Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sudan Kusini hamkani si shwari

Dokta Riek Machar, ameapa kuwa Rais Kiir asipojiuzulu ,ataanzisha harakati za kupindua Serikali yake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Israel hamkani si shwari

Mwanamke mmoja mwenye asili ya Israel ameshambuliwa kwa kisu na kusababisha kifo chake katika eneo la West Bank.

 

10 years ago

Mwananchi

Je, hamkani hali si shwari Ukawa?

Mjadala wa kugawana majimbo na kusimamisha mgombea urais ndani ya Ukawa, umekuwa kimya kutokana na harakati za upande wa pili wa wagombea wa urais kwa tiketi ya CCM kuchukua nafasi ya mjadala mpana mitaani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Durban wageni! hamkani si shwari.

Afrika Kusini inakumbwa na wakati mgumu kutokana na kukithiri kwa visa vya mashambulizi dhidi ya wahamiaji na wageni wa Kiafrika

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukraine hamkani si shwari,mjini Donetsk

Donetsk mashariki mwa Ukraine,hamkani si shwari na kugharimu maisha ya mtu mmoja na kusababisha majeruhi kadhaa.

 

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA ZANZIBAR: Tukubali, hamkani si shwari

>Gwiji wa riwaya duniani, Chinua Achebe (marehemu) katika kitabu chake cha ‘Things Fall Apart’( Hamkani si shwari tena) ambacho alikitunga mwaka 1958 alizungumzia  matatizo yaliyotokana na ukoloni katika Bara la Afrika.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) ulitiwa saini usiku wa jana, Jumatano, Januari 21, 2015, katika sherehe ya kufana iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Ngurdoto, Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha.

Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...

 

10 years ago

Michuzi

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza utiaji wa saini. Kutoka kulia ni  Mhe. Salva Kiir Mayardit  Rais wa Sudan Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa SPLM na anayeongoza kundi linalojulikana kama SPLM in Government (SPLM-IG), Mhe Dkt. Riek Machar ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa SPLM na pia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini anayeongoza kundi la SPLM in Opposition (SPLM-IO) na Dkt. Deng Alor Kuol ambaye anaongoza kundi la SPLM Leaders- Former Detainees (SPLM Leaders – FD). Nyuma yao ni...

 

10 years ago

GPL

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) jijini Arusha

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wakati  Rais Salva
Kiir Mayardiy wa Sudan ya Kusini (kushoto) na Makamu wa Rais wa zamani
wa Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) wakipeana mikono na
kubadilishana nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa  makubaliano ya
kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya…
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani