TAKUKURU YAMDAKA ALIYEKUWA AKITAPELI WATU FEDHA KWA KISINGIZIO CHA KUWATAFUTIA KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-x00rJjSqrS8/XrP5HJnOJ8I/AAAAAAALpY8/if1g75hKv9YkVx3vJYfIkNjXwKEroabGQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.22.01%2BPM.jpeg)
Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Dodoma, Sosthnes Kibwengo akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake leo jijini Dodoma.
Charles James, Michuzi TV.TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Dodoma inamshikilia Bw Simon Jumbe mkazi wa Kisasa jijini Dodoma kwa tuhuma za kujiita Afisa wa Takukuru kinyume na sheria.
Akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake jijini Dodoma, Mkuu wa Takukuru Mkoani hapa, Sosthnes Kibwengo amesema wamemkamata...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NzduJ9_2zyE/XtZOXeyCDzI/AAAAAAALsS4/fHOnQG0qNq8OIDdXTtEvE9ZxhYgWmHYCQCLcBGAsYHQ/s72-c/msd%252Bpic.jpg)
5 years ago
MichuziCorona isiwe Kisingizio cha kutonunua kitambulisho cha Ujasiliamali- RC Wangabo
Mh. Wangabo amekataza vitambulisho hivyo kuuzwa rejareja kwani jambo hilo huzalisha wadaiwa (defaulters) na hivyo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-prqNnENCAF0/XuCNJMlHmbI/AAAAAAACM4g/vj2xMlKAKJwxaKGpvj4X1plq_VVQhZXYACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200609_171932.jpg)
DIWANI WA SINZA CHADEMA AMALIZA UDIWANI WAKE KWA KWENDA 'ROKAPU' NA KUFUNGULIWA JALADA TAKUKURU KWA KUDAIWA KULAMBA FEDHA ZA KINAMAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-prqNnENCAF0/XuCNJMlHmbI/AAAAAAACM4g/vj2xMlKAKJwxaKGpvj4X1plq_VVQhZXYACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200609_171932.jpg)
Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Sinza kwa tiketi ya Chadema Godfrey Chikandamwali jana, alimaliza udiwani wake kwa kuwekwa 'rokapu' na Polisi na kisha kufunguliwa jalada TAKUKURU, kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori, kwa tuhuma za kukaidi wito wa mkuu huyo wa wilaya na pia kutafuna mamilioni ya fedha za kikundi cha kina mama.
Akizungumza kwenye Kikao cha mwisho cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Mkuu huyo wa Wilaya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-YHA7v7rrULQ/Vbm89RohXgI/AAAAAAAACu4/iZSsG3-4UL8/s72-c/YA%2BWAPAMBE.jpg)
.MHINDI ALIYEKAMATWA NA TAKUKURU UKONGA AKANA KUGAWA FEDHA KWA WAPIGA KURA
![](http://3.bp.blogspot.com/-YHA7v7rrULQ/Vbm89RohXgI/AAAAAAAACu4/iZSsG3-4UL8/s640/YA%2BWAPAMBE.jpg)
5 years ago
MichuziRC TABORA AAGIZA TAKUKURU SIKONGE KUMKAMATA MGANGA MFAWIDHI WA ZAHANATI YA TUTUO KWA TUHUMA ZA MALIPO KWA KAZI HEWA YA KISIMA
MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Sikonge kumkamata Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Tutuo Longa Magasha na kuchunguza tuhuma za malipo ya fedha ya milioni moja kwa kazi hewa ya ukarabati wa kisima.
Alisema kiasi hicho cha fedha zilitolewa kupitia fedha ambazo Zahanati hiyo ilipata kutokana na Malipo kwa Ufanisi (RBF) kwa lengo kufanyia ukarabati wa kisima lakini haionyeshia kama kuna kazi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-j05GOWYLiB8/XvB8e8SGAoI/AAAAAAALu5Y/fHlSZlSuHNMefCThnNXjW4J2AiQlxplHQCLcBGAsYHQ/s72-c/hCWUmxf2_400x400.png)
TAKUKURU MANYARA YAMPANDISHA MAHAKAMANI MMILIKI WA KITUO CHA MAFUTA CHA SIMON LEMEYA KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-j05GOWYLiB8/XvB8e8SGAoI/AAAAAAALu5Y/fHlSZlSuHNMefCThnNXjW4J2AiQlxplHQCLcBGAsYHQ/s320/hCWUmxf2_400x400.png)
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilayani Simanjiro, Manyara kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka itamfikisha katika Mahakama ya Wilaya mmiliki wa Kituo cha mafuta cha Simon Lemeya kwa makosa ya uhujumu uchumi.
Lemeya atafikishwa Mahakama ya Wilaya ya Simanjiro leo Juni 22 kwa makosa ya kughushi, matumizi ya nyaraka, kudanganya na kuisababishia serikali hasara ya Sh Milioni 5,609,000 kinyume cha sheria ya uhujumi uchumi Cap 200 marejeo ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mZRLGWcE8Es/XtnNaAlBDJI/AAAAAAALsqM/zNTRLrqg2M0jXeBiUW_BomM_HsNXkaTjgCLcBGAsYHQ/s72-c/c8cbf77a760ad8d1ed89647e60735a7a.png)
MWENYEKITI KAMATI YA MAZINGIRA MTAA WA TAMBUKARELI MIKONONI MWA TAKUKURU KWA KUJIFANYA OFISA ARDHI ILI KUPATA FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-mZRLGWcE8Es/XtnNaAlBDJI/AAAAAAALsqM/zNTRLrqg2M0jXeBiUW_BomM_HsNXkaTjgCLcBGAsYHQ/s320/c8cbf77a760ad8d1ed89647e60735a7a.png)
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Temeke jijini Dar es Salaam inamshikilia Mwenyekiti wa Kamati ya Mazingira wa Mtaa wa Tambukareli Kata ya Azimio kwa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kinyume cha kifungu cha sheria namba 302 cha sheria ya kanuni za adhabu sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.
Akizungumzia kukamatwa na kushikiliwa kwa mtuhumiwa huyo Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Temeke jijini Dar es Salaam Donacian Kessy...