Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taifa Queens itaruka kihunzi Namibia?

Chama cha netball Tanzania kimesema timu ya Taifa Queens,itafanya vyema katika michuano ya Afrika,nchini Namibia June 28.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mwanza Queens waichapa Mara Queens Goli 6 kwa 1 katika mechi ya uzinduzi wa Women Taifa Cup jijini Mwanza leo

IMG-20150101-WA0055

Kikosi cha Timu ya Mara (jezi Nyekundu) wakisalimiana na Marefa wa mchezo huo tayari kwa Mtanange wa Women Taifa Cup kuzinduliwa leo jijini Mwanza kwa Kuzikutanisha timu za Mwanza na Mara. Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF, Mh Jamal Malinzi akisalimiana na wachezaji wa timu ya Mara kabla ya Mechi ya Uzinduzi wa mashindano ya Mpira wa Miguu kwa wanawake yajulikanayo kama Women Taifa Cup kuanza katika dimba la CCM kirumba leo Jijini Mwanza Baadhi ya Viongozi wa Mpira wa...

 

10 years ago

Michuzi

MWANZA QUEENS WAICHAPA MARA QUEENS GOLI 6 KWA 1 KATIKA MECHI YA UZINDUZI WA WOMEN TAIFA CUP MCHEZO ULIOCHEZWA JIJINI MWANZA LEO

Kikosi cha Timu ya Mara (jezi Nyekundu) wakisalimiana na Marefa wa mchezo huo tayari kwa Mtanange wa Women Taifa Cup kuzinduliwa leo jijini Mwanza kwa Kuzikutanisha timu za Mwanza na Mara.Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF, Mh Jamal Malinzi akisalimiana na wachezaji wa timu ya Mara kabla ya Mechi ya Uzinduzi wa mashindano ya Mpira wa Miguu kwa wanawake yajulikanayo kama Women Taifa Cup kuanza katika dimba la CCM kirumba leo Jijini MwanzaBaadhi ya Viongozi wa Mpira wa Mkoa wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukata tatizo Taifa Queens

Ukata umeiondoa timu ya taifa ya netiboli (Taifa Queens) kushiriki kwenye mashindano ya Afrika ya kutafuta tiketi ya kucheza Kombe la Dunia la netiboli mwakani.

 

11 years ago

TheCitizen

Taifa Queens to assemble for W.Cup qualifiers

The national netball team, Taifa Queens, will assemble next month to gauge skills ahead of the Africa 2015 World Cup qualifiers to be held mid September in Gaborone, Botswana.

 

10 years ago

TheCitizen

Taifa Queens overlooked for Singapore championship

The national netball team will not compete at this year’s edition of the Nations Cup, the Tanzania Amateur Netball Association (Chaneta) has said.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Taifa Queens itacheza Kombe la Dunia’

Mwenyekiti wa Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta), Anna Kibira amesema ana imani timu ya taifa ya netiboli (Taifa Queens) itafuzu kucheza Kombe la Dunia mwakani.

 

10 years ago

Mwananchi

Kila la heri Taifa Queens, ila ufadhili....

Siku kadhaa zilizopita timu ya Taifa ya Netiboli ilikwenda Botswana kwa ajili ya Mashindano ya Afrika yatakayofanyika nchini humo kuanzia Juni 28 hadi Julai 3.

 

11 years ago

GPL

TAIFA STARS WATUA WINDHOEK, NAMIBIA

Kikosi cha Stars. Kikosi cha Taifa Stars kimeondoka leo alfajiri kwenda Windhoek, Namibia kwa ajili ya mechi ya kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) dhidi ya wenyeji itakayochezwa Machi 5 mwaka huu. Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager ina msafara wa watu 25 unaoongozwa na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Timu imefikia hoteli ya Safari jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani