Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAJIRI DAVIS MOSHA AFUTURISHA WASANII WA BONGO MOVIES

  Baadhi ya wasanii wa bongo movies wakifuturu.    Wasanii wakifuturu upande wa wanaume.    Davis Mosha akiongea na wasanii wa bongo movie juu ya ujio mpya wa Swahili Media mara…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

DAVIS MOSHA AKUTANA NA WASANII WA MOSHI

Mh Davis Mosha akiwa na
Mwenyekiti wa KDFAA Ndugu Msasu.


 Mgombea Ubunge wa Moshi Mjini kupitia Tiketi ya ccm Mh. Davis Mosha Amekutana na wasanii wa Filamu, Maigizo ya Jukwaani, Sarakasi na Muziki wa Mjini moshi. Wasanii hao wakiongozwa na Chama cha Wigizaji na wacheza filam Kilimanjaro (KDFAA)Wasanii wakimsikiliza Mh. Davis Mosha wakati akizungumza nao leo jioni mjini Moshi.  Wasanii hao walioomba Mkutano na Mh. Davis Mosha leo katika ukumbi wa ccm Mkoa walipata fursa ya kuzungumza...

 

11 years ago

Dewji Blog

Msanii wa Bongo Movie Ester Kiama afuturisha wasanii wenzake jijini Dar

Msanii chupukizi wa Bongo Movie, Ester Kiama leo alifuturisha wasanii, ndugu,jamaa na marafiki zake ikiwa ni ishara ya kumkumbuka marehemu mama yake mzazi ambaye alishatangulia mbele ya haki. Akitoa shukrani zake kwa waalikwa, alisema ameona vyema kuandaa chakula cha pamoja ili waweze kumuenzi mama yao mzazi kwa vile alipenda sana watu hasa kukutana na kupata chakula pamoja.

Msanii chupukizi wa Bongo Movie, Ester Kiama akiendelea kutoa shukrani zake za pekee.

IMG_2930

 Mjomba wa Msanii...

 

10 years ago

GPL

WASANII WA BONGO MOVIES WAPATA CLUB YAO ARUSHA

Sehemu ya vileo. Aina mbalimbali za vileo. Muonekano wa ukumbi. Mmiliki wa…

 

10 years ago

Bongo Movies

Baadhi ya jumbe za Wasanii wa Bongo movies Kuhusu Mauaji ya Maalbino

Shamsa Ford:

“Yaani hata sijui nisemeje maana kila nikifikilia mwanadamu anayefanya ukatili huu wa kuwaua walemavu wa ngozi naumia sana.kikubwa naomba Mungu wote wanaohusika na huu unyama wakamatwe.. inshaallah Mwenyezi Mungu atasimamia kwa hili”.

Riyama Ally:

“Kiukweli siwezi kulala leo bila kusema haya nitakayosema.. hawa ni wenzetu na wanastahili tabasamu zaidi ya wanalolitoa wenyewe wanahitaji mapenzi yetu ya ziada.. lakini wapi binaadamu wenye uchu na tamaa za madaraka, pesa,...

 

9 years ago

GPL

DAVIS MOSHA: NITAIBADILISHA MOSHI MJINI

Mgombea Ubunge katika jimbo la Moshi mjini, Davis Mosha akiongea na wananchi (hawapo pichani). Wananchi wakiendelea kumsikiliza Mgombea Ubunge katika jimbo la Moshi…

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Atoboa Kuhusu Wasanii wa Bongo Movies Kujitengenezea ‘Skendo’

Staa mrembo wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘Mama Kijacho’ amesema baadhi ya wasanii wa bongo movies hawajitambui ndio maana kazi zao nyingi hazina mvuto  badala yake nguvu nyingi wameelekeza kubuni skendo wakitarajia ndio zitawatoa kisanaa.

Alisema wasanii wengi wanatumia muda mwingi kutafakari jinsi ya kutengeneza skendo ili watume kwenye mitandao na kuandikwa kwenye magazeti lakini hawana ubunifu  wa kutengeneza filamu zenye ushawishi kwenye jamii.

Aunt ambae kwenye filamu ya Chozi la...

 

10 years ago

Michuzi

SINA ACCOUNT YEYOTE YA MITANDAO YA KIJAMII - DAVIS MOSHA

Napenda kuwajulisha wananchi wote kumetokea tabia ambayo sio nzuri kwa jamii watu kutengeneza maneno na kuanzisha post kwenye mitandao ya jamii isiyokuwa tija ili kumchafua mtu. 
Naomba ieleweke kuwa mimi binafsi sina account yoyote ya mtandao wowote wa jamii na wala sina mpango wakuwa nayo maana ninajua madhara yake watu wanatumia visivyo kupotosha jamii ukweli utabaki kuwa ukweli pamoja kwa maendeleo - 
Davis Moshi

 

9 years ago

Bongo Movies

Wakati Baadhi Ya Wasanii wa Bongo Movies Wamejikita Kwenye Siasa, Gabo Ana Haya

Mcheza filamu Salim Ahmed ‘Gabo’ amesema sanaa haitakufa  licha la wimbi la wasanii wake  kujikita katika maswala ya siasa kwa sasa, kwasababau wapo amabo wameamua kuiendeleza kwa kwenda mbele.

Gabo amesema pamekuwa na wasiwasi  kwamba fani ya filamu haitaweza  tena kuwa pale ilipokuwa baada ya kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwezi ujao kutokana na wasanii wengi kuwania kuingia Bungeni  na chuki baina yao.

Maishani kila mmoja ana maamuzi yake, alisema Gabo , na ndiyo  maana ana chofikieria...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani