Taasisi zinazotuhumiwa kwa rushwa zaja juu
Baadhi ya viongozi wa taasisi zinazotuhumiwa kuwa vinara wala rushwa wameonyeshwa kushangazwa na ripoti ya utafiti wa Afrobarometer huku wakihoji vigezo vilivyotumika.
Juzi Afrobarometer wakitangaza utafiti wao huku wakitaja taasisi hizo na asilimia zake kwenye mabano kuwa ni Polisi (50), Mamlaka ya Mapato nchini (37), Majaji na Mahakimu (36), Taasisi ya Kudhibiti na Kupambana na Rushwa (29), Maofisa wa serikali za mitaa (25), Watumishi wa Umma (25), Wabunge (22) na Rais na Maofisa wa Ikulu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo11 May
WAKUU WA TAASISI ZA KUZUIA RUSHWA BARANI AFRIKA WAKUTANA ARUSHA KUANGALIA JINSI WATAKAVYOWEZA KUPAMBANA NA KUFIKIA MALENGO YA KUTOKOMEZA RUSHWA NDANI YA BARA LA AFRICA
![SAM_2509](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/9-k5J5k6fm9jZTkuMpDrMhitlwBqEw_7Tpv94yj-R37as0YwVtKE2Cv376zcE5eCeFdx1PuN5OdL4Pf9Y4akzA2LAdr8f35CXyk_QtU9446J_Q4=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/05/sam_2509.jpg)
![SAM_2498](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/iFmxPrDRlg6bKxDo_mmRvhFvNMyonw6Z2OilMaPInkVnjjRupaGxhm8awC7a72tCFbRiea7S1lhvQtncqYkPyrXgxrfBjX46jXjoAcTwhulz8lE=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/05/sam_2498.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjaBUKKxWIUBRe7oRu91h01C0NWfiDEnbSKzPOrY-t4n1Fv02FQmlY1oPI1e14GDklSD5cYuwKQ7hTf0NgWCEsd9L521sg*k/t6.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 12 WA SHIRIKISHO LA TAASISI ZA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA KWA NCHI ZA SADC
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kwTFFi15U5Q/VFdV7UNIZLI/AAAAAAACuQA/xcMq1wqalhs/s72-c/0.1Mkutano%2BMkuu%2Bwa%2B12%2Bwa%2BShirikisho%2Bla%2BTaasisi%2Bza%2Bkuzuia%2B%2Bna%2BKupambana%2Bna%2BRushwa%2Bkwanchi%2Bza%2BSADC%2BMwanza4.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUWA MKUTANO MKUU WA 12 WA SHIRIKISHO LA TAASISI ZA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA KWA NCHI ZA SADC
![](http://2.bp.blogspot.com/-kwTFFi15U5Q/VFdV7UNIZLI/AAAAAAACuQA/xcMq1wqalhs/s1600/0.1Mkutano%2BMkuu%2Bwa%2B12%2Bwa%2BShirikisho%2Bla%2BTaasisi%2Bza%2Bkuzuia%2B%2Bna%2BKupambana%2Bna%2BRushwa%2Bkwanchi%2Bza%2BSADC%2BMwanza4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eI7denp_h0Q/VFdV6TpvjVI/AAAAAAACuP4/cF1mz7peXTk/s1600/0.1Mkutano%2BMkuu%2Bwa%2B12%2Bwa%2BShirikisho%2Bla%2BTaasisi%2Bza%2Bkuzuia%2B%2Bna%2BKupambana%2Bna%2BRushwa%2Bkwanchi%2Bza%2BSADC%2BMwanza5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EiV15gvapQ0/VFdV-Jt1RtI/AAAAAAACuQI/QeUIzlEN504/s1600/0.1Mkutano%2BMkuu%2Bwa%2B12%2Bwa%2BShirikisho%2Bla%2BTaasisi%2Bza%2Bkuzuia%2B%2Bna%2BKupambana%2Bna%2BRushwa%2Bkwanchi%2Bza%2BSADC%2BMwanza6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DPE_6rxA0Zg/VFdVq1SHSeI/AAAAAAACuPg/WGqBM86PAg0/s1600/0.1Mkutano%2BMkuu%2Bwa%2B12%2Bwa%2BShirikisho%2Bla%2BTaasisi%2Bza%2Bkuzuia%2B%2Bna%2BKupambana%2Bna%2BRushwa%2Bkwanchi%2Bza%2BSADC%2BMwanza1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-k1v_qYaewv0/VFdVvZeleEI/AAAAAAACuPo/Yni2g057lTM/s1600/0.1Mkutano%2BMkuu%2Bwa%2B12%2Bwa%2BShirikisho%2Bla%2BTaasisi%2Bza%2Bkuzuia%2B%2Bna%2BKupambana%2Bna%2BRushwa%2Bkwanchi%2Bza%2BSADC%2BMwanza2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Yz_yfNMGA-U/VWXcTcu9qiI/AAAAAAABPaM/vkGq5nV6za4/s72-c/291A4F7500000578-3098633-image-a-5_1432718466686.jpg)
