TAJIRI DAVIS MOSHA AFUTURISHA WASANII WA BONGO MOVIES
 Baadhi ya wasanii wa bongo movies wakifuturu.   Wasanii wakifuturu upande wa wanaume.   Davis Mosha akiongea na wasanii wa bongo movie juu ya ujio mpya wa Swahili Media mara…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziDAVIS MOSHA AKUTANA NA WASANII WA MOSHI
Mwenyekiti wa KDFAA Ndugu Msasu.
Mgombea Ubunge wa Moshi Mjini kupitia Tiketi ya ccm Mh. Davis Mosha Amekutana na wasanii wa Filamu, Maigizo ya Jukwaani, Sarakasi na Muziki wa Mjini moshi. Wasanii hao wakiongozwa na Chama cha Wigizaji na wacheza filam Kilimanjaro (KDFAA)
11 years ago
Dewji Blog29 Jul
Msanii wa Bongo Movie Ester Kiama afuturisha wasanii wenzake jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-q1HH4vkWT4U/U9ZNcUvbU0I/AAAAAAAA-No/7fkpptgDKos/s1600/IMG_2932.jpg)
Msanii chupukizi wa Bongo Movie, Ester Kiama leo alifuturisha wasanii, ndugu,jamaa na marafiki zake ikiwa ni ishara ya kumkumbuka marehemu mama yake mzazi ambaye alishatangulia mbele ya haki. Akitoa shukrani zake kwa waalikwa, alisema ameona vyema kuandaa chakula cha pamoja ili waweze kumuenzi mama yao mzazi kwa vile alipenda sana watu hasa kukutana na kupata chakula pamoja.
![](http://4.bp.blogspot.com/-siRZUwT185A/U9ZNfzoILhI/AAAAAAAA-N4/fQ7ALu1IESw/s1600/IMG_2936.jpg)
Msanii chupukizi wa Bongo Movie, Ester Kiama akiendelea kutoa shukrani zake za pekee.
Mjomba wa Msanii...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiL77fKXingz58iNNkvMimYCmRpEhhWBMHxkYeGxARIgN1hdcN0AkQB1Pfv7nASIkLEzlmJaQwvJwgQ*YaPlMspY/BONGOMOVIES8.jpg?width=580)
WASANII WA BONGO MOVIES WAPATA CLUB YAO ARUSHA
10 years ago
Bongo Movies20 Feb
Baadhi ya jumbe za Wasanii wa Bongo movies Kuhusu Mauaji ya Maalbino
Shamsa Ford:
“Yaani hata sijui nisemeje maana kila nikifikilia mwanadamu anayefanya ukatili huu wa kuwaua walemavu wa ngozi naumia sana.kikubwa naomba Mungu wote wanaohusika na huu unyama wakamatwe.. inshaallah Mwenyezi Mungu atasimamia kwa hili”.
Riyama Ally:
“Kiukweli siwezi kulala leo bila kusema haya nitakayosema.. hawa ni wenzetu na wanastahili tabasamu zaidi ya wanalolitoa wenyewe wanahitaji mapenzi yetu ya ziada.. lakini wapi binaadamu wenye uchu na tamaa za madaraka, pesa,...
9 years ago
GPLDAVIS MOSHA: NITAIBADILISHA MOSHI MJINI
10 years ago
Bongo Movies22 Apr
Aunt Ezekiel Atoboa Kuhusu Wasanii wa Bongo Movies Kujitengenezea ‘Skendo’
Staa mrembo wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘Mama Kijacho’ amesema baadhi ya wasanii wa bongo movies hawajitambui ndio maana kazi zao nyingi hazina mvuto badala yake nguvu nyingi wameelekeza kubuni skendo wakitarajia ndio zitawatoa kisanaa.
Alisema wasanii wengi wanatumia muda mwingi kutafakari jinsi ya kutengeneza skendo ili watume kwenye mitandao na kuandikwa kwenye magazeti lakini hawana ubunifu wa kutengeneza filamu zenye ushawishi kwenye jamii.
Aunt ambae kwenye filamu ya Chozi la...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Y3IAYpGslpA/VcNpgk_W1KI/AAAAAAAHuqs/mrqh4jgMVmo/s72-c/Aqoc2-hg3e6khUnBR2FGtIsP0QPofMcXFnK-nsxzgV_x.jpg)
SINA ACCOUNT YEYOTE YA MITANDAO YA KIJAMII - DAVIS MOSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y3IAYpGslpA/VcNpgk_W1KI/AAAAAAAHuqs/mrqh4jgMVmo/s640/Aqoc2-hg3e6khUnBR2FGtIsP0QPofMcXFnK-nsxzgV_x.jpg)
Naomba ieleweke kuwa mimi binafsi sina account yoyote ya mtandao wowote wa jamii na wala sina mpango wakuwa nayo maana ninajua madhara yake watu wanatumia visivyo kupotosha jamii ukweli utabaki kuwa ukweli pamoja kwa maendeleo -
Davis Moshi
9 years ago
Bongo Movies20 Sep
Wakati Baadhi Ya Wasanii wa Bongo Movies Wamejikita Kwenye Siasa, Gabo Ana Haya
Mcheza filamu Salim Ahmed ‘Gabo’ amesema sanaa haitakufa licha la wimbi la wasanii wake kujikita katika maswala ya siasa kwa sasa, kwasababau wapo amabo wameamua kuiendeleza kwa kwenda mbele.
Gabo amesema pamekuwa na wasiwasi kwamba fani ya filamu haitaweza tena kuwa pale ilipokuwa baada ya kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwezi ujao kutokana na wasanii wengi kuwania kuingia Bungeni na chuki baina yao.
Maishani kila mmoja ana maamuzi yake, alisema Gabo , na ndiyo maana ana chofikieria...