TANGAZO LA KISOMO.
Familia ya Bi Hamida Majili, inapenda kuwakaribisha kwenye shughuli ya kisomo
(Hitima) cha marehemu Zubeda Majili ambaye ni mamake mzazi, Bi Hamida
Majili. Marehemu alifariki tarehe 31.08.2014 na kuzikwa huko nyumbani kwao
Handeni, Mkoa wa Tanga.
Shughuli hii ya Kisomo, itafanyika siku ya Ijumamosi tarehe 11.10.2014 kuanzia
saa 10.00 jioni hadi saa 2.00 usiku. Anwani ya mahali itakapofanyikia shughuli hii
mtajulishwa baadae.
Kama ilivyo ada, tunawaomba Watanzania na wanajumuia wote wa hapa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo24 Sep
TANGAZO LA KISOMO DMV
Ndugu yetu Majid Zuberi anatuarifu Kisomo cha Hitima za Marehemu Mdogo Wake Abu Twalibu Zuberi Kajwangya Na Mama Mlezi Rehema Kajwangya misiba yote imetokea Kanyigo Bukoba.
Siku ya Jumamosi September 26, 2015Kuanzia Saa Kumi na Mbili jioni hadi Saa Tatu usiku (6PM – 9PM)
Anuani:Indian Spring Terrace Local Park9717 Lawndale Dr.Silver Spring, MD 20901
Kama Ilivyo ada, tunawaomba WaTanzania na Wana Jumuia wote wa hapa DMV tujumuike kwa Pamoja.
Ukipata Taarifa hii Tafadhali Mjulishe na Mwenzio.
Kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F9hpq0MjsrQ/VQpUd2WBhnI/AAAAAAAHLYA/hFkYVbsZLaM/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
TANGAZO TANGAZO TANGAZO Je Unataka kujifunza jinsi ya kuanzisha,kuendesha na kusimamia biashara yako?
10 years ago
Vijimambo24 Mar
KISOMO JUMAMOSI DMV
Kama ilivyo kawaida yetu kusaidiana na kushikamana hasa katika kipindi hiki kigumu cha Ally Mussa Mikidadi kuondokewa na mpendwa baba yake, tunaomba msaada kwa wakina baba walete vinywaji na akina mama tusaidiane vyakula ili tuweze kufanikisha shughuli hii...
10 years ago
VijimamboTAARIFA YA KISOMO DMV
Assalaam Aleikum Warahmatullahi Wabarakatu
Kwa niaba ya familia ya ndugu yetu Saleh Mohammed wa DC tunapenda kuwaarifu kufanyika kwa kisomo cha kumuombea dua mzee wao, na wazee na jamaa zetu wote waliotangulia mbele ya haki.
Kisomo kitafanyika siku ya Jumaapili, Tarehe 21, June 2015 kabla ya futari yetu ya pamoja.
Adress ni 9717 Lawndale Dr, Silver Spring MD 20901.
Tunawaomba tufike mapema ili tuweze kufanikisha shughuli hii kwa wakati kabla ya Sala ya Magharibi.
SIKU YA WAHITIMU [GRADUATES...
9 years ago
VijimamboKISOMO KILICHOFANYIKA DELAWARE JUMAPILI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jxnaGO-lNLq6sd6kyzyFXDqFaWBHIoTJSfJaGG6KWmMYqLXpvihia0zkkSjAfKTFPGjp28FL-bWrAjQxx-neWZW/saguda.jpg?width=650)
SAGUDA AMUANDALIA KISOMO RECHO
10 years ago
Vijimambo13 Dec
KISOMO CHA HITMA JUMAPILI DMV
Kisomo cha hitma kitafanyika nyumbani kwa mfiwa DMV anuani ni 2608 Kirkwood Pl Apt # 201, Hyattsville MD 20782 kufika kwako ndio kufanikisha kisomo hiki.
Kwa taarifa zaidi na...
9 years ago
VijimamboKISOMO CHA ABU TWALIBU ZUBERI DMV
10 years ago
Vijimambo19 Nov
KISOMO CHA MAMA MWANAKONDO MOHAMED JUMBE, NEW YORK
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t34.0-12/10805244_10152909733081155_1733847837_n.jpg?oh=dc8fa4bdafdc97d557698285de1ec119&oe=546E3383&__gda__=1416523218_116c2a0bc7722d166975d0dd87de4b28)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t34.0-12/10818524_10152909729381155_255443811_n.jpg?oh=3fda83e4d519ec3f4a8db876640833fb&oe=546E03A4&__gda__=1416503093_9648a51bdcc269da68b7c96636417c07)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t34.0-12/10799620_10152909730321155_1192212615_n.jpg?oh=0efa0f9224f877c07d79e00afd4a1f39&oe=546E7639&__gda__=1416491176_216cffc4b5de6fac549eac0c1108a651)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t34.0-12/10799835_10152909732026155_1090494899_n.jpg?oh=bef1d9bea2bd291c709728fc5d6db1e1&oe=546D3304&__gda__=1416495893_7e6a4f38b2f86c6bd03bb4f511b0a879)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t34.0-12/10807132_10152909729401155_1453400309_n.jpg?oh=b28529e24792c2bf8bb6f720829de051&oe=546E6DEF&__gda__=1416524606_85bc49b8ea1cf5b38347d33573f85b88)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t34.0-12/10805078_10152909729311155_1599773544_n.jpg?oh=02ff9b0e3217e76ed3efb66aa24c12f6&oe=546E3FA8&__gda__=1416518649_550fd8f3dc9b2407a9d2132b4b8b06fc)