Sumaye: Nimeanza kutishwa
*Lowassa atumia mahakama ya wananchi kuchagua mbunge
Na Fredy Azzah, Masasi
WAZIRI Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, amesema ameanza kupata vitisho baada ya kuzungumza mambo mbalimbali ya Serikali katika kampeni za mgombea urais wa Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa.
Akizungumza jana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Viwanja vya Madeko, Jimbo la Ndanda wilayani Masasi mkoani Mtwara, Sumaye alisema vitisho hivyo ni pamoja na kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Jun
Membe: Watanzania wasikubali kutishwa
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akizungumza na umati wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliofika mjini Kigoma jana, kwa ajili ya kumdhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho.(Picha na John Badi).
Na Mwandishi wetu, Kigoma
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema Chama cha Mapinduzi (CCM) na Serikali yake, haviwezi kutishwa na mtu yeyote katika...
11 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Pinda: Nimeanza mbio za urais
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amefanya kile alichokifanya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, kwa kutangaza nia ya kuwania urais mwaka 2015, akiwa jijini London nchini Uingereza. Pinda...
11 years ago
GPL
SASA NIMEANZA KUWA NA SHAKA NA BATULI!
11 years ago
Mwananchi01 Oct
Waliopiga kura ya hapana walalamika kutishwa
11 years ago
Habarileo02 Jan
Lowassa: Nimeanza safari yenye matumaini
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa amesema ameanza safari yake jana yenye matumaini makubwa kwa Watanzania, lakini yenye vikwazo vingi, ingawa anasema ana uhakika wa kufika na kushinda.
10 years ago
Bongo Movies26 Jan
Mama Kanumba:Nimeanza Kuigiza Toka Nilipokuwa Sekondari!!
Akizungumzia kipaji chake cha uigizaji, Flora Mtegoa “Mama Kanumba” alisema hakufanya hivyo baada ya mwanaye kufariki, bali alikuwa akiigiza wakati alipokuwa kigori, hivyo ameamua kuendeleza kipaji chake.
“Nikiwa sekondari niliigiza, wakati huo mtoto wa kike kupelekwa shule mpaka vikao, zamani binti hakuruhusiwa kusoma, ilikuwa ngumu, kwa hiyo unacheza huku ukifikiria kwamba nyumbani wakijua nimeingia huku itakuwa tatizo, baadaye nikaacha,” alisema.
Alisema baada ya Kanumba kufariki,...
11 years ago
Mwananchi28 Oct
Tegete: Subirini, ndiyo kwanza nimeanza kazi Yanga
10 years ago
Michuzi
WAZIRI MEMBE APATA WADHAMINI KIGOMA AWATAKA Watanzania wasikubali kutishwa
11 years ago
Michuzi05 Mar