TAMKO LA UMOJA WA VIJANA WAZALENDO WA VYUO VYA ELIMU YA JUU DARES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-LMRLUdHwoXE/VBmY-ZfkXzI/AAAAAAAGkIg/ii5f46fzpgQ/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
Mwanafunzi wa Chuo kikuu huria cha Tanzania Bw. Mussa Omari (katikati) akiongea na waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu tamko la kulaani kauli za mwenyekiti wa chadema taifa za kuhamasisha uasi kwa njia ya maandamano, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Bw. Gulatone Masiga akitoa wito kwa wananchi kuudumisha muungano wetu na kuacha kupelekwa na wanasiasa wasio na misingi ya kidemokrasia.Kulia ni Mwanafunzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog21 Apr
Vijana wazalendo wa vyuo vya elimu ya juu Dar walaani vurugu zinazojitokeza Bunge ,maalum la Katiba
Mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Gulatone Masiga akifafanua jambo kwa waandishi wa Habari(hawapo pichani), kushoto ni Acbert Sweya kutoka Chuo Kikuu cha Kampala.wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Leo Jijini Dar es Salaam.
Tamko La Wanafunzi by moblog
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-v0BjELxHWj8/VaaGa8wjXiI/AAAAAAAHp9I/ShupN7SWrVk/s72-c/1.jpg)
TAMKO LA SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU TANZANIA-CCM
SHIRIKISHO la Taifa tunawapongeza wajumbe wote wa vikao vyote vya maamuzi ndani ya chama chetu kwa kutenda haki na kumteua mgombea safi, muadilifu, mchapa kazi, mzalendo, ambaye hakuwa na kundi na hadi kwa sasa hana kundi, mwenye dhamira ya dhati na utashi wa kudumisha umoja na mshikamano ndani na nje ya chama chetu.
Shirikisho Taifa tunapenda kuchukua fursa hii kuwapongeza Mheshimiwa Daktari John Pombe Magufuli na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kuteuliwa kuwa wapeperusha bendera ya CCM...
11 years ago
Michuzi29 Mar
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yaandaa kongamano la vijana la vyuo vya elimu ya juu.
Kongamano hili la Vijana kuhusu Muungano linafanyika Jumapili Machi 30, 2014 kuanzia Saa 5:00 Asubuhi katika ukumbi wa Ubungo Plaza, Dar es Salaam na litarushwa moja kwa moja na Televisheni ya Taifa, TBC One na TBC Taifa.
Kongamano hili ni sehemu ya...
10 years ago
Michuzi21 Mar
UMOJA WA VYAMA VYA WANAFUNZI ELIMU YA JUU KUTOKA VYUO MBALIMBALI KANDA YA KASKAZINI WAMUOMBA PROF.MUHONGO KUGOMBEA URAIS 2015
![IMG_8515](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/YK5JdFGBw-GKQMMrLQc4ng65YITIhbdN3d3lT4T7Ps3ed0rLYYAy03OHEAOLQlTyWQIGCgqSp2TNpd3NagEeYV0Eh1-aIJS0bSimPXpOgi5neL1SzBzBTvk=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8515.jpg?w=660)
![IMG_8521](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/kgeoi6XMMV_Smw1YSKVAwo79aSUU99eogLuacUN3VS3lQeicUi0HfUtdEz4aSQqAzkJRH4yqDMW4P3ceA2giaYEdlk1HrSEqNBy5xKiEdJ4U6d9IquCWDcI=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8521.jpg?w=660)
10 years ago
GPLUMOJA WA VIJANA WA VYUO WATOA TAMKO LA KULAANI KAULI ZA MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUAXi8ra-cn-5WkNRxJmf6Nizj2-mb77TWNVBpvVe4SehdyD8cjRwT7XpK5RmpvW6h1iZT14VrLVj-f2oevpt43/PSPF1.jpg?width=650)
PSPF YATOA MAFUNZO JINSI YA KUJIUNGA NA UWANACHAMA WAKATI WA MAONYESHO YA VYUO VYA ELIMU YA JUU YALIYOANDALIWA NA TUME YA VYUO VIKUU (TCU)
10 years ago
GPLMAGUFULI APONGEZWA NA SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU
10 years ago
Michuzi23 Oct
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5WL0D-kPZuo/VWOTsT_k6uI/AAAAAAAHZxw/J_TXl4eiVjo/s72-c/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
JK afungua Mkutano wa Shirikisho la Vyuo vya elimu ya Juu Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-5WL0D-kPZuo/VWOTsT_k6uI/AAAAAAAHZxw/J_TXl4eiVjo/s640/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gOv0Ul8noCE/VWOTr3EZV9I/AAAAAAAHZxs/n5w86wlGkpY/s640/unnamed%2B%252882%2529.jpg)