TAARIFA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA KUHUSU MKUTANO WA CHADEMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-KX1TdRFg4Yw/Vcy9KXuFJTI/AAAAAAABTtk/onKBPv1C8BI/s72-c/DSC00361.jpg)
Mnamo tarehe 10/08/2015 Ofisi ya Mkuu wa polisi wilaya ya Mbeya ilipokea barua toka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inayohusu taarifa ya mkutano wa hadhara utakaofanyika tarehe 14/08/2015 katika viwanja vya Ruanda Nzovwe. Lengo la mkutano huo ni mgombea wa raisi kuomba wadhamini.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi24 Jun
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HFQqnDfkm2w/XrVv5O-ussI/AAAAAAALpgg/hwlAEQOUcwULbr1owUwHsq-Ly1QJ8yttgCLcBGAsYHQ/s72-c/JB9A1478AAA-768x512.jpg)
TAARIFA YA UHALIFU KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HFQqnDfkm2w/XrVv5O-ussI/AAAAAAALpgg/hwlAEQOUcwULbr1owUwHsq-Ly1QJ8yttgCLcBGAsYHQ/s640/JB9A1478AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/JB9A1489AAA-1024x682.jpg)
…………………………………………………………………………….
KUJIPATIA FEDHA KWA NJIA YA UDANGANYIFU [MTANDAO WA KIJAMII].
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili 1. SOPHIA ELIA MWALUANDA [22] Mfanyabiashara na Mkazi wa Sistila Jijini Mbeya na 2. MPAJI SELEMAN MWINYIMVUA [38] Mkazi wa Manzese Jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kwa kutumia akaunti feki ya “facebook” yenye jina la Mheshimiwa Mama Janeth Magufuli Mke wa Mheshimiwa Rais wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EybTReX1BA4/VGW41FZ9A1I/AAAAAAADIJI/hDSNVO8ptyQ/s72-c/MMG23716.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA:WANAFUNZI WATATU WA KIKE WAFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI CHA UDONGO WILAYA YA ILEJE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-EybTReX1BA4/VGW41FZ9A1I/AAAAAAADIJI/hDSNVO8ptyQ/s1600/MMG23716.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WMSsrQaX95s/VGW5CiUYoSI/AAAAAAADIJQ/I8dSTDwWyns/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
TUKIO HILO LIMETOKEA TAREHE 12.11.2014 MAJIRA YA SAA 12:00HRS...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gJOZn-7ANt0/XqLggrT7BCI/AAAAAAALoEA/fOQAWsKC8Q4l4UZ3x86-2jHCpBDFaP2kACLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI KUTOKA MKOA WA MBEYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gJOZn-7ANt0/XqLggrT7BCI/AAAAAAALoEA/fOQAWsKC8Q4l4UZ3x86-2jHCpBDFaP2kACLcBGAsYHQ/s320/New%2BPicture.png)
Tukio hili lilitokea tarehe 23/04/2020 saa 05:00 Wilaya ya Rungwe. Marehemu ambaye ni bibi mzaa baba wa mtuhumiwa walilala nyumba moja. Huku mtuhumiwa akiwa sebuleni na marehemu amelala chumbani.
Usiku muda usiojulikana HAKIMU JAMES MWAKIFUNA alichukua kitu chenye...
10 years ago
Michuzi28 Oct
5 years ago
MichuziTAARIFA YA JESHI LA POLISI KUTOKA MKOA WA MBEYA
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI.
KUINGIZA GARI NCHINI BILA KIBALI.
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili BAKARI WALII SEMVUA [31] Mfanyabiashara na mkazi wa Mbagala Jijini Dar -es- Salaam na VICTOR JIMMY BROWN[25] Dereva/fundi, mkazi wa Tabata Segerea Jijini Dar -es- Salaam kwa tuhuma za kuingiza Gari nchini bila kibali.
Watuhumiwa walikamatwa mnamo tarehe 17.03.2020 majira ya saa 19:50 usikuhuko eneo la Mafiati, Kata ya Manga, Tarafa ya...
11 years ago
Michuzi20 Mar
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JWSTFRJtmfw/Xmy9m1_zOhI/AAAAAAALjWc/N3Sxq2kB-c0mgbMAhQVthn5HEyoBLx8uwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-1.jpg)
TAARIFA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JWSTFRJtmfw/Xmy9m1_zOhI/AAAAAAALjWc/N3Sxq2kB-c0mgbMAhQVthn5HEyoBLx8uwCLcBGAsYHQ/s640/1-1.jpg)
TUKIO LA KWANZA.
TAREHE 09/03/2020 MAJIRA YA 08:05HRS HUKO MAENEO YA MSITU WA MACHEMBA, KATA YA ISAMILO, WILAYA YA NYAMAGANI, JIJI NA MKOA WA MWANZA, MTOTO WA MTAANI ASIYEFAHAMIKA...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s72-c/aaa.png)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 18.08.2015. KUFANYA KAZI YA ULINZI NA USALAMA ILIYOKASIMIWA KWA JESHI LA POLISI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s640/aaa.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_TqgsZUVxA/VdOd8pH2pxI/AAAAAAAHyDo/ZHeA-B7qXco/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
KATIKA MSAFARA WAKE KUTOKA UWANJA WA NDEGE [SONGWE] KULIONEKANA GARI MOJA (PICHANI) AINA YA LAND CRUISER – PICK UP YENYE RANGI NYEUSI NA NDANI YAKE LILIKUWA LIMEBEBA VIJANA AMBAO WALIKUWA WAMEVAA MAVAZI MEUSI, KOFIA – BERETI NYEUSI NA MIWANI...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania