Takwimu kilimo kukusanywa kituo kimoja
SERIKALI imeamua kuboresha ukusanyaji wa takwimu za sekta ya kilimo kwa kuwa na kituo kimoja kitakachosimamiwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu ya Taifa (NBS) ili kuweza kuwa na takwimu zinazofanana zitakazosaidia nchi kupanga mipango inayowiana na mahitaji ya sekta hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziNaibu waziri wa kilimo Omar Mgumba,aagiza kukusanywa tani elfu thelathini za mazao
Wakala wa taifa wa hifadhi ya chakula kanda ya Makambako,mkoani Njombe umetakiwa kukusanya tani elfu thelethini za mazao kwa mwaka wa fedha wa 2020 /2021.
Agizo hilo limetolewa na Naibu waziri wa kilimo nchini Omar Mgumba wakati akizungumza na watumishi wa hifadhi hiyo,ambapo amesema kuwa lengo la serikali kitaifa ni kununua na kuhifadhi mazao tani laki tatu kwa mwaka na kanda ya Makambako inatakiwa kununua tani elfu thelathini na kuhakikisha inapata faida katika...
11 years ago
GPLOFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YAWASILISHA MPANGO MKAKATI WA TAKWIMU ZA KILIMO KWA WADAU.
10 years ago
GPLNBS YASISITIZA MATUMIZI YA KANZI (DATA BASE) YA TAKWIMU ZA KILIMO
10 years ago
MichuziNBS YASISITIZA MATUMIZI YA KANZA (DATA BASE) YA TAKWIMU ZA KILIMO
9 years ago
GPLTAASISI YA BILL NA MELINDA GATE YAANGALIA UWEZEKANO WA KUSAIDIA UKUSANYAJI WA TAKWIMU ZA KILIMO NCHINI TANZANIA
9 years ago
MichuziTAASISI YA BILL NA MELINDA GATE YAANGALIA UWEZEKANO WA KUSAIDIA UKUSANYAJI WA TAKWIMU ZA KILIMO NCHINI TANZANIA.
Afisa Mwandamizi anayeshughulikia Sera na maendeleo ya kilimo kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Bill na Melinda Gates Bw. Stanley Wood akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam mara baada ya kufanyika kwa kikao cha mazungumzo na viongozi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS) nchini Tanzania kuangalia uwezekano wa taasisi hiyo kusaidia miradi ya ukusanyaji wa Takwimu za kilimo nchini Tanzania.Kushoto kwake ni Mratibu wa miradi wa Taasisi hiyo Bi.Bhramar Dey. Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya...
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya Corona: Kituo cha kudhibiti magonjwa cha AU chaitaka Tanzania kutoa takwimu
10 years ago
MichuziCHUO CHA TAKWIMU MASHARIKI MWA AFRIKA KUTILIANA SAINI YA MKATABA WA MAKUBALIANO YA MAFUNZO YA WATALAAM WA TAKWIMU NA CHUO CHA TAKWIMU CHA INDIA
10 years ago
Mtanzania23 Sep
…Kura za wajumbe kukusanywa kwa mtandao
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
BUNGE Maalumu la Katiba limelazimika kubadili kanuni ili kuwaruhusu wajumbe walio nje ya Bunge hilo kupiga kura za kupitisha rasimu ya Katiba.
Pia, Bunge hilo limebadili kanuni ya 36 inayoagiza mjumbe apige kura ibara kwa ibara ili kuruhusu mjumbe apigie kura ibara zote zilizoko katika sura moja au zaidi ili kupunguza muda wa wajumbe kupiga kura.
Uamuzi huo ulifikiwa jana...