Tamko La ACT-Tanzania Kuhusu Uchaguzi Unaoendelea Wa Serikali Za Mitaa
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qqFxjgi9sKQ/U8kYyK3L9hI/AAAAAAAF3YY/uYKNkkaYlUo/s72-c/MMGM8382.jpg)
TAMKO LA KIKUNDI KAZI CHA SERIKALI ZA MITAA CHA POLICY FORUM KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-qqFxjgi9sKQ/U8kYyK3L9hI/AAAAAAAF3YY/uYKNkkaYlUo/s1600/MMGM8382.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nhubQhZpWwc/U8kYyb0ubPI/AAAAAAAF3Yc/vWolIRDUZ5Q/s1600/MMGM8396.jpg)
10 years ago
GPLCHAMA CHA ACT-TANZANIA CHAFANYA TATHMINI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA JIJINI DAR
Makamu Mwenyekiti wa ACT-Tanzania ,Bara ,Shabani Mambo Akizungumza katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama hicho kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Kagame Jijini Dar es Salaam. Wanachama wa ACT wakiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Kagame Jijini Dar es Salaam wakipata taarifa ya Chama kwa kipindi cha… ...
10 years ago
MichuziCHAMA CHA ACT-TANZANIA CHAFANYA TATHMINI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA JIJINI DAR LEO.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GHj0aXUtmGc/VLAljH2GZHI/AAAAAAAG8TQ/8b4wh4h91v8/s72-c/image061.jpg)
TAMKO LA POLISI KUHUSU ZOEZI LA KUAPISHWA KWA WENYEVITI NA WAJUMBE WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://4.bp.blogspot.com/-GHj0aXUtmGc/VLAljH2GZHI/AAAAAAAG8TQ/8b4wh4h91v8/s1600/image061.jpg)
Baadhi ya wananchi wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya kihalifu kwa kufanya fujo na vitendo vya vurugu ikiwemo kuwapiga baadhi ya watendaji wanaosimamia zoezi la kuapisha na kuwapiga viongozi wateule...
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Utafiti wa Takukuru kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa haujafanyiwa kazi
Baada ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka jana, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ilifanya utafiti kwa lengo la kutoa ushauri kwa mamlaka zinazohusika juu ya namna bora ya kudhibiti vitendo vya rushwa katika chaguzi.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gaifjrfkcmw/VjzhPK5ZMII/AAAAAAAIEvQ/t-a5zcYOkuw/s72-c/us.jpg)
Tamko la Waziri wa Mambo ya Nje John Kerry kuhusu Uchaguzi wa Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gaifjrfkcmw/VjzhPK5ZMII/AAAAAAAIEvQ/t-a5zcYOkuw/s640/us.jpg)
Kwa niaba ya Rais Obama na watu wa Marekani, nawapongeza watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uchaguzi wa rais na wabunge ulioendelea kuthibitisha rekodi nzuri ya Tanzania katika kujenga demokrasia imara.Wakati Rais John Pombe Joseph Magufuli na serikali yake wakichukua majukumu yao, tunatarajia kuendelea na ubia wetu wa karibu na kuimarisha zaidi ushirikiano baina ya nchi zetu mbili tunapofanya...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-nwH0_KIo0as/Viz-Lzh90qI/AAAAAAAAW-U/3Ftj2poomWc/s72-c/1.jpg)
Taarifa Rasmi Kutoka UKAWA Kuhusu Uchaguzi Mkuu Unaoendelea Leo- 25/10/2015
1. Hali ya vitisho vya jeshi la polisi na kamata kamata iliyoanza jana usiku hadi leo asubuhi. Wawaache wananchi watumie haki yao ya kikatiba kumchagua kiongozi wanayemtaka. 2. Suala la watu wenye kadi lakini majina yao hayapo, ambapo kisheria inatakiwa msimamizi awape fomu namba 19 kisha waijaze na kupiga kura. Tumewataka wananchi kutokuondoka vituoni hadi wapate haki hiyo ya kujaza fomu
10 years ago
GPLCHAMA CHA MADEREVA TANZANIA CHATOA TAMKO KUHUSU MIKATABA YAO NA SERIKALI
Kaimu Katibu Mkuu wa Chama Cha Madereva, Rashid Saleh (kushoto) akitoa tamko hilo. Kulia ni mtunza hazina wa Chama hicho, Ramadhan Seleman. ....akihojiwa na waandishi wa habari. CHAMA cha Madereva Tanzania, kimetoa tamko rasmi juu ya marekebisho ya mikataba yao, huku kikilalamikia kile kilichoitwa... “ukiukwaji wa…
9 years ago
Dewji Blog14 Aug
Tamko la FEMACT kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015
Mkurugenzi Mtendaji wa mtandao wa TGNP, Mratibu wa FEMACT, Lilian Liundi.
Tamko la femact kuhusu uchaguzi mkuu 2015
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania