Achana na headlines za Steve Harvey za Miss Universe, kutana na list ya mastaa kumi wa soka waliowahi kudata kwa mamiss …
Najua headlines za Mashindano ya Miss Universe zimemalizika wiki hii, licha ya kuwa MC wa sherehe hiyo Steve Harvey kumtangaza kimamkosa Miss Colombia Ariadna Gutierrez Arevalo kama mshindi ila baadae alisahisha kosa hilo, mtu wangu wa nguvu December 24 naomba nikusogezee mastaa kumi wa soka waliowahi kudata kwa mamiss. 10- George Best na Mary Stavin Staa wa zamani wa klabu ya […]
The post Achana na headlines za Steve Harvey za Miss Universe, kutana na list ya mastaa kumi wa soka waliowahi...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo522 Dec
Hatutaki kusikia blanda ya Steve Harvey, Miss Columbia ndio mshindi wa Miss Universe – Rais
![1221-miss-universe-crown-getty-3](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1221-miss-universe-crown-getty-3-300x194.jpg)
Rais wa Colombia, Juan Manuel Santos, amesema pamoja na MC wa shindano la Miss Universe, Steve Harvey kumtangaza kimakosa Miss Colombia, Ariadna Gutierrez kuwa ni mshindi na kisha kudai mshindi halali ni Miss Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach, bado kwake Ariadna ni mshindi.
Manuel Santos alisema: Nilikuwa nikiangalia Miss Universe na familia yangu na hata tulisherehekea tuliposikia kuwa Colombia inaenda kuwa Miss Universe kwa mara ya pili mfululizo. Miss Colombia alikuwa amependeza na...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Z9aRmmWX5XI/default.jpg)
VIMBWANGA VYA MISS UNIVERSE 2015 - MC STEVE HARVEY ALIPOCHEMSHA KUTANGAZA MSHINDI...
FULL SHOW CLICK BELOW
9 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-AI29r59uUss/VnhZ8wlM-GI/AAAAAAAAETo/AUed4Y7TZ3k/s72-c/1130198_1280x720.jpg)
STEVE HARVEY ANNOUNCES WRONG WINNER IN MISS UNIVERSE 2015 (Full Video)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AI29r59uUss/VnhZ8wlM-GI/AAAAAAAAETo/AUed4Y7TZ3k/s600/1130198_1280x720.jpg)
Harvey said it was his mistake and that he would take responsibility for not correctly reading the card, which said that contestant Pia Alonzo Wurtzbach of the...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Hadi kufikia mwaka 2013, hii ndio ilikuwa list ya mastaa wa soka wanaopendwa zaidi duniani …
Mtu wangu wa nguvu najua unafahamu kama mchezo wa soka ndio mchezo unaoongoza kwa kupendwa duniani. Katika soka kuna list ya wachezaji ambao wanapendwa na mashabiki kutokana na vitu ambavyo wanafanya uwanjani. Imenifikia TOP 5 ya mastaa wa soka wanaoongoza kwa kupendwa duniani. Lionel Messi ambaye anaichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania ndio anatufungulia list […]
The post Hadi kufikia mwaka 2013, hii ndio ilikuwa list ya mastaa wa soka wanaopendwa zaidi duniani … appeared first on...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO6EqJBByUGtpgR91N0dEdGndwronEctmJhhO2bAPQgXPB*REw9ULqN-Rnn8qWBGa2OtGRenwnD-*jOvilB7pL24/MAMAWEMA.jpg?width=650)
STEVE NYERERE, HEBU ACHANA NA ZILE ZA RAY
9 years ago
Bongo521 Dec
Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)
![miss universe1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/miss-universe1-300x194.jpg)
Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.
Miss Universe 2015 Pia Alonzo
Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.
Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.
Miss...
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Pia atwaa taji la Miss Universe kwa utata
![pia](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/pia-300x200.jpg)
9 years ago
Bongo523 Dec
Miss Colombia atoa ya moyoni kuhusu kuporwa ushindi wa Miss Universe
![miss universe](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/miss-universe-300x194.jpg)
Baada ya shindano la Miss Universe lililofanyika Jumapili iliyopita (Dec 20) kukumbwa na dosari ya MC kukosea kumtaja mshindi, Miss Colombia ambaye alitangazwa mshindi na dakika chache baadaye kupigwa na butwaa baada ya MC Steve Harvey kurudi na kutangaza kuwa alipewa ushindi kimakosa, hatimaye mrembo huyo ametoa ya moyoni na kumpongeza mshindi wa mwaka huu Miss Ufilipino.
Kupitia Instagram yake Miss Colombia , Ariadna Gutierrez aliandika ujumbe mrefu wa kugusa kuhusu kilichotokea,...