KISOMO CHA MAMA MWANAKONDO MOHAMED JUMBE, NEW YORK
Latifa(kushoto) katika picha ya pamoja na ndugu zake kwenye kisomo cha mpendwa mama yake Mwanakondo Mohamed Jumbe kilichofanyika siku ya Jumamosi Novemba 16, 2014 jijini New Yeork jimbo la New York nchini Marekani.
Watanzania wa New York wakijumuika pamoja na Latifa kwenye kisomo cha mpendwa mama yake Mwanakondo Mohamed Jumbe kilichofannyika siku ya Jumamosi Novemba 16, 2014 NYC, New York nchini Marekani.
Ndugu, jamaa na marafiki wa familia wakiwa katika picha ya pamoja
Kwa picha zaidi bofya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKISOMO CHA MAMA YAKE HAMIDA CHAFANYIKA JUMAMOSI
10 years ago
Vijimambo08 Jan
KISOMO CHA MAREHEMU MAMA MPENDWA BI. AZIZA S. BORORO DMV
10 years ago
Bongo Movies10 May
Leo Ikiwa ni Siku ya Kina Mama Dunia, Hizi ni Jumbe za Baadhi Mastaa wa Bongo Movies kwa Mama Zao
Wema Sepetu
Today Happens to be Mother's Day.... And Since my mummy is the world's best mother it happens to also be her Birthday... Now that is nat just a coincidence, that is a Blessing... I jus get speechless trying to find the right words to say to this woman ryt here... But all in all is I jus wanna let u know on this special day that you are my Rock, my only pillar, the love of my life, you are all I got... And I wish u many more years of Life... I dont know what id do without you......
10 years ago
Vijimambo13 Dec
KISOMO CHA HITMA JUMAPILI DMV
Kisomo cha hitma kitafanyika nyumbani kwa mfiwa DMV anuani ni 2608 Kirkwood Pl Apt # 201, Hyattsville MD 20782 kufika kwako ndio kufanikisha kisomo hiki.
Kwa taarifa zaidi na...
9 years ago
VijimamboKISOMO CHA ABU TWALIBU ZUBERI DMV
11 years ago
GPLKISOMO CHA MAREHEMU ZAINAB BUZOHERA DMV
10 years ago
VijimamboKISOMO CHA MAULID YA MTUME (SAW) KILICHOFANYIKA DMV, USA
Maustadh wakuu wakibadilishana mawazo na kutathimini jinsi gani maulidi yalivyofanikishwa kwa siku ya leo
AKINA DADA
10 years ago
Bongo Movies06 Jan
Wastara Azungumzia Mastaa Kususia Kisomo Cha Sajuki
Mwigizaji wa filamu Bongo, Wastara Juma amelizungumzia swala la mastaa wengi wa filamu kuto udhuria kisomo cha marehemu mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’.
Mwishoni mwa wiki iliyopita Wastara aliandaa kisomo cha kumuenzi marehemu Sajuki ambapo dua ilianzia kwenye makaburi ya Kisutu alipozikwa na kumalizika nyumbani kwake maeneo ya Tabata Barakuda jijini Dar. Tukio ambalo lilihudhuriwa na mastaa wachache kutoka kwenye tasnia ya filamu ambapo yeye Wastara hadi sasa yupo na hata marehemu mmewe...
10 years ago
Vijimambo05 Jan
Kisomo cha Rashid Mkakile ni January 17, 2015 (Boston, MA)
Nilikuwa nawajuulisheni kuwa kutakuwa na kisomo cha kumsomea Ndugu yetu Rashid Mkakile ambaye ni mgonjwa alikuwa amelazwa Hospital ya Beth Israel Deaconess Medical Center na sasa hivi yupo kwenye Physical therapy kwa ajili ya Recovery, lakini bado ni mgonjwa
Tunamuomba Mungu ampe uzima wake na duwa zenu zinahitajika
Tunawaomba kwa kila mwenye uwezo wa kuja kusoma kwa pamoja itakuwa vizuri na kisomo...