STEVE NYERERE, HEBU ACHANA NA ZILE ZA RAY
![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO6EqJBByUGtpgR91N0dEdGndwronEctmJhhO2bAPQgXPB*REw9ULqN-Rnn8qWBGa2OtGRenwnD-*jOvilB7pL24/MAMAWEMA.jpg?width=650)
Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Nyerere. KUWA kiongozi wa ngazi yoyote ile, ni changamoto kubwa sana. Hata familia nyingi zinazoyumba, iwe kiuchumi au kimaadili, zinachangiwa kwa kiwango kikubwa sana na kukosa kiongozi imara, awe baba, mama au hata shangazi na mjomba. Baba ambaye hana msimamo, hata kama ana fedha ataifanya familia yake ikose kuaminika, idharaulike. Baba akiwa mlevi kupindukia, akilewa chakari na kuanza kutukana...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies09 May
Wema: Ray, Steve Nyerere Wanafiki Wakubwa
Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ juzikati alijikuta akivunja ukimya kwa kusema kwamba, wasanii wenzake Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ na Vincent Kigosi ‘Ray’ ni wanafiki wakubwa baada ya kumtosa kwenye Pati ya Instagram iliyofanyika hivi karibuni jijini Mwanza.
Akizungumza na paparazi wa GPL, Wema alisema alikubaliana na mastaa hao kutoenda kwenye Shoo ya Zari All White Party iliyofanyika Mlimani City jijini Dar badala yake waongozane naye jijini Mwanza lakini wakamgeuka.
“Sitaki...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Miy5-5-cgYvf-l92XFe*e9kNlFXYKocciY9-*YZoy*7QeRO31QedlSGFcwRgTdg-FnabUd7P1XpTUgQjy5106dic2T2IFN1n/MAMAWEMA.jpg)
MH! ETI RAY, STEVE NYERERE NAO MAPEDESHEE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MCejJ*-D8liQ-ELhrL7e2G9WjRqVVdSN9DcGLkcZ0XNeZsHZ*XMX4njTIbRrx5xZO3vLvVFe0V001k1TZBGLbYM/VincentKigosi531.jpg?width=650)
‘RAY, STEVE NYERERE WANAFIKI WAKUBWA'
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnmlmKgcCtyTGktR14M*0sLY1uPbvUIgmlcvXoEeuB3GmirMUMe3la2lOnDv7x0N*2PnILBf6EBErrVpHuWMp8tm/150000080.jpg)
STEVE†‬NYERERE UMEKUAâ€, ‬ACHANA NA MABIFUâ€!‬
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Achana na headlines za Steve Harvey za Miss Universe, kutana na list ya mastaa kumi wa soka waliowahi kudata kwa mamiss …
Najua headlines za Mashindano ya Miss Universe zimemalizika wiki hii, licha ya kuwa MC wa sherehe hiyo Steve Harvey kumtangaza kimamkosa Miss Colombia Ariadna Gutierrez Arevalo kama mshindi ila baadae alisahisha kosa hilo, mtu wangu wa nguvu December 24 naomba nikusogezee mastaa kumi wa soka waliowahi kudata kwa mamiss. 10- George Best na Mary Stavin Staa wa zamani wa klabu ya […]
The post Achana na headlines za Steve Harvey za Miss Universe, kutana na list ya mastaa kumi wa soka waliowahi...
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Steve Nyerere: Wamenikomoa
MWENYEKITI wa Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’, amesema anaumizwa na baadhi ya wasanii ambao hawampi ushirikiano licha ya kumpa kura nyingi siku ya uchaguzi, akisema yaonekana walifanya hivyo ili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi*Z*kg7xKE*0aFTNVMfLLJyYoYDDsxp2XC9QLFutwjST06qAo*jR7xyAFADoLpuByf57x5180Ntw9oxeyaH-njn/steven.jpg)
STEVE NYERERE AAIBIKA UWANJANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yhq4i4w-bA0LV4BJ31rwUKTjwW0HXR1hzkf-t28qlMZJm4Gq*ZC6B13F5fKoc9AqRLvqpIAPnbfYuuZE44F47Ck/wem.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AMUONYA WEMA
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Steve Nyerere: Mimi si shoga
MWENYEKITI wa Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’, amekerwa na alichosema uzushi dhidi yake kwamba ni shoga. Kupitia ukurasa wake wa facebook, msanii huyo alisema anachukizwa na kasumba ya baadhi...