Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


tangazo tangazo tangazo.......


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?

Tanzania Zalendo wanakuleta Mhadhara wa Jinsi ya KUANZISHA, KUENDESHA na KUDUMU katika biashara. UKUMBI ni Alliance Francaise shuka kituo cha RED CROSS kuelekea Posta.  Siku ya JUMAMOSI tarehe 21/03/2015.  Muda Ni saa Nane 8 mchana Mpaka saa Kumi Jioni.  Utajifunza jinsi ya kuanzisha ,kuendesha na kusimamia biashara kutoka kwa mtaalam wa masuala ya biashara Mhadhiri wa kikuu cha Dar es salaam Dr Muhsin Masoud wa shule ya Biashara. Mafunzo haya ni BURE  Kwa mawasiliano zaidi piga 0787 66 99...

 

11 years ago

GPL

TANGAZO

SERENGETI FREIGHT FORWARDERS LTD…

 

10 years ago

Vijimambo

tangazo uzinduzi

Yassini A Kapuya Business Consultant, Author na mmliki wa TBX Entrepreneurs Magazine Kuzindua kitabu chake cha Tatu.. Njinsi gani ya kuwa bigwa katika mauzo. Ameandika kutokana na ujuzi ulio mpatia tuzo za mauzo bora nyingi tu Marekani.

 

10 years ago

Michuzi

TANGAZO LA DHARURA - UK

nna lillahi wa Inna ilayhi raaji'oun. Kifo cha ndugu yetu kilichotokea Milton Keynes, UK, bado ndugu zetu hawajafikia malengo ya kufikisha kima kinachotakiwa kukidhi haja zote za maziko na malengo mengine ya kijamii, ya waliomzunguka.
Maziko yanatarajiwa Alhamis ya tarehe 04 June 2015, baada ya kupata mwili kwenye majira ya adhuhuri kutokana na wahusika, in shaa allah.Kama kuna chochote utakachojaaliwa kutoa kama ni mchango wako, tuma kwenye akaunti ya benki ifuatayo:
Bank: Natwest
Name:...

 

11 years ago

Vijimambo

TANGAZO LA KISOMO.



Familia ya Bi Hamida Majili, inapenda kuwakaribisha kwenye shughuli ya kisomo 
(Hitima) cha marehemu Zubeda Majili ambaye ni mamake mzazi, Bi Hamida 
Majili. Marehemu alifariki tarehe 31.08.2014 na kuzikwa huko nyumbani kwao 
Handeni, Mkoa wa Tanga.
Shughuli hii ya Kisomo, itafanyika siku ya Ijumamosi tarehe 11.10.2014 kuanzia 
saa 10.00 jioni hadi saa 2.00 usiku. Anwani ya mahali itakapofanyikia shughuli hii 
mtajulishwa baadae.
Kama ilivyo ada, tunawaomba Watanzania na wanajumuia wote wa hapa...

 

11 years ago

Michuzi

5 years ago

CCM Blog

10 years ago

Michuzi

TANGAZO LA KIFO


unnamed
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, John Casmir Minja anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara kuanzia Mwaka 1996 hadi 2002, Onel E. Malisa kilichotokea leo Alfajiri tarehe 2 Juni, 2015 katika Hospitali ya Dar Group, Jijini Dares Salaam.Jeshi la Magereza kwa kushirikiana na Familia ya Marehemu linaendelea kuratibu taratibu zote za kuaga na mazishi ya marehemu. Hivi sasa msiba upo nyumbani kwake Kinyerezi, Jijini Dar es Saalam. Aidha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani