SWAPO yaelekea kushinda tena Namibia
Chama tawala cha Namibia, SWAPO, chaonesha kupata kura nyingi katika matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Oct
Picha: Wema Sepetu afunga ndoa na Luis Munana wa Namibia, ni movie tena?
Wema Sepetu amefunga ndoa kwa mara ya pili mwaka huu – kwenye movie bila shaka! Baada ya miezi kadhaa iliyopita kufunga ndoa kwenye movie na JB, Wema anaonekana kufanya movie nyingine tena ambayo anaishia kuwa mke wa mtu – at least kwa inavyoonekana kwenye Instagram. Awamu hii japo hajaweka wazi kama ni movie, Wema ameonekana […]
10 years ago
Bongo528 Dec
Diamond na Vanessa Mdee waing’arisha tena Tanzania kwa kushinda tuzo za Afrima Nigeria
Diamond Platnumz na Vanessa Mdee wameshinda tuzo nyingine za kimataifa za ‘All Africa Music Awards’ (AFRIMA) zilizotolewa usiku wa December 27 huko Lagos, Nigeria. Vanessa a.k.a Vee Money ameshinda kipengele cha ‘Msanii Bora wa Kike Afrika Mashariki’, na kuwashinda Wahu (Kenya), Size 8 (Kenya), Muthoni the Drummer Queen (Kenya), Kaz (Kenya) na Jackie Chandiru (Uganda) […]
10 years ago
TheCitizen03 Dec
Income gap wide, but Swapo wins elections
Amid reports that last Sunday’s landmark presidential polls in Tunisia are headed for a second round, the 2014 African electoral calendar continued to unfold inexorably last week, with reportedly smooth general elections held in Namibia on Friday.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aNYZHU1S6QU/VcS3CWezBWI/AAAAAAAHvGw/US1RJBXmAKA/s72-c/thumb_IMG_6850_1024.jpg)
TWIGA STARS YAELEKEA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-aNYZHU1S6QU/VcS3CWezBWI/AAAAAAAHvGw/US1RJBXmAKA/s640/thumb_IMG_6850_1024.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kA5_JFqxxXM/VcS3DVqnqxI/AAAAAAAHvHA/gQU-DFBwCCc/s640/thumb_IMG_6874_1024.jpg)
Kikosi cha timu ya Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) kimeodoka leo saa 6 mchana jijini Dar es salaam kuelekea kisiwani Zanzibari, ambapo kitaweka kambi ya mwezi mmoja kujiandaa na fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) mwezi Septemba.
Msafara wa Twiga Stars umeondoka na boti ya Azam (Kilimanjaro) ukiwa na watu 32, wakiwemo wachezaji 25, benchi la ufundi 6 pamoja na kiongozi wa msafara, ambapo TFF imegharamia kambi hiyo...
10 years ago
BBCSwahili12 May
Taifa Stars yaelekea Afrika ya Kusini
Timu ya Taifa ya Tanzania ,Jumatano inatarajiwa kuelekea nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kushiriki michuano ya kombe la COSAFA.
11 years ago
BBCSwahili08 Feb
Misaada ya chakula yaelekea mjini Homs.
Umoja wa mataifa unataraji kuwafikishia chakula na dawa raia waliokwama katika mji Homs nchini Urusi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania