbo hilo na pia anauwezo na ufanisi mkubwa wa kuleta maendeleo katika jimbo hilo la Kinondoni, Lakini pia una ushawishi mkubwa kwa vijana ambao ni taifa la leo kuwafanya kuwa nguvu kazi ya Taifa hususan vijana wengi wa kinondoni ambao hawana ajira...
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Jerry Slaa arejesha fomu ya kugombea ubunge jimbo la Ukonga
Mjumbe wa Halmashauri Kuu na Kamati Kuu ya CCM taifa, Jerry William Silaa akionyesha fomu aliyojaza kwa ajili ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Ukonga katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25 Mwaka huu nchini kote, wakati aliporejesha fomu hiyo katika ofisi za CCM wilaya ya Ilala aliyoikabidhi kwa Katibu Msaidizi wa CCM wilaya ya ILALA (kushoto).
Jerry Slaa aliongozana na Mwenyekiti wa tawi la Gulukakwalala ambako ndio nyumbani kwake, Mwenyekiti wa CCM kata ya Gongo la Mboto...
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Nyalandu achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Singida Kaskazini
Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu akichukua fomu ya kugombea Ubunge katika jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi CCM kwa MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA SINGIDA KASKAZINI, Mkurugenzi Mtendaji HAJJAT MWASUMILWE.
Nyalandu akihutubia wananchi Kinyagigi.
Lazaro Nyalandu akiwa Kinyagigi.
Wananchi wa kijiji cha Kinyagigi wakimpokea Nyalandu.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7PE_Ko3t6Mc/VdXAzC-mITI/AAAAAAAC9yE/AfUNndOQEdM/s72-c/1.jpg)
Anthony Mavunde achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Dodoma jijini.
![](http://3.bp.blogspot.com/-7PE_Ko3t6Mc/VdXAzC-mITI/AAAAAAAC9yE/AfUNndOQEdM/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XQbftpJGg-Y/VdXAx0XleMI/AAAAAAAC9x8/6FjjdIJjSwA/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ecmLwilRBZ8/VdXAy27Jp5I/AAAAAAAC9yU/wyLj3RTXEoo/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QUpkCNTreoU/VdXAzIqvCLI/AAAAAAAC9yI/3d3aR1e6k4Q/s640/unnamed.jpg)