MAAFISA SABA WA JUU WA FIFA WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA MJINI ZURICH NCHINI SWITZERLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yz_yfNMGA-U/VWXcTcu9qiI/AAAAAAABPaM/vkGq5nV6za4/s640/291A4F7500000578-3098633-image-a-5_1432718466686.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vqqdr1C2m4I/VWXa_UWJKBI/AAAAAAABPZw/PFNdnr68D7o/s640/2916BB2300000578-3098633-Six_high_ranking_FIFA_executives-a-86_1432706905792.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gwH3to2ZXp0/VWXa_ZWvsjI/AAAAAAABPZs/ueOw-9Hqi94/s640/2919C5CB00000578-3098633-image-a-112_1432708514643.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Heu0Cykqa5U/VTD5QwP5D-I/AAAAAAAHRp4/F-8u-HYf2oI/s72-c/TIA%2B-%2Bno%2B1.jpg)
MABARAZA YA WAFANYAKAZI TAASISI ZA ELIMU YA JUU YATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Heu0Cykqa5U/VTD5QwP5D-I/AAAAAAAHRp4/F-8u-HYf2oI/s1600/TIA%2B-%2Bno%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-s0m_jKkKdFU/VTD5QoqOyzI/AAAAAAAHRpo/Gy64p3dF454/s1600/TIA%2B-2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aRzvlUZRZOhWdlnn-BLPKdZc3clrKpNrhbhbU6iJUWiq43Fl4*qiMa-y8GT-eG8ieBzgTu7Z2tWdeqC2uGkmE3d/TIAno1.jpg?width=650)
MWIGULU AYATAKA MABARAZA YA WAFANYAKAZI WA TAASISI ZA ELIMU YA JUU KUFANYA KAZI KWA WELEDI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9oF7IrsdY58/XoB8Yo4i3oI/AAAAAAALldM/0cB6KZHeBN8xXbZh1SrQ7u6AV_f6Vf56gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Matukio ya ziara ya kimasomo ya washindi wa shindano la CMSA kwa Vyuo Vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu
![](https://1.bp.blogspot.com/-9oF7IrsdY58/XoB8Yo4i3oI/AAAAAAALldM/0cB6KZHeBN8xXbZh1SrQ7u6AV_f6Vf56gCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko na Mitaji ya Dhamana (CMSA) Nicodemus Mkama akizungumza na wanafunzi (hawapo pichani) wakati wa ziara ya mafunzo ya washindi wa shindano la vyuo vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu kwa mwaka 2019 linaloendeshwa na CMSA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-m6YCPYy7P_k/XoB8ZjmP-0I/AAAAAAALldU/OqhunhPDIlI0lHOfOGpdHQamiem4FX0-wCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
Baadhi ya washindi wa Shindano linaloendeshwa na CMSA kwa vyuo vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu kwa mwaka 2019.
![](https://1.bp.blogspot.com/-d3GEdkSFo_4/XoB8Z-CV9NI/AAAAAAALldY/WFtWfY0nVnUOW1IBz6-P4w756_ij-70xACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
Watendaji wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) wakimsikiliza Afisa Mtendaji Mkuu wa mamlaka hiyo...
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Mh. Mwigulu ayataka mabaraza ya wafanyakazi ya taasisi za elimu ya juu yatakiwa kufanya kazi kwa weledi
Naibu Waziri wa Fedha (Sera) Mhe. Mwigulu Nchemba (katikati) akiwa ameambatana na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania Dkt. Joseph Kihanda (kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wizara Prof. Isaya Jairo kabla ya kuzindua Baraza la Pili la Wafanyakazi wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) lililojumuisha wawakilishi kutoka matawi 6 ya taasisi hiyo katika mikoa ya Kigoma, Singida, Mwanza , Mtwara, Dar es salaam na Mbeya.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KpP6UOlLcGA/UwuWeczkRMI/AAAAAAAFPTA/Ah0uRv8o32k/s72-c/se1.jpg)
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana