Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUTOKA ZANZIBAR: Tukubali, hamkani si shwari

>Gwiji wa riwaya duniani, Chinua Achebe (marehemu) katika kitabu chake cha ‘Things Fall Apart’( Hamkani si shwari tena) ambacho alikitunga mwaka 1958 alizungumzia  matatizo yaliyotokana na ukoloni katika Bara la Afrika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Israel hamkani si shwari

Mwanamke mmoja mwenye asili ya Israel ameshambuliwa kwa kisu na kusababisha kifo chake katika eneo la West Bank.

 

10 years ago

Mwananchi

Je, hamkani hali si shwari Ukawa?

Mjadala wa kugawana majimbo na kusimamisha mgombea urais ndani ya Ukawa, umekuwa kimya kutokana na harakati za upande wa pili wa wagombea wa urais kwa tiketi ya CCM kuchukua nafasi ya mjadala mpana mitaani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini hamkani si shwari

Dokta Riek Machar, ameapa kuwa Rais Kiir asipojiuzulu ,ataanzisha harakati za kupindua Serikali yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Durban wageni! hamkani si shwari.

Afrika Kusini inakumbwa na wakati mgumu kutokana na kukithiri kwa visa vya mashambulizi dhidi ya wahamiaji na wageni wa Kiafrika

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukraine hamkani si shwari,mjini Donetsk

Donetsk mashariki mwa Ukraine,hamkani si shwari na kugharimu maisha ya mtu mmoja na kusababisha majeruhi kadhaa.

 

10 years ago

Vijimambo

KUTOKA AMBONI TANGA POLISI YATOA TAMKOA HALI NI SHWARI

Baadhi ya magari ya Polisi yakiwa kwenye moja ya barabara ya kuelekea Mapango ya Amboni, wakati wa Doria maalum iliyoanza jana baada ya eneo hilo kuvamiwa na waliodaiwa kuwa ni Magaidi wa Al- Shabaab. Hata hivyo Polisi Mkoa wa Tanga leo imetoa tamko kuwa hali katika mapango hayo ni shwari baada ya kufanikiwa kuwatimua watu hao walioonekana kutimkia mpakani mwa nchi ya Kenya.Sehemu ya mawe ya Msitu wa Amboni...Baadhi ya askari Polisi wakiwa katika doria, ambapo imeelezwa kuwa jumla ya askari...

 

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA ZANZIBAR: Yako wapi mapato ya Zanzibar katika Muungano?

>Tumesikia matamshi ya mbunge wa Nkasi Kaskazini kupitia CCM, Ally Mohammed Keissy alipochangia bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akisema Zanzibar haichangii katika Muungano, hivyo haina haki ya kuhoji mambo ya upande wa pili.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tukubali mabadiliko

RAIS John Magufuli alifungua rasmi Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwishoni mwa wiki ili

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tukubali Azam FC walistahili

NI Jumatatu nyingine tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kama kawaida kupeana changamoto za kispoti, lengo likiwa ni lile lile, kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu ya michezo. Kwanza nawatakia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani