SUMAYE ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS-2015 JIJINI DAR LEO.
Waziri Mkuu Mstafu Fedrick Tluway Sumaye wa awamu ya pili Mwaka (1995 – 2005) na Mbunge wa Jimbo la Hanang (CCM) akizungumza wakati wa kutangaza nia ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,katika mkutano uliofanyika ndani ya hoteli ya Hayyat Regency jijini Dar es Salaam leo, akiwa na kauli mbiu ya"KOMESHA RUSHWA JENGA UCHUMI"
Baadhi ya wananchi na Wanahabari mbalimbali waliohudhuria katika Mkutano wa Waziri Mkuu Mstafu Fedrick Tluway Sumaye wakati akitangaza nia ya kugombea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSUMAYE ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015
10 years ago
Michuzi07 Sep
MBUNGE WA JIMBO LA NZEGA DR.KHAMIS KINGWANGALLAH ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/115.jpg)
BOFYA HAPA KUSOMA HOTUBA YAKE
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/115.jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA NZEGA DK KHAMIS KIGWANGALA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-B56aPKKJOjs/VXQlgtrtK2I/AAAAAAADqUo/p8dwA4sfB68/s72-c/2.jpg)
WAZIRI MEMBE ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS - LINDI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-B56aPKKJOjs/VXQlgtrtK2I/AAAAAAADqUo/p8dwA4sfB68/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7MNZfTATmpY/VXQlo8gqe2I/AAAAAAADqU4/u5Cj-DI4Ytg/s640/5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Jun
Waziri Membe atangaza nia ya kugombea urais — Lindi leo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akizungumza na wana CCM na wakazi wa Lindi katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa jana, wakati akitangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania leo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Mwezi Oktoba.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe na mkewe Dorcas wakilakiwa na wana CCM na wakazi wa Lindi alipowasili katika...
10 years ago
VijimamboMwenyekiti wa Chama cha Wakulima AFP, Said Soud Said, Atangaza Nia kugombea Urais 2015
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ee-10PmCW5Q/VXQjlEEbnvI/AAAAAAAHcvM/CCpotnPGsIE/s72-c/unnamed%2B%252895%2529.jpg)
WAZIRI MEMBE ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS MKOANI LINDI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ee-10PmCW5Q/VXQjlEEbnvI/AAAAAAAHcvM/CCpotnPGsIE/s640/unnamed%2B%252895%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rAFo5DPopPg/VXQjlPQICfI/AAAAAAAHcvI/MJ0Os5aiKHM/s640/unnamed%2B%252896%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboKADA WA CCM ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KAWE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziNYALANDU ATANGAZA NIA KUGOMBEA URAIS