Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANGAZO MAALUM

  
 NAFASI ZA WAALIMU WA KUJITOLEA KUFUNDISHA KISWAHILI
Madarasa ya Kiswahili huendeshwa kila Jumamosi ;White Oak Community Recreation Center 1700 April Lane, Silver Spring, MD 20904  MUDA: Kuanzia saa 9 mchana hadi saa 11 Jioni.             MALENGO:

Kufundisha kuongea na kuandika kwa lugha ya Kiswahili kwa waTanzania na marafiki zao hapa Washington DC, Maryland na Virginia.Kufundisha Utamaduni unaoendana na kujifunza lugha ya Kiswahili.Kujenga jamii iliyo imara kwani lugha ni kiunganishi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?

Tanzania Zalendo wanakuleta Mhadhara wa Jinsi ya KUANZISHA, KUENDESHA na KUDUMU katika biashara. UKUMBI ni Alliance Francaise shuka kituo cha RED CROSS kuelekea Posta.  Siku ya JUMAMOSI tarehe 21/03/2015.  Muda Ni saa Nane 8 mchana Mpaka saa Kumi Jioni.  Utajifunza jinsi ya kuanzisha ,kuendesha na kusimamia biashara kutoka kwa mtaalam wa masuala ya biashara Mhadhiri wa kikuu cha Dar es salaam Dr Muhsin Masoud wa shule ya Biashara. Mafunzo haya ni BURE  Kwa mawasiliano zaidi piga 0787 66 99...

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO MAALUM: MEDICAL MISSION TO TANZANIA- Volunteers Wanahitajika


Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania hapa Washington DC, Maryland and Virginia inapenda kuwataarifu wanajumuiya na Watanzania wote hapa Marekani kuwa kwa kushirikiana na Kampuni isiyo ya kiserikali (NGO)yenye makao yake makuu hapa Marekani inaandaa kwenda Tanzania kutoa huduma za afya za bure kwa watanzania watakao hitaji huduma hizo Tanzania. Mission hii itaanzana July 18- Mpaka July 26, 2015.



Uongozi wa Jumuiya hapa DMV imeanza kutayarisha timu ya madaktari na wauguzi watakaoweza kujitolea...

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO MAALUM: UFUNGUZI RASMI WA DARASA LA KISWAHILI DMV.




Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania unapenda kuwatangazia watanzania wote wanaoishi maeneo ya Washington DC, Maryland na Virginia kuhusu Madarasa ya Kiswahili yatakayoanza rasmi tarehe 24 January, 2015. 
http://2.bp.blogspot.com/-wi1cpjxwRtk/UWClBrUy3nI/AAAAAAABv7g/qTJocYlw-bc/s640/IMG_0402.JPG

 White Oak Community Recreation Center,1700 April Lane, Silver Spring, MD 20904  Kuanzia tarehe 24/1/2015 Saa 9 mchana – 11 Jioni kila Jumamosi



                        Kwa maelezo zaidi  wasiliana na viongozi wafuatao:
Rais- Iddy Sandaly (301) 613-5165Makamu wa Rais – Harriet...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

 Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa.  Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...

 

11 years ago

GPL

WAHARIRI WAANDAMIZI WAHAMASIKA NA KUJIUNGA RASMI KATIKA MPANGO MAALUM WA KUJIWEKEA AKIBA (VSRS) KATIKA MFUKO WA GEPF WAKATI WA SEMINA MAALUM YA JUKWAA LA WAHARIRI ILIYOFANYIKA MJINI MTWARA

Bw Aloyce Ntukamazina Meneja Masoko na Huduma kwa Wateja akiwasilisha mada juu ya uchangiaji wa hiari katika mpangowa VSRS.
Bw Nevile Meena Katibu Mkuu wa jukwaa la wahariri akikabidhiwa kadi ya uanachama baada ya kujiunga rasmi na Mfuko wa GEPF.
  Bi Grace…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani