Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SWAPO yaelekea kushinda tena Namibia

Chama tawala cha Namibia, SWAPO, chaonesha kupata kura nyingi katika matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Wema Sepetu afunga ndoa na Luis Munana wa Namibia, ni movie tena?

Wema Sepetu amefunga ndoa kwa mara ya pili mwaka huu – kwenye movie bila shaka! Baada ya miezi kadhaa iliyopita kufunga ndoa kwenye movie na JB, Wema anaonekana kufanya movie nyingine tena ambayo anaishia kuwa mke wa mtu – at least kwa inavyoonekana kwenye Instagram. Awamu hii japo hajaweka wazi kama ni movie, Wema ameonekana […]

 

10 years ago

Bongo5

Diamond na Vanessa Mdee waing’arisha tena Tanzania kwa kushinda tuzo za Afrima Nigeria

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee wameshinda tuzo nyingine za kimataifa za ‘All Africa Music Awards’ (AFRIMA) zilizotolewa usiku wa December 27 huko Lagos, Nigeria. Vanessa a.k.a Vee Money ameshinda kipengele cha ‘Msanii Bora wa Kike Afrika Mashariki’, na kuwashinda Wahu (Kenya), Size 8 (Kenya), Muthoni the Drummer Queen (Kenya), Kaz (Kenya) na Jackie Chandiru (Uganda) […]

 

10 years ago

TheCitizen

Income gap wide, but Swapo wins elections

Amid reports that last Sunday’s landmark presidential polls in Tunisia are headed for a second round, the 2014 African electoral calendar continued to unfold inexorably last week, with reportedly smooth general elections held in Namibia on Friday.

 

10 years ago

Michuzi

TWIGA STARS YAELEKEA ZANZIBAR

Kikosi cha timu ya Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars).

Kikosi cha timu ya Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) kimeodoka leo saa 6 mchana jijini Dar es salaam kuelekea kisiwani Zanzibari, ambapo kitaweka kambi ya mwezi mmoja kujiandaa na fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) mwezi Septemba.
Msafara wa Twiga Stars umeondoka na boti ya Azam (Kilimanjaro) ukiwa na watu 32, wakiwemo wachezaji 25, benchi la ufundi 6 pamoja na kiongozi wa msafara, ambapo TFF imegharamia kambi hiyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Taifa Stars yaelekea Afrika ya Kusini

Timu ya Taifa ya Tanzania ,Jumatano inatarajiwa kuelekea nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kushiriki michuano ya kombe la COSAFA.

 

11 years ago

BBCSwahili

Misaada ya chakula yaelekea mjini Homs.

Umoja wa mataifa unataraji kuwafikishia chakula na dawa raia waliokwama katika mji Homs nchini Urusi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani