Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Documentary ya Tanzania Medical Mission ya Jumuiya wa Watanzania DMV- NYUMBANI KWANZA.



Watanzania wote wa USA na DMV Tunapenda kuwajulisha maandalizi ya Second Medical Mission kwenda Tanzania yanaanza hivi Karibuni. Tunaomba mjitokeze kwa wingi ili kufanya medical mission ijayo kuwa kubwa na yenye kutoa huduma zaidi nyumbani. NYUMBANI KWANZA.Kama mlivyojionea wenyewe kwenye hii documentary mahitaji ni Mengi na sisi Diaspora tunaweza changia muda na mali kidogo  kwenye kulisukuma gurudumu la maendeleo mbele.
AsanteniIddi SandalyRais wa Jumuiya DMV 

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA WATANZANIA DMV KUUNGURUMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015

Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania wa DMV unapenda kuwajulisha watanzania wote kukaa mkao wa kula , kwa ajili ya sherehe za muungano zitakazofanyika, Jumamosi April 25, 205.
Jiandaeni kwa Hafla na Vivutio mbali mbali. Michezo, Utamaduni, Nyama Choma nk. DMV Patakuwa Hapatoshi.
Wadhamini WanakaribishwaWasiliana na uongozi kupitia
President: Iddi Sandaly 301-613-5165
Vice President: Harriett Shangarai 240-672-1788
Secretary: Saidi Mwamende 301-996-4029Assistant Secretary: Bernadetta Kaiza...

 

10 years ago

Vijimambo

VIONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV NA WAWAKILISHI WAO WAWASILI SALAMA TANZANIA NA KUTOA MSAADA WA MADAWA HOSPITALI YA MWANANYAMALA JIJINI DAR LEO

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn.. Idd Sandaly mwenye fulana nyekundu wakifanya maongezi na Mkuu wa kitengo cha Diaspora Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimaifa Bi. Rosemery Jairo siku Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV na wawakilishi wao wakiwemo manesi na madaktari wa kujitolea walipowasili Tanzania kwa ajili ya kutoa huduma za kitabibu na madawa bure katika hospitali mbalimbali Tanzania. Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Idd Sandaly akiwa katika picha ya pamoja na mama...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMATI YA MAANDALIZI NA MAPAMBO YA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV


 Kamati ya maandalizi na mapambo ikipata picha ya pamoja baada ya kupamba ukumbi wa Oxford uliopo Lanham, Maryland katika kujiandaa kusherehekea kuuaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2015

 

11 years ago

Michuzi

Sera za Libe Mgombeya wa Jumuiya ya waTanzania DMV

Kutakuwa na Mkutano wa Sera za Mkombea wa Jumuiya ya waTanzania DMV Bwna Liberatus Mwang'ombe Atakachoongea katika mkutano wake ni  Kuhusu Elimun Diversity visa Lotterry/ YOUNG African Leaders Initiatives Jumiaya na Afya, Baraza la ushauri, Darasa la Kiswahili. Ushirikiano na umoja, Jumuiya na wajasiriamali, Jumuia na vyanzo vya mapato, Jumuiya na mrejesho wa ubalozi, "Power of attorney" , Mkutano huo utafanyika Siku ya Jumamosi, June 28, 2014 kuanzia saa 10 Alasiri (4pm)...

 

11 years ago

Dewji Blog

Sera za Harriet Shangarai mgombeya wa jumuiya ya watanzania DMV

Na Hariet Shangaei Washington DC

Ndugu WanaDMV, kwa heshima na taadhima nachukua nafasi hii kujitambulisha kwenu rasmi kama Mgombea wa Nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV.

DSC00335 (2)

Hariet Shangarai, Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV alipikuwa katika kampeni.(Photo Via Swahilivillablog)

Nikiwa na mapenzi ya dhati kwa jamii,nimekuwa mtetezi wa haki za watoto yatima toka utotoni mwangu. Binafsi, nilijitoa kwa kidogo nilichokuwanacho na pia,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Sera za Libetatus Mwang’ombe mgombea wa jumuiya ya watanzania DMV

libe

Kutakuwa na Mkutano wa Sera za Mkombea wa Jumuia ya waTanzania DMV Bwana Liberatus Mwang’ombeAtakachoongea katika mkutano wake ni Kuhusu Elimun Diversity visa Lotterry/ YOUNG African Leaders Initiatives.Jumuia na Afya, Baraza la ushauri, Darasa la Kiswahili.Ushirikiano na umoja, Jumuiya na wajasiriamali, Jumuia na vyanzo vya mapato,

Jumuiya na mrejesho wa ubalozi, “Power of attorney” ,Mkutano huo utafanyika Siku ya Jumamosi, June 28, 2014

kuanzia saa 10 Alasiri (4pm)Meadowbrook Park

7901...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Michuzi

SERA ZA HARRIET SHANGARAI MGOMBEA UMAKAMU MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV

Na Hariet Shangaei Washington DC  Ndugu WanaDMV, kwa heshima na taadhima nachukua nafasi hii kujitambulisha kwenu rasmi kama Mgombea wa Nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV. Hariet Shangarai, Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV alipikuwa katika kampeni. (Photo Via Swahilivillablog)
Nikiwa na mapenzi ya dhati kwa jamii,nimekuwa mtetezi wa haki za watoto yatima toka utotoni mwangu. Binafsi, nilijitoa kwa kidogo nilichokuwanacho na pia,...

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO MAALUM: MEDICAL MISSION TO TANZANIA- Volunteers Wanahitajika


Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania hapa Washington DC, Maryland and Virginia inapenda kuwataarifu wanajumuiya na Watanzania wote hapa Marekani kuwa kwa kushirikiana na Kampuni isiyo ya kiserikali (NGO)yenye makao yake makuu hapa Marekani inaandaa kwenda Tanzania kutoa huduma za afya za bure kwa watanzania watakao hitaji huduma hizo Tanzania. Mission hii itaanzana July 18- Mpaka July 26, 2015.



Uongozi wa Jumuiya hapa DMV imeanza kutayarisha timu ya madaktari na wauguzi watakaoweza kujitolea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani