Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STEVE‭ ‬NYERERE UMEKUA‭, ‬ACHANA NA MABIFU‭!‬

KWAKO Steven Mengere‭ ‬‮!‬٪Steve Nyerere‮!&‬‭ ‬mambo vipi swahiba‭? ‬Bila shaka utakuwa uko poa na unaendelea na majukumu yako ya kila siku‭.‬ Ukitaka kujua afya yangu‭, ‬mimi ni mzima kabisa naendelea na mishemishe kama kawaida‭. ‬Nimekukumbuka leo kupitia barua maana kitambo kidogo hatujaonana‭, ‬si unajua tena...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

STEVE NYERERE, HEBU ACHANA NA ZILE ZA RAY

Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Nyerere. KUWA kiongozi wa ngazi yoyote ile, ni changamoto kubwa sana. Hata familia nyingi zinazoyumba, iwe kiuchumi au kimaadili, zinachangiwa kwa kiwango kikubwa sana na kukosa kiongozi imara, awe baba, mama au hata shangazi na mjomba. Baba ambaye hana msimamo, hata kama ana fedha ataifanya familia yake ikose kuaminika, idharaulike. Baba akiwa mlevi kupindukia, akilewa chakari na kuanza kutukana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba achana na CCM

SINA budi nianze kwa kumpa pole ya dhati aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba. Kazi aliyofanya pamoja na tume yake ni kubwa sana. Kwakuwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Obasanjo achana kadi ya chama tawala

ObasanjoMwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
RAIS wa zamani wa Nigeria, Olusegun Obasanjo, juzi alichana kadi yake ya uanachama wa chama tawala cha Peoples Democratic (PDP) na kutangaza kuachana na siasa.
Obasanjo aliichana kadi yake hiyo katika makazi yake ya Hilltop huko Abeokuta Kaskazini wakati akizungumza na viongozi wa PDP kutoka kata 11.
Viongozi wa chama hicho katika kata hizo walienda kumwona Obasanjo ili kusafisha hali ya hewa baada ya kuibuka minong’ono kwamba ametimuliwa kutoka chama...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Tunda Man — Achana na Mimi / Mapenzi Yale

Baada ya kufanya vizuri na wimbo “Msambi Nugwa” Tunda Mani amachia nyimbo mbili kwa pamoja nyimbo hizo ni “Achana na Mimi” na “Mapenzi Yale” hizi ntimbo zimefanyika Studio za A M Records na nyingine Producer ni Mesen Selekta

 

10 years ago

Bongo5

TID kwa Diamond: Leta tuzo nyumbani, achana na maf*la!

TID ni team Diamond. Akipost kwenye Instagram picha ya Diamond ya kuhimiza apigiwa kura za AFRIMA, TID ameandika: “Leta mzigo home achana na mafala, u got my Back.” Swali la kujiuliza mafa*la ni akina nani?

 

9 years ago

MillardAyo

Achana na Lexus ya mabox, cheki na hii yenye matairi ya barafu !!(+Pichaz)

Kama kuna vitu vinayakimbiza maisha kwenye kasi ya ajabu, basi teknolojia nayo imo… uliipata ile ya Lexus iliyotengenezwa kwa mabox, ikafungwa mota alafu ikaingia barabarani na kutembea kama gari tulizozoea? Sasahivi nimekutana na hii ambayo jamaa wamekaa zao chimbo kubuni tu kitu tofauti… kilichobuniwa ni matairi yaliyotengenezwa kwa barafu, ubunifu umefanyika London Uingereza na kampuni […]

The post Achana na Lexus ya mabox, cheki na hii yenye matairi ya barafu !!(+Pichaz) appeared first...

 

11 years ago

GPL

AVAMIA NYUMBA YA MPENZI WAKE, AVUNJA SOFA, ACHANA NGUO NA MASHUKA BAADA YA KUAMBIWA HAPENDWI

Nyumba ya Rebecca Shaw ikiwa imevurugwa. Alipofika alifikiri kuwa ni damu iliyokuwa imetapakaa ukutani kabla ya kubaini kuwa zilikuwa 'tomato sauce'.
Polisi wakikagua ndani ya nyumba ya Rebecca ambapo Geraghty alisababisha hasara ya shilingi milioni 20.9.…

 

10 years ago

TheCitizen

NYERERE DAY: Untold story of how Nyerere won Africa’s deadly war

>As the nation commemorates the 15th anniversary of the death of founding president Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, fresh details  have emerged on how the globally acknowledged statesman built an eight-year-long case as a curtain raiser to  the war against General Idi Amin Dada – one of Africa’s most brutal dictators.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani