Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIMBWANGA VYA MISS UNIVERSE 2015 - MC STEVE HARVEY ALIPOCHEMSHA KUTANGAZA MSHINDI...


FULL SHOW CLICK BELOW

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Hatutaki kusikia blanda ya Steve Harvey, Miss Columbia ndio mshindi wa Miss Universe – Rais

1221-miss-universe-crown-getty-3

Rais wa Colombia, Juan Manuel Santos, amesema pamoja na MC wa shindano la Miss Universe, Steve Harvey kumtangaza kimakosa Miss Colombia, Ariadna Gutierrez kuwa ni mshindi na kisha kudai mshindi halali ni Miss Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach, bado kwake Ariadna ni mshindi.

1221-miss-universe-crown-getty-3

Manuel Santos alisema: Nilikuwa nikiangalia Miss Universe na familia yangu na hata tulisherehekea tuliposikia kuwa Colombia inaenda kuwa Miss Universe kwa mara ya pili mfululizo. Miss Colombia alikuwa amependeza na...

 

9 years ago

Africanjam.Com

STEVE HARVEY ANNOUNCES WRONG WINNER IN MISS UNIVERSE 2015 (Full Video)

The Miss Universe contestant from the Philippines is this year's winner, but for one brief moment Sunday evening, it appeared as if it might be a repeat win for Colombia.Colombia contestant Ariadna Gutierrez Arevalo was already wearing the crown as this year's Miss Universe winner when host Steve Harvey returned to apologize.

Harvey said it was his mistake and that he would take responsibility for not correctly reading the card, which said that contestant Pia Alonzo Wurtzbach of the...

 

9 years ago

Bongo5

Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)

miss universe1

Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.

miss universe1
Miss Universe 2015 Pia Alonzo

Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.

miss colombia

Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.

miss universe-2
Miss...

 

9 years ago

MillardAyo

Achana na headlines za Steve Harvey za Miss Universe, kutana na list ya mastaa kumi wa soka waliowahi kudata kwa mamiss …

Najua headlines za Mashindano ya Miss Universe zimemalizika wiki hii, licha ya kuwa MC  wa sherehe hiyo Steve Harvey kumtangaza kimamkosa Miss Colombia Ariadna Gutierrez Arevalo kama mshindi ila baadae alisahisha kosa hilo, mtu wangu wa nguvu December 24 naomba nikusogezee mastaa kumi wa soka waliowahi kudata kwa mamiss. 10- George Best na Mary Stavin Staa wa zamani wa klabu ya […]

The post Achana na headlines za Steve Harvey za Miss Universe, kutana na list ya mastaa kumi wa soka waliowahi...

 

10 years ago

GPL

MISS COLOMBIA PAULINA VEGA ATWAA TAJI LA MISS UNIVERSE 2015, UMATI WAZOMEA

Miss Colombia, Paulina Vega baada ya kuvishwa taji la Miss Universe 2015. Miss Jamaica Kaci Fennell (22) aliyetarajiwa na wengi kutwaa taji hilo.…

 

9 years ago

Global Publishers

Miss Universe 2015 atetea wanaomponda Miss Colombia

2FA0137100000578-3374966-image-a-56_1451172165739Mshinda wa Shindano la Miss Universe 2015, Pia Alonzo Wurtzbach.

MSHINDI wa Shindano la Miss Universe 2015, Pia Alonzo Wurtzbach kwa mara ya kwanza amefungukia watu wanaomponda Miss Colombia kuwa waache mara moja.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Miss Pia aliongelea kuhusiana na mshiriki huyo wa Colombia ambaye alitaka kupewa taji kimakosa baada ya kutajwa kama mshindi kimakosa na mshereheshaji (MC), Steve Harvey katika fainali zilizofanyika hivi karibuni.

2FA01DF000000578-3374966-image-a-55_1451172149264“Hii ni kwa ajili ya mashabiki...

 

9 years ago

Michuzi

MISS TANZANIA Lorraine at Miss Universe 2015

 Lorraina C. Marriot, Miss Universe Tanzania 2015 poses for a photo at The Venetian in Las Vegas, Nevada on Monday, December 7th. The 2015 Miss Universe contestants are touring, filming, rehearsing and preparing to compete for the DIC Crown in Las Vegas. Tune in to the FOX telecast at 7:00 PM ET live/PT tape-delayed on Sunday, Dec. 20, from Planet Hollywood Resort & Casino in Las Vegas to see who will become Miss Universe 2015. HO/The Miss Universe OrganizationKeywords: Miss Universe 2015,...

 

10 years ago

Bongo5

Ajali yamzuia Miss Universe TZ kushiriki mashindano ya kimataifa, nafasi yake yachukuliwa na mshindi wa 2

Kamati ya Miss Universe Tanzania imemteua mshindi wa pili wa Miss Universe 2014, Nale Boniface kwenda kuiwakilisha nchi katika mashindano ya kimataifa ya Miss Universe yatakayofanyika mwanzoni mwa mwezi wa kwa kwanza 2015 Miami, Marekani. Nale Boniface Hatua hii imechukuliwa baada ya mshindi husika Miss Universe Tanzania 2014, Carolyne Bernard kupata ajali na kuvunjika kidole […]

 

9 years ago

MillardAyo

Utata kwenye stage ya fainali za Miss Universe Marekani baada ya mshindi kukosewa.. (+Video)

Unaweza kukosea ukaomba radhi lakini watu wasiwe wepesi kukusamehe au kukuelewa kwamba umejikwaa kibinadamu… utata na kelele ziliibuka kwenye stage ya Planet Hollywood, Las Vegas Marekani saa chache zilizopita. Noma zaidi ni kwamba ishu haikuishia kwenye stage wala ukumbini, watu wakaingia mitandaoni kila mmoja akiongea la kwake huku wengi wakionekana kama hawajachukulia poa kosa la MC […]

The post Utata kwenye stage ya fainali za Miss Universe Marekani baada ya mshindi kukosewa.. (+Video)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani