Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMASHA LA UJASIRIAMALI MWANZA; SIKU TATU ZA UKO-MBOZI!

Mwalimu wa Ujasiriamali James Mwang'amba akijibu maswali ya wakazi wa jiji la Mwanza. WAKAZI wa jiji la Mwanza na mikoa ya jirani wako katika kipindi cha Neema na Baraka kufuatia kuwepo kwa tamasha la kipekee la ujasiriamali kwa siku tatu mfululizo kuanzia jana, leo na kesho ambapo watapata fursa ya kujifunza  mbinu na siri mbalimbali za jinsi ya kutengeneza mabilioni ya pesa. Tamasha hilo la kipekee lilianza kufanyika jana...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA TAMASHA LA UJASIRIAMALI JIJINI MWANZA LEO

Watu waliojitokeza kwa wingi siku ya leo kujifunza elimu ya ujasiriamali. Mwalimu wa Ujasiriamali James Mwang'amba akijibu maswali ya wakazi wa jiji la Mwanza. Masanja mkandamizaji (katikati ).…

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA UJASIRIAMALI MWANZA, BURUDANI MWANZO MWISHO

Mwanamuziki Fid Q akizikonga nyoyo za mashabiki wa Mwanza waliohudhuria tamasha la ujasiriamali jana. Mheshimiwa Sugu akitoa burudani kwa wakazi wa…

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA UJASIRIAMALI KURINDIMA MWANZA IJUMAA HADI JUMAPILI

Mratibu wa Tamasha la Ujasiriamali, Abdallah Mrisho (wa pili kulia) akiongea jambo na waandishi wa habari leo ndani ya ukumbi wa The Atriums Hotel iliyoko Sinza, Afrika Sana jijini Dar es Salaam. Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha (wa pili kushoto) akiongea na…

 

11 years ago

GPL

KUTOKA JIJINI MWANZA KATIKA TAMASHA KUBWA LA UJASIRIAMALI LEO

Wananchi wakijipatia huduma kutoka kwa wadhamini wa Tamasha la Ujasiriamali linalofikia kilele chake leo hii jijini Mwanza. Wananchi wakijipatia CD za Eric Shigongo na James Mwang'amba zenye mafunzo ya ujasiriamali. (PICHA: CHANDE ABDALLAH NA DENIS MTIMA /…

 

11 years ago

GPL

TAMASHA KUBWA LA UJASIRIAMALI LAZIDI KURINDIMA NDANI YA CCM KIRUMBA, MWANZA

Mkurugenzi wa Kampuni ya Global Publishers Ltd na Mwalimu wa Ujasiriamali nchini, Eric James Shigongo akiwasalimia wakazi wa Mwanza leo. Eric Shigongo akimkaribisha mkufunzi wa masuala ya ujasiriamali, James Mwang'amba aongee na wakazi wa Mwanza leo.…

 

11 years ago

GPL

TASWIRA KUTOKA TAMASHA KUBWA LA UJASIRIAMALI JIJINI MWANZA LINALOENDELEA HIVI SASA

Waimbaji wa kwaya ya Gosheni wakitumbuiza katika ufunguzi wa Tamasha kubwa la Ujasiriamali linalorindima kwa siku tatu ndani ya Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza kuanzia leo.…

 

10 years ago

Michuzi

Warsha ya Maafisa Vijana,waratibu wa ukimwi na wadau mbalimbali yafikia siku ya tatu jijini Mwanza

Mwakilishi wa Vijana kutoka kamati ya kudhibiti Ukimwi manispaa ya Shinyanga Bw,Rigobert Rwehumbiza akielezea wajibu binafsi kwa kijana kwa washiriki wenzie katika warsha ya siku nne ya stadi za maisha na afya ya uzazi.Katibu asasi ya Vijana ya Boys & Girls Bw,Johnson Jacob kutoka Bariadi akionyesha igizo lilikuwa likionyesha wajibu wa Vijana  kwa Familia ikiwamo kuwalinda na kuwapatia mahitaji yao muhimu.Mtaalamu wa Stadi za Maisha Bw,Robert Semkiwa akiwafundisha waratibu wa ukimwi na...

 

9 years ago

Michuzi

AWAMU YA TATU YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWAJILI YA KUMKOMBOA MWANAMKE WA KITANZANIA YAANZA DAR

 Washiriki wa Mafunzo hayo wakisikiliza kwa Makini Mafunzo hayo..

Awamu ya Tatu ya Mafunzo ya Ujarisiamali kwa Mkoa wa Dar es salaam yameanza leo. Wanawake 35 wa jiji la Dar es salaam Watanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia vipodozi vya LuvTouch Manjano. Mafunzo hayo yanayoendeshwa na mtaalamu wa mambo ya Biashara Bw Felix Maganjila na Shekha Nasser. Mafunzo haya yenye lengo la kumwezesha mwanamke wa Kitanzania kuondokana na tatizo la ukossefu wa ajira kwa kujikita katika kujiajiri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani