TAaRIFA ZA KUANZA KWA ZAOEZI LA Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura zasisimua wengi
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mkvf-lMzvrM/U6PR0Dfp-tI/AAAAAAAFr1s/2EKOJTuMWwg/s72-c/unnamed+(15).jpg)
Wananchi wengi wamesisimkwa na kufurahishwa na taarifa kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inatarijia kuanza zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mapema mwezi Septemba 2014
Wameseme maandalizi hayo ambayo ni ya kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 na upigaji wa Kura za Maoni kwa ajili ya mchakato wa Katiba Mpya Hayo yamekuja wakati muafaka.
Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufaa Damian Lubuva alibainisha mbele ya wahariri wa vyombo vya habari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BLRr-PN7BLM/VSGIuvM4ylI/AAAAAAADSF8/fCxHtZG4-JQ/s72-c/NEC(47).jpg)
TAARIFA KWA UMMA YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA NA KURA YA MAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BLRr-PN7BLM/VSGIuvM4ylI/AAAAAAADSF8/fCxHtZG4-JQ/s1600/NEC(47).jpg)
5 years ago
CHADEMA Blog13 Feb
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA (DKWK)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3ZrbMlzWj8w/VONNJb9L57I/AAAAAAAHEKw/LOycC6Pkv7w/s72-c/9.jpg)
UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA MAKAMBAKO MKOANI NJOMBE FEBRUARI 23.
![](http://3.bp.blogspot.com/-3ZrbMlzWj8w/VONNJb9L57I/AAAAAAAHEKw/LOycC6Pkv7w/s1600/9.jpg)
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia teknolojia ya uchukuaji wa alama za vidole (BVR) kwa mji mdogo wa Makambako mkoani Njombe utaanza Februari 23 hadi Machi 1 mwaka huu.
Kwa taarifa iliyotolewa katika vyombo vya habari na Ruth Masham kwa niaba ya Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ilisema zoezi hilo litapita katika kata za Kitisi,Kivavi,Lyamkena,Maguvani,Majengo ,Makambako ,Mji Mwema,Mlowa,na Mwembetogwa na zoezi hilo litaanza majira ya saa 2...
10 years ago
VijimamboTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUANZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU WAPIGA KURA RASMI KWA MFUMO WA BVR MKOANI KAGERA KUANZIA MEI 21 HADI JUNI 18, 2015
Zoezi la uzinduzi litaongozwa na Mkuu wa mkoa wa Kagera Mhe. John Mongella katika mtaa wa Pwani eneo la uwanja wa ndege wa Bukoba kata ya Miembeni Manispaa ya Bukoba. Uzinduzi huo utafanyika katika Halmashauri zote za wilaya siku hiyo ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TL07x06Iox0/VW-weCY7FCI/AAAAAAAHbz0/KwHYJnX9C7o/s72-c/01.png)
10 years ago
Michuzi09 Mar
RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KWA MKOA WA NJOMBE
TANGAZO UBORESHAJI- NJOMBE
10 years ago
MichuziTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUANZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU WAPIGA KURA RASMI KWA MFUMO WA BVR MKOANI KAGERA KUANA KESHO MEI 21, 2015 HADI JUNI 18, 2015
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gRI3cSK2_GI/XpcibL5rqWI/AAAAAAALnFk/Mq0hDYp9I2QUWMrxlMnMaLVvuCamitMbQCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
NEC yatoa mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la Wapiga kura kwa mikoa 12
![](https://1.bp.blogspot.com/-gRI3cSK2_GI/XpcibL5rqWI/AAAAAAALnFk/Mq0hDYp9I2QUWMrxlMnMaLVvuCamitMbQCLcBGAsYHQ/s320/index.png)
Shughuli ya utoaji wa mafunzo imefanyika kwa mikoa 12 nchini,na itakwenda sambamba na zoezi la uwekaji wazi wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya kwanza na uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awumu ya pili.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha, wakati...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DQhpnwyvuIRlxMCgvelqcSPjmL4wXBAxpwQUb3B5*CWvJXlxEUDlLohfpWTDJMkAipCMLXJzTGe7W5XbrZqVYCn/marando.jpg)
TAMKO LA CHADEMA KUHUSU KUAHIRISHWA KWA MUDA WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA