Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Syria:Mashambulizi yashindwa kukabili IS

Syria imesema kuwa mashambulizi ya miezi miwilli yanayoongozwa na Marekani yameshindwa kulidhoofisha kundi la Islamic State.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi yalaaniwa Syria

Umoja wa mataifa,walaani mashambulizi yanayoendelea dhidi ya Raia nchini Syria

 

9 years ago

BBCSwahili

Amnesty yalaumu mashambulizi Syria

Amnesty International inao ushahidi dhidi ya mashambulizi ya anga nchini Syria kuua maelfu ya raia, na uharibifu mkubwa wa mali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yafanya mashambulizi zaidi Syria

Ndege za Urusi zimefanya mashambulio zaidi nchini Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameron aomba idhini kukabili IS Syria

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron ameiomba bunge idhini ya kukabili IS nchini Syria ilikumaliza uwezo wake wa kuivamia

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

5 years ago

BBCSwahili

11 years ago

BBCSwahili

EU yashindwa na hali Ukraine

Wajumbe wa Umoja wa Ulaya wamelazimika kuondoka mjini Kiev bila kukutana na Rais Vitor Yanukovic kutokana na utovu wa usalama

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga yashindwa kuikamata Azam

01(3)NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
TIMU ya Yanga jana ilishindwa kuwakamata vinara wa Ligi Kuu ya Vodacom, Azam FC walio kileleni kwenye msimamo baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana na Ndanda ya Mtwara, mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Sare hiyo imeifanya Yanga kufikisha jumla ya pointi 19 ikizidiwa pointi mbili na vinara Azam, Mtibwa Sugar ni ya tatu ikiwa na pointi 18 sawa na Polisi Morogoro na JKT Ruvu zilizo nafasi ya nne na tano, Simba yenyewe ipo nafasi ya saba...

 

10 years ago

BBCSwahili

NASA yashindwa kubaini vimondo

Shirika la safari za anga la juu nchini Marekani NASA,imeoneshwa ukinzani kutokana na kushindwa kung'amua vitu vya hatari angani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani