Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KISOMO CHA MAMA MWANAKONDO MOHAMED JUMBE, NEW YORK

Latifa(kushoto) katika picha ya pamoja na ndugu zake kwenye kisomo cha mpendwa mama yake Mwanakondo Mohamed Jumbe kilichofanyika siku ya Jumamosi Novemba 16, 2014 jijini New Yeork jimbo la New York nchini Marekani.Watanzania wa New York wakijumuika pamoja na Latifa kwenye kisomo cha mpendwa mama yake Mwanakondo Mohamed Jumbe kilichofannyika siku ya Jumamosi Novemba 16, 2014 NYC, New York nchini Marekani.Ndugu, jamaa na marafiki wa familia wakiwa katika picha ya pamojaKwa picha zaidi bofya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAMA YAKE HAMIDA CHAFANYIKA JUMAMOSI

\Picha ni mama yake Hamida aliyefanyiwa kisomo siku ya Jumamosi Oct 11, 2014 Silver Spring, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki kutoka sehemu mbalimbili hapa DMV na majimbo ya jirani.Hamida akiwa kwenye kisomo cha mama yake kilichofanyika siku ya Jumamosi Oct 11, 2014 Silver Spring, Maryland nchini Marekani.Hamida akiwa na rafiki yake Lilian walipokua kwenye kisomo cha mama yake Hamida.wakina mama wakijumuika na Hamida kwenye kisomo cha mama yake...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAREHEMU MAMA MPENDWA BI. AZIZA S. BORORO DMV

Familia ya Bwana Shariff na Bi Jamila inapenda kuwataarifu juu ya KISOMO cha kumaliza msiba wa mpendwa marehemu Mama yao Bi Aziza S.Bororo kitakachofanyika siku ya Jumamosi 01/10/15 nyumbani kwao kuanzia saa nane na nusu (2.30pm) Adress ni 12726 Gladys Retreat Circle Bowie ,Md 20720 .Tafadhali ukipata taarifa hii mjulishe mwenzako .Contact # 301-674-9667 Shariff202 -271-1860 Aunt Grace 301-395-5133 Aisha.

 

10 years ago

Bongo Movies

Leo Ikiwa ni Siku ya Kina Mama Dunia, Hizi ni Jumbe za Baadhi Mastaa wa Bongo Movies kwa Mama Zao

Wema Sepetu

Today Happens to be Mother's Day.... And Since my mummy is the world's best mother it happens to also be her Birthday... Now that is nat just a coincidence, that is a Blessing... I jus get speechless trying to find the right words to say to this woman ryt here... But all in all is I jus wanna let u know on this special day that you are my Rock, my only pillar, the love of my life, you are all I got... And I wish u many more years of Life... I dont know what id do without you......

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA HITMA JUMAPILI DMV

Tujumuike na Yasin Randi (wa kijiwe cha ughaibuni) kwenye kisomo cha hitma ya mama yake mpendwa Zainabu Mussa siku ya Jumapili Desemba 14, 2014 kuanzia saa 8 mchana Marehemu alifikwa na mauti Tanzania Desemaba 8, 2014 nyumbani kwake Mbagala na maziko yalifanyika Jumanne Desemba 9, 2014 katika makaburi ya Mbagala.

Kisomo cha hitma kitafanyika nyumbani kwa mfiwa DMV  anuani ni 2608 Kirkwood Pl Apt # 201, Hyattsville MD 20782 kufika kwako ndio kufanikisha kisomo hiki.

Kwa taarifa zaidi na...

 

9 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA ABU TWALIBU ZUBERI DMV

Kushoto ni Mzee Zuberi akiwasilisi kwa ajili ya kisomo cha mdogo wake kilichofanyika siku ya Jumamosi  Septemba 26, 2015 Silver Spring, Maryland wengine katika picha ni Milanga (kulia ) na Joseph Mzanila. PICHA NA VIJIMAMBO/KWANZA PRODUCTIONKulia na Mzee Zuberi akiwa kwenye kisomo cha mdogo wake Abu Twalibu Zuberi kilichofanyika siku ya Jumamosi  Septemba 26, 2015 Silver Spring, Maryland. Mwingine katika picha ni Bwn Abbas Missana ambaye ni Afisa Ubalozi wa Ubalozi wa Tanzania nchini...

 

11 years ago

GPL

KISOMO CHA MAREHEMU ZAINAB BUZOHERA DMV‏

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Iddi Sandaly akiongea kwenye kisomo cha mpendwa wetu Zainab Buzohera kulichofanyika jana Jumanne Jan 7, 2013 katika ukumbi wa mirage uliopo Langeley Park, Maryland na kuhudhuriwa na Watanzania wa DMV na majimbo mengine kama New York, New Jersey, Massachusetts, Georgia, Ohio, Pennsylvania na kwingineko. Mwili utaondoka leo Jumatano Jan 8, 2014 na kufika Ijumaa Dar ses Salaam, Tanzania siku ya...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAULID YA MTUME (SAW) KILICHOFANYIKA DMV, USA



Dua ikiendelea ikisomwa na Ustadh Ibrahim (alietupa mgongo) baada ya maulidi kumalizikaKwa umakini na unyenyekevu wakionekana wakiitikia dua ilikuwa ikisomwa na ustadh ( hayupo pichani) 
Maustadh wakuu wakibadilishana mawazo na kutathimini jinsi gani maulidi yalivyofanikishwa kwa siku ya leo


AKINA DADA

 Loveness ( kushoto) pamoja na waumini wengine bila kujali imani zao walijumuika pamoja katika kisoma cha maulidi, tuwe na mshikamano wa pamoja wana DMV. huu ni mfano mzuri
 picha za chini na juu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wastara Azungumzia Mastaa Kususia Kisomo Cha Sajuki

Mwigizaji wa filamu Bongo, Wastara Juma amelizungumzia swala la mastaa wengi wa filamu kuto udhuria kisomo cha marehemu mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’.

Mwishoni mwa wiki iliyopita Wastara aliandaa kisomo cha kumuenzi marehemu Sajuki ambapo dua ilianzia kwenye makaburi ya Kisutu alipozikwa na kumalizika nyumbani kwake maeneo ya Tabata Barakuda jijini Dar. Tukio ambalo lilihudhuriwa na mastaa wachache kutoka kwenye tasnia ya filamu ambapo yeye Wastara hadi sasa yupo na hata marehemu mmewe...

 

10 years ago

Vijimambo

Kisomo cha Rashid Mkakile ni January 17, 2015 (Boston, MA)

A.Alaykum, nategemea mnaendelea vizuri katika shughuli zenu za kila siku kwa uwezo wake Allah
Nilikuwa nawajuulisheni kuwa kutakuwa na kisomo cha kumsomea Ndugu yetu Rashid Mkakile ambaye ni mgonjwa alikuwa amelazwa Hospital ya Beth Israel Deaconess Medical Center na sasa hivi yupo kwenye Physical therapy kwa ajili ya Recovery, lakini bado ni mgonjwa
Tunamuomba Mungu ampe uzima wake na duwa zenu zinahitajika

Tunawaomba kwa kila mwenye uwezo wa kuja kusoma kwa pamoja itakuwa vizuri na kisomo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani