Takukuru waitwa Tanesco, TPDC Ewura, Madini
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ametaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kuchunguza wafanyakazi wa wizara hiyo na mashirika yake wanaotuhumiwa kwa rushwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTPDC YAOMBA TOZO EWURA KUSAFIRISHA GESI ASILIA
GESI asilia ni bidhaa muhimu kwa maendeleo ya wananchi na uchumi wa nchi yeyote ikiwemo Tanzania.
Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Said Meck Sadick wakati wa ufunguzi wa taftishi juu ya maombi la Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuhusu mapendekezo ya tozo ya uchakataji na usafirishaji wa Gesi asilia uliofanyika.
Mhe. Sadick amesema kuwa, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) ilipokea maombi ya Shirika la...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sjlgeVQKsPk/VOdQxSEcxpI/AAAAAAAHEyU/oeNpQ59-wyA/s72-c/DSC_0578.jpg)
BODI YA WAKURUGENZI (EWURA) YATOA UAMUZI KUHUSU MAOMBI YA TPDC YA TOZO ZA HUDUMA ZA KUCHAKATA NA KUSAFIRISHA GESI ASILIA
Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetoa agizo kwa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania(TPDC) kuzingatia kanuni za ushindani pamoja na kuiarifu EWURA kila TPDC inapofanya manunuzi ya thamani yanayozidi dola za Marekani 5 Milioni.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam,Mkururugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),Felix Ngamlagosi amesema agizo hilo litaanza kutekelezwa kuanzia tarehe...
9 years ago
Habarileo19 Aug
TPDC, Tanesco washauriwa ujirani mwema
NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage amewataka wataalamu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kupitia kampuni tanzu ya Usambazaji Gesi (Gasco) pamoja na Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kuhakikisha kuwa wanashirikisha wananchi katika utekelezaji wa miradi ya nishati.
10 years ago
Mwananchi13 Feb
Ewura yaiagiza Tanesco kupunguza bei ya umeme
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Takukuru yabamba watano Tanesco
WAFANYAKAZI watano wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco), wanashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya...
10 years ago
VijimamboWaziri wa Nishati na Madini azindua Bodi mpya ya Tanesco
10 years ago
VijimamboTANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA MWAKA WA GE OIL & GAS, FLORENCE ITALY WAZIRI WA NISHATI NA MADINI GEORGE SIMBACHAWENE NA MKURUGENZI WA TPDC JAMES MATARAGIO WASHIRIKI
9 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA MUHONGO ATEMA CHECHE, Awataka TANESCO kufanya kazi
10 years ago
MichuziWaziri wa Nishati na Madini azindua rasmi Bodi ya Tanesco Asisitiza siku za kuunganisha umeme kupungua