Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dar shwari Krismasi

Dar es SalaamHALI ya usalama katika jiji la Dar es Salaam imeelezwa kuwa shwari katika sikukuu ya Krismasi huku ulinzi ukiimarishwa zaidi kuelekea mwisho wa mwaka.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Dar si shwari tena, uchafu, mvua vyote vyatuua

Hamkani si shwari tena. Haya ni maneno machache ninayoweza kuelezea hili tatizo linaloendelea kwa sasa. Kwa sababu ile Dar es Salaam iliyokuwa ikisifika kwa kwa uzuri wake, kwa sasa inatajwa kuwa si mahala salama pa kuishi.

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA KRISMASI LILIVYOFANA DAR

Oliver Wema kutoka Arusha ambaye ni mwanafunzi wa Rose Mhando akitumbuiza pamoja na wachezaji wake. Bonny Mwaitege akicheza pamoja na vijana wake.…

 

9 years ago

Mwananchi

79 wazaliwa Dar mkesha wa Krismasi

Jumla ya watoto 79 wamezaliwa katika mkesha wa Sikukuu ya Krismasi katika hospitali za rufaa za mkoa wa Dar es Salaam. Kati ya idadi hiyo, watoto wawili wamezaliwa njiti katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili na hali zao zinaendelea vizuri.

 

11 years ago

GPL

11 years ago

Tanzania Daima

Kishindo Tamasha la Krismasi gumzo Dar

ZIKISALIA siku chache kabla ya kufanyika Tamasha la muziki wa Injili la Krismasi litakalozinduliwa Desemba 25 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kabla ya kuhamia Arusha, Morogoro, Tanga...

 

11 years ago

GPL

MASTAA KUFURIKA... DAR LIVE SIKU YA KRISMASI

Na Mwandishi wetu
BURUDANI juu ya burudani! Mastaa mbalimbali wa filamu wanatarajiwa kufurika kwa wingi ndani ya Ukumbi wa Dar Live Mbagala-Zakhem jijini Dar, siku ya Krismasi katika tamasha maalumu lililopewa jina la Mtoko wa Mastaa, likiambatana na shoo ya nguvu yenye mchanganyiko wa Bongo Fleva, Hip Hop na Taarabu kutoka kwa wasanii nguli wa miondoko hiyo. Wema Sepetu. Siku hiyo, mashabiki watapata nafasi ya kupiga picha...

 

9 years ago

Global Publishers

Wakali Dancers wafunika Krismasi Dar Live

dansa wakalai dancers wakali dancers wakaliKundi linalobamba Afrika Mashariki kwa miondoko ya kucheza, Wakali Dancers wakikamua jukwaani Sikukuu ya Krismasi ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar .

(PICHA: MUSA MATEJA NA RICHARD BUKOS/GPL)

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA KRISMASI LAFANA UWANJA WA TAIFA, JIJINI DAR

Mwimbaji wa muziki wa injili Solomon Mahlangu kutoka nchini Afrka Kusini akiimba jukwaani  kwenye uwanja wa Taifa katika tamasha kubwa la Krismas lililofanyika jijini Dar es salaam likishirikisha waimbaji wengi kutoka nchi mbalimbali za afrika wakiwemo waimbaji wa Tanzania, Mwimbaji huyo Nguli wa muziki wa njili ameonyesha uzoefu mkubwa katika kuimba tofauti na waimbaji wengine waliotangulia ukiacha Ephraim Sekereti wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani