Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA YA MWELEKEO WA MVUA KWA KIPINDI CHA JANUARI — FEBRUARI, 2015 NCHINI

Mkurugenzi Mkuu wa TMA Dkt Agnes Kijazi akiongea na vyombo vya habari kuhusiana na mwelekeo wa utabiri wa hali ya hewa kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Februari 2015 Wanahabari wakichukua taarifa inayotolewa na Dkt. Kijazi katika ukumbi wa mikutano TMA.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAMLAKA YA HALI YA HEWA YATOA TATHMINI YA MWELEKEO WA MVUA KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI, 2014

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, Dkt. Agness Kijazi (kulia) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya tathmini ya mvua kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2014. Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakimsikiliza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa.…

 

11 years ago

GPL

TMA KUKUTANA NA WANAHABARI KESHO, KUTOA TAARIFA YA MWELEKEO WA HALI YA HEWA KWA MWEZI JANUARI NA FEBRUARI 2014

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YAH: TAARIFA YA MWELEKEO WA HALI YA HEWA KWA MWEZI JANUARI NA FEBRUARI 2014 Tafadhali husika na somo tajwa hapo juu.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania atatoa taarifa ya mwelekeo wa hali ya hewa kwa mwezi Januari na Februari 2014. Taarifa hiyo itatolewa kwa vyombo vya habari Jumanne tarehe 31 Desemba 2013, saa 5 (tano) asubuhi, katika ofisi za Makao Makuu ya Mamlaka ya Hali ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwelekeo wa Mvua kwa kipindi cha Oktoba — Disemba 2014

1433Dr-Agnes-Kijazi

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Agnes Kijazi.

Ond2014 Swahili Final by moblog

 

11 years ago

GPL

MWELEKEO WA HALI YA JOTO NA MVUA KATIKA KIPINDI CHA JUNI HADI AGOSTI 2014‏

MWELEKEO WA HALI YA JOTO NA MVUA KATIKA KIPINDI CHA JUNI HADI AGOSTI 2014 Taarifa hii inatoa mwelekeo wa mifumo ya hali ya hewa, joto na mvua katika kipindi cha miezi ya Juni hadi Agosti (JJA) 2014. RAMAMI INAONESHA HALI JOTO 1.MIFUMO YA HALI YA HEWA
Mifumo ya hali ya hewa inaonesha uwezekano wa kuongezeka kwa joto la bahari katika eneo la ukanda wa Tropiki la bahari ya Pasfiki kwa kipindi cha miezi ya Juni hadi Agosti 2014....

 

10 years ago

Vijimambo

Marudio ya kipindi cha MISHUMAA YA KALE.....Ijumaa Februari 6, 2015

Kama ulikosa kipindi cha MISHUMAA YA KALE leo (Ijumaa Februari 6, 2015)
Karibu
MISHUMAA YA KALE ni kipindi kinachokuwezesha "kuruka majoka" na "kula mangoma" kwa kusikiliza nyimbo ziliotamba miaka ya zamani, kupata historia ya wasanii na vikundi mbalimbali na pia kusikiliza mazungumzo na maDj na wasanii mbalimbali wa zamani.
Ungana na MixMaster Dj Luke Joe kwenye "one and two" na Mubelwa Bandio nyuma ya kipaza sauti kwenye kipindi kipya cha MISHUMAA YA KALE kinakachokujia kila Ijumaa kuanzia...

 

10 years ago

Vijimambo

Marudio ya kipindi cha MISHUMAA YA KALE.....Ijumaa Januari 30, 2015

Kama ilikosa kipindi cha MISHUMAA YA KALE leo (Ijumaa Januari 30, 2015), karibu.
Kwanza ka-kideo
 Kisha.... Kipindi kamili

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani