Vijana wazalendo wa vyuo vya elimu ya juu Dar walaani vurugu zinazojitokeza Bunge ,maalum la Katiba
Mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Gulatone Masiga akifafanua jambo kwa waandishi wa Habari(hawapo pichani), kushoto ni Acbert Sweya kutoka Chuo Kikuu cha Kampala.wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Leo Jijini Dar es Salaam.
Tamko La Wanafunzi by moblog
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LMRLUdHwoXE/VBmY-ZfkXzI/AAAAAAAGkIg/ii5f46fzpgQ/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
TAMKO LA UMOJA WA VIJANA WAZALENDO WA VYUO VYA ELIMU YA JUU DARES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-LMRLUdHwoXE/VBmY-ZfkXzI/AAAAAAAGkIg/ii5f46fzpgQ/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kDJrrhyI1ME/VBmY-eK0KXI/AAAAAAAGkIs/-dYh1G5pWuU/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
11 years ago
Michuzi29 Mar
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yaandaa kongamano la vijana la vyuo vya elimu ya juu.
Kongamano hili la Vijana kuhusu Muungano linafanyika Jumapili Machi 30, 2014 kuanzia Saa 5:00 Asubuhi katika ukumbi wa Ubungo Plaza, Dar es Salaam na litarushwa moja kwa moja na Televisheni ya Taifa, TBC One na TBC Taifa.
Kongamano hili ni sehemu ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUAXi8ra-cn-5WkNRxJmf6Nizj2-mb77TWNVBpvVe4SehdyD8cjRwT7XpK5RmpvW6h1iZT14VrLVj-f2oevpt43/PSPF1.jpg?width=650)
PSPF YATOA MAFUNZO JINSI YA KUJIUNGA NA UWANACHAMA WAKATI WA MAONYESHO YA VYUO VYA ELIMU YA JUU YALIYOANDALIWA NA TUME YA VYUO VIKUU (TCU)
11 years ago
Habarileo07 Mar
Vurugu Bunge Maalum la Katiba
BUNGE Maalum la Katiba, limeanza kuingia dosari na kulazimika kuahirishwa kabla ya muda wake waliojipangia, baada ya kuwepo malumbano, kuzomeana miongoni mwa wajumbe na wengine kuonesha dhahiri kutaka kupigana ndani ya ukumbi, baada ya kunyanyuka na kuzuiwa na wajumbe wenzao. Hali hiyo ilimlazimu Mwenyekiti wa Muda wa Bunge, Pandu Ameir Kificho, kuahirisha semina hiyo saa 6:13 mchana badala ya saa 7:00 mchana, baada ya wajumbe kuonesha utovu mkubwa wa nidhamu kwa kukaidi agizo lake la...
10 years ago
GPLMAGUFULI APONGEZWA NA SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-v0BjELxHWj8/VaaGa8wjXiI/AAAAAAAHp9I/ShupN7SWrVk/s72-c/1.jpg)
TAMKO LA SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU TANZANIA-CCM
SHIRIKISHO la Taifa tunawapongeza wajumbe wote wa vikao vyote vya maamuzi ndani ya chama chetu kwa kutenda haki na kumteua mgombea safi, muadilifu, mchapa kazi, mzalendo, ambaye hakuwa na kundi na hadi kwa sasa hana kundi, mwenye dhamira ya dhati na utashi wa kudumisha umoja na mshikamano ndani na nje ya chama chetu.
Shirikisho Taifa tunapenda kuchukua fursa hii kuwapongeza Mheshimiwa Daktari John Pombe Magufuli na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kuteuliwa kuwa wapeperusha bendera ya CCM...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5WL0D-kPZuo/VWOTsT_k6uI/AAAAAAAHZxw/J_TXl4eiVjo/s72-c/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
JK afungua Mkutano wa Shirikisho la Vyuo vya elimu ya Juu Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-5WL0D-kPZuo/VWOTsT_k6uI/AAAAAAAHZxw/J_TXl4eiVjo/s640/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gOv0Ul8noCE/VWOTr3EZV9I/AAAAAAAHZxs/n5w86wlGkpY/s640/unnamed%2B%252882%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Mar
Kinana akutana na wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-tKCtwqBu-ug/VPqyUBcgFZI/AAAAAAAAXoc/XbLMiu6HT4Y/s1600/01.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa nje ya ukumbi wa NEC maarufu kama white house mjini Dodoma tayari kwa kukutana na wanafunzi wa Shirikisho la vyuo vya elimu ya juu mkoani Dodoma.
![](http://4.bp.blogspot.com/-2w7yDlX-CxE/VPqyTtCMxwI/AAAAAAAAXoU/TJJTK4chPNg/s1600/02.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na baadhi ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mkoani Dodoma kabla ya kuingia kwenye mkutano kwenye ukumbi wa mikutano wa NEC maarufu kama White House,CCM makao makuu Dodoma.
![](http://3.bp.blogspot.com/-nf8GXGUwSUc/VPqyYzqkY9I/AAAAAAAAXpc/6lHKe9NTNCM/s1600/4.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...
10 years ago
Michuzi23 Oct