Takukuru yabamba watano Tanesco
WAFANYAKAZI watano wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco), wanashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 Apr
Takukuru waitwa Tanesco, TPDC Ewura, Madini
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ametaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kuchunguza wafanyakazi wa wizara hiyo na mashirika yake wanaotuhumiwa kwa rushwa.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2JukoGf1Et4/VoIBLyjDeVI/AAAAAAAIPGQ/wja2nUXr-qY/s72-c/9a483383-5c84-4ebf-822c-bfbf4e40b47a.jpg)
OPERESHANI MAALUMU YA POLISI MORO KUEKELEA SIKUKUU YA X-MAS YABAMBA 23 MIONGONI MWAO RAIA WAKIGENI.
Na John Nditi, Morogoro POLISI mkoani Morogoro imewatia mbaroni watu 23 kati ya hao wawili wakiwa ni wahamiaji haramu raia wa kutoka nchini Ethiopia walioingia nchini bila kuwa na kibari wala pasi za kusafiria wakiwa njiani kuekelea Afrika Kusini. Raia hao walikamatwa wakiwa Mikumi, wilayani Kilosa. Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, alisema hayo Desemba 28, mwaka huu (2015) wakati akizungumza na Waandishi wa habari kuhusu matukio mbalimbali yaliyotokea kuanzia Desemba...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania