Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Israel hamkani si shwari

Mwanamke mmoja mwenye asili ya Israel ameshambuliwa kwa kisu na kusababisha kifo chake katika eneo la West Bank.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini hamkani si shwari

Dokta Riek Machar, ameapa kuwa Rais Kiir asipojiuzulu ,ataanzisha harakati za kupindua Serikali yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Durban wageni! hamkani si shwari.

Afrika Kusini inakumbwa na wakati mgumu kutokana na kukithiri kwa visa vya mashambulizi dhidi ya wahamiaji na wageni wa Kiafrika

 

10 years ago

Mwananchi

Je, hamkani hali si shwari Ukawa?

Mjadala wa kugawana majimbo na kusimamisha mgombea urais ndani ya Ukawa, umekuwa kimya kutokana na harakati za upande wa pili wa wagombea wa urais kwa tiketi ya CCM kuchukua nafasi ya mjadala mpana mitaani.

 

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA ZANZIBAR: Tukubali, hamkani si shwari

>Gwiji wa riwaya duniani, Chinua Achebe (marehemu) katika kitabu chake cha ‘Things Fall Apart’( Hamkani si shwari tena) ambacho alikitunga mwaka 1958 alizungumzia  matatizo yaliyotokana na ukoloni katika Bara la Afrika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine hamkani si shwari,mjini Donetsk

Donetsk mashariki mwa Ukraine,hamkani si shwari na kugharimu maisha ya mtu mmoja na kusababisha majeruhi kadhaa.

 

10 years ago

Habarileo

Dar shwari Krismasi

Dar es SalaamHALI ya usalama katika jiji la Dar es Salaam imeelezwa kuwa shwari katika sikukuu ya Krismasi huku ulinzi ukiimarishwa zaidi kuelekea mwisho wa mwaka.

 

10 years ago

Mwananchi

Hali si shwari Simba

Wakati kocha Mserbia Goran Kopunovic anayetajiwa kuwasili leo kuchukua nafasi ya Patrick Phiri, wachezaji Simon Sserunkuma, Joseph Owino na Juuko Murshid wameikacha Simba na kurudi kwao Uganda.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

BBCSwahili

Yemen bado si shwari

Muda mfupi baada ya makubaliano ya kusitisha mapigano kuanza kutekelezwa usiku wa kuamkia leo, kumezuka mapigano kusini mwa Yemen.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani