Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANGAZO MAALUM: MEDICAL MISSION TO TANZANIA- Volunteers Wanahitajika


Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania hapa Washington DC, Maryland and Virginia inapenda kuwataarifu wanajumuiya na Watanzania wote hapa Marekani kuwa kwa kushirikiana na Kampuni isiyo ya kiserikali (NGO)yenye makao yake makuu hapa Marekani inaandaa kwenda Tanzania kutoa huduma za afya za bure kwa watanzania watakao hitaji huduma hizo Tanzania. Mission hii itaanzana July 18- Mpaka July 26, 2015.



Uongozi wa Jumuiya hapa DMV imeanza kutayarisha timu ya madaktari na wauguzi watakaoweza kujitolea...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

volunteers wanahitajika hapa mzalendo.net

Salam wazalendo wote Tukiwa katika kipindi muhimu cha uchaguzi mkuu wa nchi yetu, mzalendo.net inahitaji vijana watatu watakao fanya kazi ya kujitolea kuandika taarifa za matukio kila yanapojiri. Sifa za muamboji Awe amemaliza mafunzo ya uandishi […]

The post volunteers wanahitajika hapa mzalendo.net appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Vijimambo

Documentary ya Tanzania Medical Mission ya Jumuiya wa Watanzania DMV- NYUMBANI KWANZA.



Watanzania wote wa USA na DMV Tunapenda kuwajulisha maandalizi ya Second Medical Mission kwenda Tanzania yanaanza hivi Karibuni. Tunaomba mjitokeze kwa wingi ili kufanya medical mission ijayo kuwa kubwa na yenye kutoa huduma zaidi nyumbani. NYUMBANI KWANZA.Kama mlivyojionea wenyewe kwenye hii documentary mahitaji ni Mengi na sisi Diaspora tunaweza changia muda na mali kidogo  kwenye kulisukuma gurudumu la maendeleo mbele.
AsanteniIddi SandalyRais wa Jumuiya DMV 

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO MAALUM

  
 NAFASI ZA WAALIMU WA KUJITOLEA KUFUNDISHA KISWAHILI
Madarasa ya Kiswahili huendeshwa kila Jumamosi ;White Oak Community Recreation Center 1700 April Lane, Silver Spring, MD 20904  MUDA: Kuanzia saa 9 mchana hadi saa 11 Jioni.             MALENGO:

Kufundisha kuongea na kuandika kwa lugha ya Kiswahili kwa waTanzania na marafiki zao hapa Washington DC, Maryland na Virginia.Kufundisha Utamaduni unaoendana na kujifunza lugha ya Kiswahili.Kujenga jamii iliyo imara kwani lugha ni kiunganishi...

 

10 years ago

Michuzi

TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?

Tanzania Zalendo wanakuleta Mhadhara wa Jinsi ya KUANZISHA, KUENDESHA na KUDUMU katika biashara. UKUMBI ni Alliance Francaise shuka kituo cha RED CROSS kuelekea Posta.  Siku ya JUMAMOSI tarehe 21/03/2015.  Muda Ni saa Nane 8 mchana Mpaka saa Kumi Jioni.  Utajifunza jinsi ya kuanzisha ,kuendesha na kusimamia biashara kutoka kwa mtaalam wa masuala ya biashara Mhadhiri wa kikuu cha Dar es salaam Dr Muhsin Masoud wa shule ya Biashara. Mafunzo haya ni BURE  Kwa mawasiliano zaidi piga 0787 66 99...

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO MAALUM: UFUNGUZI RASMI WA DARASA LA KISWAHILI DMV.




Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania unapenda kuwatangazia watanzania wote wanaoishi maeneo ya Washington DC, Maryland na Virginia kuhusu Madarasa ya Kiswahili yatakayoanza rasmi tarehe 24 January, 2015. 
http://2.bp.blogspot.com/-wi1cpjxwRtk/UWClBrUy3nI/AAAAAAABv7g/qTJocYlw-bc/s640/IMG_0402.JPG

 White Oak Community Recreation Center,1700 April Lane, Silver Spring, MD 20904  Kuanzia tarehe 24/1/2015 Saa 9 mchana – 11 Jioni kila Jumamosi



                        Kwa maelezo zaidi  wasiliana na viongozi wafuatao:
Rais- Iddy Sandaly (301) 613-5165Makamu wa Rais – Harriet...

 

10 years ago

TheCitizen

36 US volunteers begin tour of duty in Tanzania

The US ambassador to Tanzania, Mr Mark Childress, yesterday swore in 36 Peace Corps who will spend two years working in health and agriculture projects in the country.

 

10 years ago

Daily News

PS Turuka hails Peace Corps volunteers' service in Tanzania


PS Turuka hails Peace Corps volunteers' service in Tanzania
Daily News
THIRTY-SIX American volunteers were received in Dar es Salaam yesterday, with the government appreciating the Peace Corps Mission for its key role in addressing social and agricultural challenges in the country. Permanent Secretary (PS) in the Prime ...

 

11 years ago

Michuzi

Thirty-Four Peace Corps Volunteers Sworn-In for 2 Years of Service in 17 districts in Tanzania

Thirty-four Peace Corps Volunteers are sworn in at a ceremony held at the United States Embassy in Dar es salaam on April 24, 2014. The volunteers will be stationed in seventeen districts, including Iringa, Mufindi, Kondoa, Mbinga, Masasi, Ludewa, Lushoto, Songea, Kiteto, Makete, Singida Rural, Same, Njombe, Kilolo, Hanang, Njombe, and Makambako. The new Peace Corps Volunteers will work with communities in the fields of health and environment for their two years of service in Tanzania....

 

10 years ago

Vijimambo

Calling all Medical and Dental professionals and non-medical compassionate people!


Calling all Medical and Dental professionals and non-medical compassionate people!

Have you ever wondered what it would be like to practice medicine in a remote village in a third world country where you would rely on your skills, observation and your gut instinct?  Join us as we travel to Tanzania, Africa, to provide medical assistance in a humanitarian effort in May 18-28, 2015.   Teri Priebe and Becky Van Renan will escort this important mission.  The approximate all-inclusive land price...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani