Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SURA MBILI ZA WILLIAM LUKUVI: Unafiki na woga wa kisiasa

WILLIAM Lukuvi ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uratibu na Bunge), ametokea kuwa mtu mwenye sura mbili kisiasa! Sura ya kwanza ni unafiki wa kisiasa na sura...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

YA KIKWETE, KARUME NA LUKUVI: Ni ghiliba, woga au uchovu kisiasa?

NAANZA kushindwa kuandika mara kwa mara. Kama ulimi unavyokwama ndivyo mkono unavyotetemeka. Hasa juu ya hili la watawala kusingizia jeshi kuwa litapindua serikali pindi nchi ikiwa na utawala wa mfumo...

 

9 years ago

TheCitizen

William Lukuvi ends 27yr-old dispute

The school land will be surveyed for free but residents will be required to pay for the exercise

 

10 years ago

Dewji Blog

William Lukuvi aanza ziara mkoani Rukwa

1

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi akipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Injinia Stella Manyanya alipowasili uwanja wa ndege wa Sumbawanga kuanza ziara ya kutatua migogoro ya ardhi Mkoani humo.

New Picture (7)

Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akimpokea Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi alipowasili eneo la Jangwani mjini Sumbawanga kuweka jiwe la msingi katika nyumba za makazi zinazojengwa na NHC kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:William Lukuvi

Kila mwaka tumekuwa tukichangishwa michango inayodaiwa kuwa ni ya maendeleo wakati mwingine tumekuwa tukichangia nguvu zetu katika kutekeleza baadhi ya majukumu, kwa nini hadi leo hatujawahi kusomewa mapato na matumizi ya kijiji chetu?.

 

10 years ago

IPPmedia

Minister for Lands, Housing and Human Settlements Development, William Lukuvi


IPPmedia
Minister for Lands, Housing and Human Settlements Development, William Lukuvi
IPPmedia
The Minister for Lands, Housing and Human Settlements Development, William Lukuvi (pictured) has suspended Mwanza region assistant land officer Asubuhi Otieno for changing the use of a given plot of land in the city contrary to the laws and regulations.

 

10 years ago

Michuzi

ZIARA YA WAZIRI WA ARDHI MH. WILLIAM LUKUVI BABATI MKOANI MANYARA

1aMkuu wa mkoa wa Manyara ,Mhe.Joel Nkaya Bendera akizungumza katika kikao cha viongozi wa wilaya zote za mkoa huo kilichofanyika ofisi ya Mkuu wa Mkoa mjini Babati,kushoto ni Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Mhe.William Lukuvi na kulia ni Mkuu wa wilaya ya Babati,Crispin Meela.Mhe.Bendera amesisitiza nidhamu ya kazi katika kuhudumia wananchi na ameapa kuwaondoa watendaji wabovu mkoani humo.2aWaziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Mhe.William Lukuvi akizungumza katika kikao...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri William Lukuvi aagwa rasmi shirika la Nyumba la Taifa !

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi akipokea ngao yenye picha ya chui ikiwa ni ishara ya tuzo ya Shirika la Nyumba la Taifa kwa Waziri huyo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Kyando Mchechu kwa kuonyesha utendaji uliokuwa wa kasi usiochoka wakati Waziri Lukuvi alipotembelea katika Shirika hilo kuaga rasmi.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi akipokea ngao yenye picha ya chui ikiwa ni ishara ya tuzo ya...

 

10 years ago

Mwananchi

SURA MBILI (15)

Vasco Nunda alianza kazi rasmi kumtumikia Salim Zakwa. Yeye na Liston Kihongwe wakawa wanampeleka bosi wao katika sehemu mbalimbali za jiji kukutana na maajenti wake ama kuwakabidhi bidhaa au kupokea fedha. Na wakati huo pia  Kamba alikuwa akiwaonya maajenti waliokuwa wakichelewesha malipo..

 

10 years ago

Mwananchi

Sura mbili -3

Katika hadithi iliyopita tulisoma jinsi Salum Zakwa alivyomuua rafiki yake wa ndani ambaye walikuwa wakicheza pamoja mchezo wa kamari katika Hoteli ya Africo. Alishirikiana na vijana wake kina Liston na Vasco. Sasa endelea. Vasco Nundu alianza kazi rasmi kumtumikia  Salum Zakwa. Yeye na Liston Kihingwe walikuwa wanampeleka bosi wao  katika sehemu mbalimbali za jiji kukutana na maajenti wake ama kuwakabidhi bidhaa au kupokea fedha ama vyote viwili, kukabidhi au kupokea. Wakati huo pia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani