Tamasha la KiliFest kuzinduliwa kwa muziki wa ‘live’
NA JULIET MORI (TUDARCO)
VIWANJA vya Leaders Club kesho vinatarajiwa kuwaka moto wakati wasanii watakapokuwa wakitumbuiza katika uzinduzi wa tamasha jipya la KiliFest 2015, linalodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
Ili tamasha hili la KiliFest liwe na hadhi kubwa, Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Pamela Kikuli, anasema limeandaliwa kwa umakini mkubwa, huku wasanii wakali na wenye majina makubwa nchini wakitarajiwa kulinogesha.
Wasanii wanaotarajiwa kupamba tamasha hilo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania04 Sep
Tamasha jipya la burudani la KiliFest kuzinduliwa Dar
NA FESTO POLEA
TAMASHA jipya la burudani la KiliFest linatarajiwa kuzinduliwa Septemba 26, katika viwanja vya Leaders Club, ambapo idadi kubwa ya wasanii wa Bongo Fleva nchini watatumbuiza.
Tamasha hilo linakuwa la kwanza kwa Tanzania na litaanzia jijini Dar es Salaam, lakini kwa miaka ijayo litazunguka na mikoa mingine.
Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Pamela Kikuli, ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, alisema lengo la tamasha hilo ni kuwaleta Watanzania pamoja kupitia...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-K0r-oAycC4Q/Vf-bdG7RmlI/AAAAAAAAH30/QqiJyrbKGCc/s72-c/Selcom%2BCard%2BTicketing%2BBlog%2B.jpg)
SELCOM YALETA MFUMO MPYA NA WA KISASA WA MALIPO YA TIKETI ZA TAMASHA LA “KILIFEST” KWA KUTUMIA “SELCOM CARD”
![](http://2.bp.blogspot.com/-K0r-oAycC4Q/Vf-bdG7RmlI/AAAAAAAAH30/QqiJyrbKGCc/s1600/Selcom%2BCard%2BTicketing%2BBlog%2B.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K0r-oAycC4Q/Vf-bdG7RmlI/AAAAAAAAH30/QqiJyrbKGCc/s1600/Selcom%2BCard%2BTicketing%2BBlog%2B.jpg)
Kati ya mawakala wa Selcom zaidi ya 15,000 wanaopatikana nchi nzima ni mawakala 40 tu wameochaguliwa kuuza tiketi za KiliFest kwenye vituo vyao na wote hao wanapatikana Dar es salaam.
Baada...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1TxjyclNmztbpajJ-aWBxqaePt1RSytWtv3se08hGY5ZVnY8VOfWmWcTDK1sgHOgAJyHicru2KoMxATFf7KdBeRbgRm2MgVD/2.jpg?width=650)
JAHAZI YATIKISA KWA MUZIKI MKALI WA TAARAB DAR LIVE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod3d2Vwj07IJba96wNByToLLg*ikW*YNB8uWNby2ReT*ki-FDF6Wp9JyU1Gj7MYNlXLrsMk3EAlpgImnkMQRjJli/darlive9.jpg?width=650)
MASHABIKI WA TAARAB WAJINOMA KWA MUZIKI WA JAHAZI DAR LIVE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YXA_WtYKfK8/VWSA9hLvChI/AAAAAAAC5F0/CiPbt66wU6k/s72-c/Mani24_Stara__15.jpg)
TAMASHA LA KWANZA LA STARA KUZINDULIWA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-YXA_WtYKfK8/VWSA9hLvChI/AAAAAAAC5F0/CiPbt66wU6k/s640/Mani24_Stara__15.jpg)
Tamasha hili la aina yake linatazamiwa kufanyika tarehe 13th June 2015 katika ukumbi wa City Garden, kuanzia saa moja usiku hadi saa nne usiku kwa kiingilio cha shilling elfu 20 tu.
Pazia la Tamasha hili litafunguliwa wiki moja kabla ya Tamasha kwa Exhibition ya bidhaa ya vitu mbalimbali... vitakavyouzwa kama vile Mabaibui, Udi Hena na vitu vingine kuanzia saa mbii asubuhi hadi saa 1usiku na...
10 years ago
GPLCHILDHOOD ORPHAN CENTER KUZINDULIWA JUMAPILI DAR LIVE
10 years ago
GPLTAMASHA LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR KUENDELEA KIVINGINE
10 years ago
MichuziEFM WAANDAA TAMASHA LA PILI LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR
10 years ago
VijimamboTAMASHA LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR KUENDELEA KIVINGINE
Na Dotto Mwaibale
KITUO cha Redio cha EFM kimeamua kuendelea kufanya tamasha la muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha hilo kwa awamu ya kwanza.
Hayo yalibainishwa na Meneja Mkuu...